Watanzania tunaimba viwanda mdomoni, Kenya wanajenga viwanda

Watanzania tunaimba viwanda mdomoni, Kenya wanajenga viwanda

Kizungu yako ni mbaya sana tafadhali jikite kwenye kiswahili. Hahaha umenichekesha. Eti Tanzanian have tremendously English. You can't make this stuff up.
Kizungu yako-stick to your kikuyu language
 
Kuwekeza Tanzania ni risk zaidi kuliko Kenya,Kwa kupata tu hizo vibali urasimu kila sehemu, purchasing power ya watu iko chini,kodi kubwa,hakuna UMEME wa uhakika, Sera hazitabiliki maamuzi ya siku unategemea na kiongozi kaamkaje Kwa maaumuzi hayo unaweza ukajikuta umeamka masikini, watu wamejenga viwanda vya mafuta ya kula kodi juu,sukari ya viwandani mara imezuiliwa hakuna kuagiza sukari nk,Mara tajiri Fulani yuko ndani Kwa chuki za kisiasa. Wanakimbilia Kenya sababu hakuna vikwazo hivo,pia katiba yao ni nzuri haimpi mtawala Madaraka makubwa kuburuza Sheria.
Toa data acha upuuzi. Mambo hayo ya kuongea bila data kaongee kijiweni sio hapa
 
Toa data acha upuuzi. Mambo hayo ya kuongea bila data kaongee kijiweni sio hapa
Ndio hao wanaoambiwaga manyumbu, hua wanakera kwa kutothamini kwao as if kama hawajui historia ya Kenya na Tanzania katika nyanja za viwanda, ama kweli makarai....!!!!
 
CAG ndiyo KAZI yake. HATA chadema nao watoe taarifa ya mapato na matumizi. HATA WALE whistle blowers accounts ZAO ziwe audited. Lazima sheria itungwe, MAANA zile ni PESA wanazozipata kwa mgongo wa umma.
Hebu waelezee wenzako pale jukwaa la siasa juu hapa Kenyan Forum halitufaidi sisi Nyang'au.
 
GM, Toyota, Isuzu, Nissan, TATA
images (6).jpeg
images (5).jpeg
1429811.jpg
images (3).jpeg
GM.jpg
 
Kaka Quinine sisi hatuimbi Viwanda, bali tunajenga viwanda, lengo letu na Kenya ni tofauti sana, Sisi mbiu yetu kuwa vyerahani vinne ni viwanda tofauti na wenzetu wanaowaza big factory

Kupata uwekezaji mkubwa kama huo ni lazima Lobbying ya nguvu ifanyike, na hao Big company kama Peugeot, Iveco, Ashok Leyland nk kuwapata mabosi wake ni level ya Marais, sio Mwijege akanegotiate na Iveco, JK alijishusha kwa Dangote na matokeo tukayaona,
Kama raisi hataki kutoka nje kuongea na hao Big companies unategemea Big project kutoka wapi?
Kwanza nimekupa like kubwa.Kama saloon hapa kwetu tunaita kiwanda.Unategemea nini hapo
 
Kwa vile awamu hii imejipambanua kwa sera ya viwanda, nilitegemea kuona serikali ya Tanzania ikiwawezesha wawekezaji wa ndani na wa nje kuanzisha viwanda vya aina hii.

Pamoja na vurugu zao wenzetu wakenya wameweza vipi, kwa nini sisi tuendelee kujidanganya na kuwadanganya wananchi kuwa ukiwa na vyerehani vinne ndiyo maendeleo ya viwanda.

View attachment 738075 View attachment 738076 View attachment 738077 View attachment 738078 View attachment 738079
Kama unaona tunadanganyana si uhamie huko wewe unayehusudu vya nje na koponda vya kwako. Malaya Wa akili ni watu Wa ajabu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwepo wa wawekezaji sio tiketi ya kuaga umaskini. Umaskini unaondoka kwa namna ulivyotumia uwepo wa hao wawekezaji. Viwanda kama hivyo vikija hapa still bado maskini wataendelea kuwepo tu. Hata nchi ambazo hao wawekezaji wanatoka maskini wapo.

Where is a logic then?
 
Napenda nimuombe rais wetu atoke nje kuzungumza na wenye makampuni makubwa,nimeona makampuni makubwa ya magari yenye mpango wa kuwekeza kenya mpaka nimeogopa,hadi inanıuma.
Wawekezaji wakubwa kama hao hawaji tu lazima tuwafate hukohuko kwao.Mh Kikwete kwa ushawishi ALIKUWA anaweza.
Ni vyema aende akazungumze na wawekezaji huko huko waliko sio kujifungia tu Magogoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom