Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
Watanzania tunajua kuwa kwa mifumo ya kiuchaguzi iliyopo hakuwezi kuwa na uchaguzi huru na wa haki bali kuna kujiteuwa na kujipitisha.
Moja ya mifumo hiyo ni pamoja na huu utaratibu wa tume huru ya taifa ya uchaguzi kuundwa na mgombea wa chama tawala hapa hakuwezi kuwa na demokrasia wala haki kwa wagombea wengine wa vyama vingine bali kuna kujiteuwa na kujipendelea kwa aliye iunda hiyo tume.
Nilipendekeza kwamba lazima kuwe na usawa kwanza kwa wagombea wote ili tupate uchaguzi huru na wa haki kwa wagombea wote.
Nilishauri tume huru kuundwa na wataalamu watakaotokana na vyama vyote vya siasa nchini na sio na chama kimoja wala na mgombea yoyote hapa ndipo tutasema tuna tume huru.
Moja ya mifumo hiyo ni pamoja na huu utaratibu wa tume huru ya taifa ya uchaguzi kuundwa na mgombea wa chama tawala hapa hakuwezi kuwa na demokrasia wala haki kwa wagombea wengine wa vyama vingine bali kuna kujiteuwa na kujipendelea kwa aliye iunda hiyo tume.
Nilipendekeza kwamba lazima kuwe na usawa kwanza kwa wagombea wote ili tupate uchaguzi huru na wa haki kwa wagombea wote.
Nilishauri tume huru kuundwa na wataalamu watakaotokana na vyama vyote vya siasa nchini na sio na chama kimoja wala na mgombea yoyote hapa ndipo tutasema tuna tume huru.