Watanzania tupambane kupata Katiba Mpya kabla ya 2025

Watanzania tupambane kupata Katiba Mpya kabla ya 2025

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Ni mtanganyika gani asiyetaka bandari iwe na ufanisi ili kupata mapato na kuendeleza uchumi wa taifa letu?

Mkataba wa DP World una ukakasi ndio maana Watanganyika tunapinga.

Tuwe na Katiba, Rais akiwa na kashfa kama hizi anachunguzwa na akibainika anashitakiwa.

Tukomae ili tupate Katiba mpya kabla ya 2025. La sivyo Watanganyika tutaumia.
 
Wewe mfuasi kindakindaki wa Yule shetani Lucifer tangu lini ukawa na mawazo sahihi ya kujenga nchi? Mbona enzi za Yule shetani mwenzio hukuwahi kuwa na mawazo kama haya?

Toa upumbavu wako hapa.
 
Wewe mfuasi kindakindaki wa Yule shetani Lucifer tangu lini ukawa na mawazo sahihi ya kujenga nchi? Mbona enzi za Yule shetani mwenzio hukuwahi kuwa na mawazo kama haya?

Toa upumbavu wako hapa.
Matusi kuna hoja hapo?
 
Ni mtanganyika gani asiyetaka bandari iwe na ufanisi ili kupata mapato na kuendeleza uchumi wa taifa letu.

Mkataba wa Dp world una ukakasi ndio maana watanganyika tunapinga.

Tuwe na katiba raisa akiwa na kashfa kama hizi anachunguzwa na akibainika anashitakiwa.

Tukomae ili tupate katiba mpya kabla ya 2025. La sivyo watanganyika tutaumia
.
Unaota, hiyo Katiba ni husani ya Rais na CCM ndio wanaoweza amua.
 
katiba mpya hawawezi kutoa, dawa ni kupambania Tanganyika. Kila chama kibebe ajenda ya Tanganyika na kubadili mbinu, wanapenda sana kutumia Simba na yanga tukiweka mgomo hata hizo timu zitaacha kuwaunga mkono.
 
Back
Top Bottom