Ningekuwa mtangazaji aisee me sina muda wa majadiliano nimepokea simu jitu limebaki tu kuita haloo haloo kwa sababu ya upopoma wake kuacha radio sauti juu. Me nakata tu.Hahaa mpiga simu radion alikuwa Muhiri Obale Naaaaaaaam, Top Manyota na Lawena Nsonda tu
wengne ni malimbukeni tu
Muhiri obaleeee alitisha sanaHahaa mpiga simu radion alikuwa Muhiri Obale Naaaaaaaam, Top Manyota na Lawena Nsonda tu
wengne ni malimbukeni tu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣kujisikiliza wakati limepiga simu redioni.
Sijui ni upopoma ama ni ushamba. Kila siku watangazaji wanasisitiza unapopiga simu katika kituo cha matangazo, zima radio yako au punguza kabisa sauti.Lakini bado jitu zima na ndevu zake linategemewa na familia linataka kujisikiliza wakati limepiga simu redioni.
Kwa kweli hapa ndio unapata picha uelewa wa watanzania ni wa aina gani. Na hili swala linajirudia kila siku.
Kung'ombe Chacha Mrema Sukari Muhiri ObareMuhiri obaleeee alitisha sana
naitwa chacha ukiita muhiri obale hujakosea muhiri obale naaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmm
Ni kwa vile tu hujapata nafasi ya kuwasikiliza na watu wa nchi nyingine,na wao hivyohivyoo[emoji3][emoji3]lakini nafikiri hata mimi siku nikipiga nahisi nitajisikiliza[emoji847][emoji847]why not[emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa unataka ujisikie ili iweje, kwanini usisikilize tu kwenye simu tu?
Sio Mwiro Bale mzee wa naaaaaaaaaam enzi hizo za RFA hao jamaa wanasikika bado kwenye kile kipindi cha jumapili cha ushauriHahaa mpiga simu radion alikuwa Muhiri Obale Naaaaaaaam, Top Manyota na Lawena Nsonda tu
wengne ni malimbukeni tu