Hamza swakala
JF-Expert Member
- Feb 14, 2022
- 479
- 619
[emoji16]
Hapo Manyovu Endelea Kula Mananasi, Ila Kwenda Burundi Unavuka Chap Unakula PombeMimi nipo manyovu huku yani kwenda dar tu ni kama nimeenda ulaya
Tulia Kwanza MkuuMkuu Mimi naishi nje ya nyumba yangu, hivi nitakuwa naruhusiwa kwenye huu uzi?
Mkuu naomba mawasilianoMimi nipo Australia, Nina mwaka wa nne nipo huku. Nikutafutie huku?
Kumbe kuna Mangi mwenzangu jirani kabisa hapa MANipo hapa Boston city (Massachusetts)
Haha mangiKumbe kuna Mangi mwenzangu jirani kabisa hapa MA