Watanzania tusikubali nchi yetu kuwa inaibiwa na wachache wanaodhania kuwa wao wana akili nyingi. Hii nchi sio mali ya WanaCCM wachache.

Tukishaing'oa CCM, tuwaweke CHADEMA?

Kama ni hivyo, ni NO.
 
Sidhani kama mtu anapinga mradi wa bandari ya Bagamoyo. Ila kinachopingwa ni mazingira ya watu wachache kutaka kunufaika kijanja huku taifa likipata hasara kama kutakuwa na mkataba wa hovyo.

Hayo mengine unaandika pumba tu.
 
Hapo kwenye paragraphs ya pili na ya tatu, kwa hio na wewe unataka upige madeal? Unawaonea CCM wivu unataka CCM kitoke madarakani ili na wewe chama chako kipige madeal ili mshibe matumbo yenu?..
πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ‘
 
Tukishaing'oa CCM, tuwaweke CHADEMA?

Kama ni hivyo, ni NO.
Mimi sio mwanachama wala shabiki wa CHADEMA wala sitoi hoja kama mwanasiasa, natoa maoni yangu kama mtanzania. Nazungumzia mambo yanayonigusa. Musipende kila hoja kuitazama kichama
 
Umewahesabu wote wanaouunga mkono na kuupinga?!!

Kwani hakuna waliopinga SGR ?!!
Kwani hakuna waliopinga MWALIMU NYERERE HEPP?!!
Kwani hakuna waliopinga ununuzi wa ndege?!!!

IWEJE wakosakane wapingaji wa mradi wa BANDARI YA BAGAMOYO?!?!!

Kwani watu wanaopinga miradi hukosa visingizio vyovyote?!!!!

Hebu kunywa kahawa uchangamke vyema.......

#KaziIendelee
#JMTKwanza
 
Hakika wewe ndio una ukosefu wa elimu na inawezekana kabisa maisha yamekupiga Hadi unawaza kuwa CCM kipo hapo kinapiga deal, kinaiba, kinagawana, halafu wewe hupati kitu.

Mtazamo wako kukihusu CCM ni mtizamo wa kimaskini Sana na usio kuwa na utumiaji sawa wa ubongo.

Mimi nimekupa tu ushauri wa Bure,kwa kuwa CCM hakiwezi kutoka madarakani leo Wala kesho (kitatawala zaidi ya miaka 1000 ijayo), of which utakufa na kukuacha , so mbinu rahisi ya kukiondoa madarakani ni kuingia mstuni tu, Ila ukisubiri sanduku la kura kamwe hutaweza na wanaCCM wataendelea kukutawala daima.

Chagua pori nikusaidie kupambana ili tushike Dola halafu tupige madeal.

Acha kubweka humu JF, unapoteza tu muda πŸ€£πŸ˜„πŸ€£πŸ˜„πŸ€£πŸ˜„πŸ€£πŸ˜„
Sijapanic ila nakupa ukweli. Kwa hiyo unadhani kila mtu ni mpiga dili? Kukosa elimu ni jambo baya
 
Serikali halali kutambuliwa na katiba ndio iwe sababu ya kutuibia? Ndio iwe sababu ya rais kudanganywa. Kama imeshakuwa mazoea kutuibia sasa ni wakati wa kutumia umma kuwaondoa.
ukiitwa mahakani ukadhibitishe kuibiwa huko utaweza?
Katiba ndio sheria mama. na kuna utaratibu wa kuipinga serikali.
sio unavyotaka ww.
 
Hapo kwenye paragraphs ya pili na ya tatu, kwa hio na wewe unataka upige madeal? Unawaonea CCM wivu unataka CCM kitoke madarakani ili na wewe chama chako kipige madeal ili mshibe matumbo yenu?...
Ila huyu ni CCM lialia.
 
Hakika mwanasiasa ndiye Mungu wa nchi hii. Magufuli alipinga mambo waliyoyataka wenzake, lakini akachukua pesa za umma na kwenda kujenga kwao. Nao watu wa Bagamoyo na pwani vivyo walitamani kujengwe kwao...
This is too Utopian,

Hivi chato ipo Zimbabwe? I thought ungesema kwa ushahidi kuwa JPM alichukua hela za umma na kazificha kwenye akaunti zake nje ya nchi ama zipo hapo CRDB kumbe kajenga kwao?

Hivi mbeya imeanza kujengwa lini? Inaonekana wewe ni WA Jana, Mbeya imeanza kutembelea barabara ya lami tangu 60s , Mbeya ilikuwa na SGR tangu 70s halafu unapiga kelele zisizo na maana.
 
🀣🀣
 
Wapinzani wa Tanzania uwa hawaelewiki wanasimamia wapi na wakati mwingine hawajulikani kama wako Chadema au CCM.
Hii ndiyo Tanzania.Good Night πŸ’€πŸŒ™
😊 Sweet Dream
🌠🌠🌠🌠🌠🌠🌠
 
umetafakari kipengere cha mchina kuhodhi ardhi miaka 99 alichosema JPM?hicho nacho ni kwa future genneration accomplishment au
Ule ulikuwa ni uwongo wa marehemu. Ardhi itamilikiwa na mradi, siyo mchina. Wewe si unamfahamu marehemu, kwa kiasi kikubwa jinsi alivyokuwa mwongo?
 
Ule ulikuwa ni uwongo wa marehemu. Ardhi itamilikiwa na mradi, siyo mchina. Wewe si unamfahamu marehemu, kwa kiasi kikubwa jinsi alivyokuwa mwongo?
Wewe kima tuambie lowassa nae alikuwa muongo kuhusu huo mradi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…