dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Asante! Vipi, Gharama zake unafahamu ni kiasi gani?Inafika but hata Ethiopia airlines zinafika
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante! Vipi, Gharama zake unafahamu ni kiasi gani?Inafika but hata Ethiopia airlines zinafika
Haki ya Mola wangu walahiMkuu Mimi naishi nje ya nyumba yangu, ivi ndakuwa naruhusiwa kwenye huu uzi?
Haki ya Mola wangu walahi
Kaka dunia leo ipo kiganjani mwako! Check google now
Mkuu ukiomba Lottery visa ya Marekani ukipata unajitegemea nauli ?
Hi I hilo neno diaspora manaake nn.....nitoeni ushamba
Sasa sinuvuke bahari.. Australia ipo kayikati ya maji waweza kwenda kwa kuogelea kama ulivyosema unawexa kuyapa majiKiongozi me pia na tamani kufanya kazi Australia lakini elimu yangu ni kidato cha nne sina ata satifiketi zaidi ya kuwa na kipaji cha kuogelea tuu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana sana mkuu, Wanaijeria wanasaidiana sana, kuanzia kwenye sanaa wakiwa kwao au nje, wakiwa nje na kwenye vitengo vyao, hasa uhamiaji, wanawasaidia sana wenzao, wako proud na pride kusaidiana, cha kusikitisha utasikia WaTZ wakijisfia kabisa kwamba hawataki kujihusisha na wenzao wa nyumbani kwa kuogopa kuharibiwa mambo yao! 😡😡😡Kweli watanzania waliopo mtandaoni wengi wapo nyuma sana, uzi kama huu kwa wanigeria utakuta wanapeana madini mengi sana na wapo serious hasa. Hapa ni mizaha tu mwanzo mwisho,
Anyway Hongera sana mtoa Mada, Jah Bless ya!
Ndio mkuu,nilengeshe hata Libibi listaafu nilisaidie kutafuna kiinua mgongo huko