Watanzania tupo tayari kupokea Electrical Vehicles (EVs)?

Uzi mzuri sana na unafundisha. Naomba kujua, hua nikiangalia betri za haya magari ni betri nyingi kama za rimoti zinaungwa pamoja kutengeneza system moja, vp inapotokea moja au baadhi ya hizi betri ikafa unatakiwa kubadili dude zima? Au unatoa hii iliyokufa unabadili?
 
Kuna watu ni kama hua wanaiona kesho. Nimeona huu uzi nimemkumbuka bro flani alinitengenezea gari la kuchezea mwaka 99 lilikuwa na mota ya redio za kanda(kaseti) imefungiwa betri ya ABC kwa ndani kuna namna kaiunga ile mota na tairi za lile gari so ulikuwa ukiiunga ile mota na betri gari linajiendesha. Jamaa alikuwa mvumbuzi sana sijui saizi yuko wapi.
 
Hizi zinatumia umeme na nimeziona zimepaki ndani ya agakhan hospital

Ova
 

Attachments

  • 20240619_163641.jpg
    2.8 MB · Views: 7
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…