Watanzania tupaze sauti zetu kunusuru uhai wa maelfu ya vifaranga visivyo na hatia vinavyoenda kuangamia

Kwanini aingize kuku illegally??
 
Waambie waviangamize kama vile vya Kenya halafu wangojee majibu yao
 
achana nao, endelea na shughuri zako
 
Kwa mujibu wa sheria ya magonjwa ya wanyama ya 2003( animal disease act 2003 ) unaweza google na kuipitia ,vifaranga inabd wateketezwe .ilaa kwa mujibu wa sheria za haki za wanyama 2008 vifaranga inabd wasiteketezwe (kuwapa haki za chakula ,kuwatibu ,kuwapa haki ya kuishi na kuwapunguzia maumivu)

Hapa inahitajika busara ya mkamataji ,ilaa njia rahisi sana kwake ni kuviteketeza maana vikiwa na magonjwa ambayo hayatajulikana kwa sasa ilaa baadaye hao kuku wakikua na watu wakiwatumia na wakapata madhara eg .kuvimba uso, kuharisha ,kutosimamisha lawama zotamfikia mkamataji .

Namalizia kwa kusema vifaranga viteketezwe.
 
Tatizo watu wanatatua na kutoa maamuzi kwenye hili jambo kwa kuangalia ukenya na utanzania...kwanza sakata la mahindi liliishia wapi?

Kuteketeza hao vifaranga kwa vyovyote vile hasara ni kwa Tanzania. Wasitie madoa yadiyoya lazima utawala wa Mama.
Kwa mtindo huo wanaweza kufikiri njia nyingine za kupata kodi kweli? I doubt! Mawazo yao mgando hadi lini? Wataanza kutumia akili lini?
 
Kwa nini wakimbilie kusema watswateketeza badala ya kusema tutawapima wote kuona kama wana magonjwa halafu kama hawana magonjwa yoyote mhusika atatakiwa kulipa faini, na akishindwa tutawapiga mnada..
 
Mama Samia alishasema, mamlaka waache kutumia nguvu badala ya kutumia akili, kisa tu sheria inaruhusu! Lakini naona hii mijamaa ni mibichwa migumu!! Mibishi, mama Samia achukue hatua
 
Kwani Sheria inasemaje kuhusu hilo, kwanini hawataki kufuata Sheria?
Mama Samia ameshaelekeza, mamlaka waache kutumia nguvu na badala yake watumie akili, na sio tu kwamba sheria inaruhusu, basi unafanya kama roboti, maendelea hayaji hivyo, sheria zimewekwa for extreme cases, kwamba wamegundulika na magonjwa nk.
 
Basi kama wana ulazima wavitoe uhai ndio iwe kwa moto?!!! Atakehusika kuvichoma moto basi namuomba Mungu nae siku moja ampe ajali ya moto huyo mtu aone utamu wa moto.
 
Ni kwamba hizi nchi zetu hatuwezi kuweka utaratibu wa kuuziana bidhaa kama hizi, na vipimo vikafanyika kuthibitisha ubora?
Serikali hii inawatendaji baadhi ni kama wendawazimu kwa kweli
 
Kwani unapoambiwa vipimwe ili kujua hali ya afya unakuwa unaelewa nini labda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…