Watanzania tunajifunza Nini kwa Vijana wa Bangladesh Waliomchagua Muhammad Yunusi Mwenye Umri wa Miaka 84 kuongoza Serikali ya Mpito?

Umeelewa lakini hoja yangu?
 
Wewe pimbi si umeuliza kipaji changu ndiyo nimekuambia mimi ni kuhani,kumbuka sijasema padri,pastor au askofu nimesema ni Kuhani.
Kutukana mimatusi kama kichaa au mwendawazimu ndio kazi na kipaji ulicho nacho wewe.
 
Hoja yako sikuisoma. Nimejibu title tu.
Huko ni kukosa umakini na hufai kuwa kiongozi katika ngazi yoyote ile.Na huwezi ukawa na maarifa ya aina yoyote ile kwa kuwa hupo makini na husomi au kuchunguza au kufuatilia jambo kufahamu undani wake.
 
Ulianza vizuri... Nikajua unatoa hamasa vijana wafanye kweli... Lakini katikati ya maandishi yako ukapotea.
Mwisho niliposoma jina lako... ooops kumbe ni yule yule mwenye mambo yale yale!
Shame!
 
Huko ni kukosa umakini na hufai kuwa kiongozi katika ngazi yoyote ile.Na huwezi ukawa na maarifa ya aina yoyote ile kwa kuwa hupo makini na husomi au kuchunguza au kufuatilia jambo kufahamu undani wake.
That is correct. Siwezi kuwa kiongozi katika ngazi yoyote.
Lakini nadhani,it proves my point.
Kama rais ana umri wa miaka 84, huyo ni rais wa mapambo.
 
Tanzania tuchukue hatua tuiondoe hii ccm ili tuweke wazalendo watakaoifanya iendelee Kwa kasi.
Hata mimi ndicho nilichojifunza. Maandamano ya Mikoa 5 tu ya Chadema sukari ilipatikana na muda wa mavuno ilikuwa bado. Umeme uliwashwa haraka sana. Tusingepiga kelele wangeendelea kusema wako kwenye MICHAKATO. Sasa hv tutaendelea kujiuliza kweli ni ngedere na bundi? Nchi nyingine nazo zenye huduma hiyo ngedere na bundi hakuna? Kama wapo wanasumbua?
 
 
Ndio maana serikali ya CCM inaendelea kusalia madarakani muda wote kwa sababu ni Sikivu kwa watanzania hususan katika mahitaji yao na kuiweka serikali mikononi mwao.
Ni mapema mno kuamini serikali mpya ya mpito kama itapasua njia ya kiuchumi ukilinganisha na serikali iliopita.
Kuna mambo mengi aliyafanya ya kuinua uchumi wa Bangladesh kutoka umaslkini uliokuwa umekithiri.
Lakini ili kufika hapa ilibidi wafunge mkanda.Ndipo ikaingia siasa za kuwahidi asali na maziwa tokea vyama vya upinzani wakati si kweli.
Hata pale serikali ilipokubali kutimiza matakwa ya upinzani bado waliendelea kuandamana ili aachie madaraka.
Subiri miezi mitatu wakikosa asali na maziwa watarudi barabarani,wajinga ndio waliwao.
 

Swali la kizuushi, Lucas Hebel Mwashambwa una kipaji cha kuandika documents ndeeefu japo hoja inakuwa kijiko cha chai, anyway nauliza unatumia kigezo gani kuflow namna hii paragraph za kutosha japo hamna anayesoma zaidi ya mistari michache tu, then unatumia tena kigezo gani kujua sasa imetosha nafunga para ya mwisho!

Kujifunza hakuna kuchagua, naweza kupata kitu kwenye uandishi mwingi hata km nakosa hoja yako, na kuweka ile signature yako pendwa ya mama!
 
Ulianza vizuri... Nikajua unatoa hamasa vijana wafanye kweli... Lakini katikati ya maandishi yako ukapotea.
Mwisho niliposoma jina lako... ooops kumbe ni yule yule mwenye mambo yale yale!
Shame!
Vijana wa Tanzania wana imani na matumaini makubwa sana na uongozi wa Rais Samia
 
Ngoja tusubiri tuangalie nini matokeo ya hicho walichokifanya. Pia ikumbukwe ya kuwa katika uongozi huwezi kumridhisha kila kitu. Na ukijaribu kufanya hivyo kutaka kumridhisha kila mtu ni lazima uharibu tu
 
Tanzania Iko katika kesi ya madai nyingine. Inadaiwa 1.2 billion dollars.
Inahusu gas field exploration.
Halafu Ile habari kama inafichwa na watu wanaodhibiti internet.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…