Watanzania tupo salama kiasi gani katika mikono ya wanaotoa huduma za 'massage'?

Changamoto iliyopo ni kuwa ata uwepo wa hivyo vyuo hapa bongo haujulikanani kwa watu walio wengi. Na watu wameishagundua huko Kuna fursa wamekumbilia japo uwelewa wao ni ndogo juu maswala hayo na wengi hufanya kwa mazoea au kwa kujifunza mtaani
 
Kama unavyojua mambo mengi ya msingi katika nchi yetu yanajiendesha yenyewe. Uko sahihi sio tu watu wa massage hata vinyozi lazima wapaitiemafunzo na kupimwa afya mara kwa mara. Mimi ninakuja kwenye suala la ufahamu wa anatomy na physiology. Kwenye mwili wa binadamu kuna sehemu zinaitwa sensitive areas;hizo sehemu ukibinya vibaya unaweza ukastopisha kabisa mzunguko wa damu au muhusika kukosa pumzi au kupparalyse kwani utakuwa emeblock specific nerves. Inawezekana tuna waathirika wengi ila wanashindwa kuassociate matatizo yao ma massage iliyofanyika.
 
Kuna mambo mengine huwa wala sina mda nayo kabisa. Hata nikiingia kwa kinyozi akimaliza wakisema kaoshwe
Nainama namwambia mwagia maji najiosha mwenyewe. Sasa huko kwenye massage ndio sipiti kabisaa.
 
Changamoto iliyopo ni kuwa ata uwepo wa hivyo vyuo hapa bongo haujulikanani kwa watu walio wengi. Na watu wameishagundua huko Kuna fursa wamekumbilia japo uwelewa wao ni ndogo juu maswala hayo na wengi hufanya kwa mazoea au kwa kujifunza mtaani
Ni balaa kabisa.
 
Tafsiri sahihi ya Kiswahili ya massage ni "kusinga" kuchua naona inaleta maana tofauti pia inatumika kwenye tafsiri ya masturbation "kujichua".
 
Kweli mkuu,mwili ni Muhimu,usichezewe kizembe!
 
Ulichokiandika mleta mada ni kweli kabisa.

Ndio maana huwa siendi kwenye hizo parlors maana naamini kabisa hakuna watu wenye utaalam huo na ukampata kwa hizo bei za 35 mpaka 80.
 
Ulichokiandika mleta mada ni kweli kabisa.

Ndio maana huwa siendi kwenye hizo parlors maana naamini kabisa hakuna watu wenye utaalam huo na ukampata kwa hizo bei za 35 mpaka 80.
Huku kwetu hata ukienda kwenye hizo massage kikubwa utaishia kupakwa pakwa mafuta tuu na kukandwa kandwa kama mtu anakanda unga wa ngano.

Wapo professional masseuse wachache sana hapa nchini na gharama yao sio chini ya 300,000 kwa session 1.
 
Vile vibinti vinajisugua vifua kwenye migongo ya wateja, ukitoka hapo unatangaza kuuza kiwanja
 
Asante kwa elimu na tahadhali kwa wasingwaji na Serikali kwa ujumla.

Umewasahau wapaka rangi za kucha.

Wengine ukiachilia mbali na kusingwa, hata kupaka rangi sipendi kabisa sijui kuoshwa, kuminywa minywa vidole.

Nakwenda nikiwa nimeshasafisha miguu/mikono/kucha zangu nikifika kazi yake ni kunipaka rangi tu.
Mambo ya kushikwa shikwa vidole sijui nyayo hapana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…