Watanzania tunapaswa kuambiwa na kujua ukweli kwamba Gesi inayochimbwa Mtwara si yetu

Prof Muhongo kwa uwaziri wake tu asingekuwa na mamlaka ya kuuza hivyo vitalu unavyovisema !! Labda kama alitumwa kufanya hivyo !!
 
Ukweli upi tena? Kwani huwajui wenye gesi yao? Endelea kupiga jalamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…