Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Usanii na uchawa?Matumaini ya kutimiza ndoto zao
Huwezi ukazuia kuungwa mkono kwa anayependwa na kukubalika kwa watu.Usanii na uchawa?
Ni kweli... Lakini matumaini yepi?Huwezi ukazuia kuungwa mkono kwa anayependwa na kukubalika kwa watu.
Matumaini ya kuona maisha yao yakiwa bora kila uchao, Matumaini ya kuona unaweza kufanya biashara na shughuli yoyote ile na ukaweza kufanikiwa, Matumaini ya kuona unaweza ukajiajiri Mwenyewe na maisha yakasonga vizuri kabisa na kujipatia kipato kizuri.Ni kweli... Lakini matumaini yepi?
Matumaini ya kuona maisha yao yakiwa bora kila uchao, Matumaini ya kuona unaweza kufanya biashara na shughuli yoyote ile na ukaweza kufanikiwa, Matumaini ya kuona unaweza ukajiajiri Mwenyewe na maisha yakasonga vizuri kabisa na kujipatia kipato kizuri.Ni kweli... Lakini matumaini yepi?
Sijakusemesha wewe mjingaUwe na adabu dogo.
Bila shaka umeamka nayo kichwaniSijakusemesha wewe mjinga
TuheshimianeWewe ndiye shetani
Mpuuzi weweBila shaka umeamka nayo kichwani
Wewe jamaa ni tapeliMatumaini ya kuona maisha yao yakiwa bora kila uchao, Matumaini ya kuona unaweza kufanya biashara na shughuli yoyote ile na ukaweza kufanikiwa, Matumaini ya kuona unaweza ukajiajiri Mwenyewe na maisha yakasonga vizuri kabisa na kujipatia kipato kizuri.