Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Mkuuu utapoteza mda wanaona sana. Hata simpo msg ya kuchua mgongo wanashindwa ? Mwenyewe anaeweza kukufanyia hivyo ni mchepuko tu.Nita mshauri mke wangu afatilie youtube haya mambo ili tuanze rasmi kukandana
Hivi watoto wa watu hawaathiriki kisaikolojia ? Utakuta limama limepanua miguu na kakijana kapo hapo kanapumulia miguu. Mi mama mingine huwa inaharufu kali kutoka mapajani, wanasumbukaje vijana wetu. Kwa nini wasugua kucha wasiwe wabawake kama saluni.Asante kwa elimu na tahadhali kwa wasingwaji na Serikali kwa ujumla.
Umewasahau wapaka rangi za kucha.
Wengine ukiachilia mbali na kusingwa, hata kupaka rangi sipendi kabisa sijui kuoshwa, kuminywa minywa vidole.
Nakwenda nikiwa nimeshasafisha miguu/mikono/kucha zangu nikifika kazi yake ni kunipaka rangi tu.
Mambo ya kushikwa shikwa vidole sijui nyayo hapana.
Hahahaa......huko mtuachie sisi wenye stress za ndoa tukajiburudishe kidogo.Huku kwetu hata ukienda kwenye hizo massage kikubwa utaishia kupakwa pakwa mafuta tuu na kukandwa kandwa kama mtu anakanda unga wa ngano.
Wapo professional masseuse wachache sana hapa nchini na gharama yao sio chini ya 300,000 kwa session 1.
Unafurahi kweli au ndio janja janja nyingiHuduma hiyo inaitwa 'happy ending"
Uwekezani wake ukoje? Warembo unawatoa wapiKatika harakati za kusaka tonge nilishawahi kuwekeza kwenye hii biashara , kwa kifupi tu Mungu anisamehe
Tangantika hao vijana nao wananogewa kuona mapaja ya mama zao/Dada zao.Hivi watoto wa watu hawaathiriki kisaikolojia ? Utakuta limama limepanua miguu na kakijana kapo hapo kanapumulia miguu. Mi mama mingine huwa inaharufu kali kutoka mapajani, wanasumbukaje vijana wetu. Kwa nini wasugua kucha wasiwe wabawake kama saluni.
Kodi ya pango ya nyumba nzima , Pale sebuleni kochi moja la mteja/wateja , fridge na tv ukipenda , vyumbani kitanda cha massage and vinavyoambatana navyo mafuta ,taulo and the likes. Warembo kuna madalali wakutosha au weka tangazo online. Location , Standard na privacy ndio vina matter kwenye hii industry . Utapata mpaka mawaziri trust meUwekezani wake ukoje? Warembo unawatoa wapi
Lazima Ukojoe Sadolin mkuu hyo ni balaaBila kusahau body to body massage. Aina hii mfanyaji na mfanywaji wanakuwa uchiπ€¦
Nyiee acheniiiπ€
Ulizingua. Atakua alichukia sana. Ungeomba gemu bili ingeongezeka na yeye angepata cha juu chake πMimi Kuna Moja nlifanyiwa maeneo ya masaki body to body π π π Wazee acheni kwanza picha linaanza aliyekua akinifanyia akiivuta mujugulusi ππ kwa kweli sikuvumilia nlimwaga two times alafu mtoto yule mikono yake lainii hata kuvunja biscuit sijui kama anaweza.Sema sikutaka kuomba mchezo ningeomba najua angenipa tu