Watanzania tunaoishi nje ya Nchi ( Diaspora) Tukutane hapa

aisee mkuu umenena sana nilitamani kutuma huku hizo chance kwa watanzania wenzetu ila nimerejea tena kwenye uzi wako kwasababu ya hizo qián hapoo ukipenda naweza kuja inbox ili niweze pata wechat id yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninatakiwa niwe na fedha kiasi gani ili niweze kusafili kwenda Australia na kuweza kumudu kusavive hata wiki 2 kabla ya kupata kazi ? Au ninaweza kuomba kazi nikiwa huku bongo na kwenda moja kwa moja huko kupiga mzigo huko?

Omba ya Canada
 
'This is 'big
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…