Watanzania tunasikitisha sana sijui tumelogwa

Watanzania tunasikitisha sana sijui tumelogwa

Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habali hapo juu

Kwa mambo yanayoendelea nchin kwa sisi vijana tulio na macho matatu kwa kweli tunasikitika sana inafika hatua najiuliza hivi ni nan aliyetuloga au tumelogwa na mshana jr

Ukipita mabarabaran kila nguzo kuna tangazo la uganga na waganga wa kienyeji


Wanawake wote wanalalamika kutokuridhishwa na waume zao

Wimbi la wanawake kujiuza limeongezaka

Wimbi la matahira limeongezeka

Tumefika hatua had tunachimbia vichwa na mafuvu ya binadamu uwanja wa taifa? Jaman kweli sisi wajuu wa mwenye heri nyerere ndo tumefika huko

Nani aliyeturoga au tumelogwa na mshana jr

cc mbiti

LONDON BABY
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji115]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umesahau kitu kimoja tu...
....tulichonacho ZAIDI sisi wa TZ tumeshazitupa na kuziacha MILA zetu asilia
Tunazidi Ku Copy na Ku Paste utamaduni wa umagharibi na Nchi za Ulaya

Sent from Calculator Phone vesion007
 
Back
Top Bottom