Watanzania tushikamane kuleta mabadiliko

Watanzania tushikamane kuleta mabadiliko

dump

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2020
Posts
642
Reaction score
958
Watanzania tushikamane tukemee haya mambo,hivi inawezekenaje watu wazima wana kaa wanakubaliana kujenga barabara ya kilometer 1 kwa ghalama ya billion 5.

Hivi kweli tutafika kwa hali hii,madawa yatapatikana hospital, na huduma zingine zitawezekana gharama za maisha zimepanda,petrol, mafuta ya kula,nk huku tozo zina tuumiza,baadhi ya shule watoto wa nakaa chini ajira hakuna nilazima tushikamane kwa pamoja nina imani tukiamua tunaweza kuleta mabadiliko makubwa sana.

Zaidi kabisa naona CCM hawana tena uwezo wa kuleta mabadiliko,tubalishe chama tuwape na wengine hii inchi labda wanaweza kutusaidia.
 
Watanzania tushikamane tukemee haya mambo,hivi inawezekenaje watu wazima wana kaa wanakubaliana kujenga Barbara ya kilometer 1 kwa ghalama ya billion 5.

Hivi kweri tutafika kwa hali hii,madawa yatapatikana hospital, na huduma zingine zitawezekana ghalama za maisha zimepanda,petrol, mafuta ya kula,nk huku tozo zina tuumiza,baadhi ya shule watoto wa nakaa chini ajira hakuna nilazima tushikamane kwa pamoja nina imani tukiamua tunaweza kuleta mabadiliko makubwa sana.

Zaidi kabisa naona c.c.m hawana tena uwezo wa kuleta mabadiliko,tubalishe chama tuwape na wengine hii inchi labda wanaweza kutusaidia.
Kwa nchi hii maendeleo tutayasubilia sana!!

Hakuna kiongozi mwenye huruma na mnyonge, na hayo yamefanyika kipindi cha mwendazake aliyekuwa anawaaminisha watu kuwa hakuna pesa ya serikali itakayoliwa!;

Huwezi kimbilia kuwabana wananchi kwenye tozo wakati kapu limetoboka!!angalia inshu ya mafuta ya kula mwaka sasa kila siku ni siasa tu, ila wakulaumiwa ni sisi wananchi wengi wetu ujinga umetuzidi.
 
Chama ni nothing

Kibaya zaidi kumpata mwenye uwezo wa kurekebisha mambo ni ngumu.

Anahitajika mwenye uchungu na nchi yake,bila kujali anatoka chama gani!!!!!

Kazi iendeleee
 
Seems ni taarifa nyeti, Mapato kutoka kwenye Tozo za Miamala ya simu ndio yameanza kutumika ?. Like 5 Billions Tsh for a 1 kilometer road ?
 
Mama naona anazurura na mwewe wa ATCL kila kukicha
 
Lalamika mpaka uzeeke ufe na watoto wako warithi malalamiko yako.
 
Hivi kwann hatujui taarifa za makadirio ya ujenzi wa barabara!
 
Back
Top Bottom