Watanzania tusiopenda Unafiki na Ng'ombe Kunenepeshwa Siku ya Mnada na kutaka Congo DR na Madagascar watufunge tujuane tafadhali

Watanzania tusiopenda Unafiki na Ng'ombe Kunenepeshwa Siku ya Mnada na kutaka Congo DR na Madagascar watufunge tujuane tafadhali

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Wala nisiwafiche baada ya kuona Watu wa Yanga SC ( tena kutokea GSM ) ambao KEROZENE siwapendi na nawachukia ndiyo wamepewa Kipaumbele kwa Maandalizi ya Taifa Stars nimeuza Siri zote za Kambi ya Taifa Stars na Alhamisi Tanzania ikishinda ni Sare ila Kufungwa ni kama Israeli na Roho ya Binadamu.

Kuna Tukio Kubwa litatokea Siku ya Alhamisi ama kabla au mechi ikiendelea ila mlivumilie tu kwani ndiyo mtajua kuwa Wakongo kwa Uchawi Afrika wao ndiyo Walimu na kwamba tupo Watanzania tunaochukia Timu yetu ya Taifa ( Taifa Stars ) kufanywa ni ya Kisiasa zaidi na Ng'ombe kulazimishwa Kunenepa Siku ya Mnada.

Kila Ia Kheri Congo DR na Madagascar!!
 
Wala nisiwafiche baada ya kuona Watu wa Yanga SC ( tena kutokea GSM ) ambao KEROZENE siwapendi na nawachukia ndiyo wamepewa Kipaumbele kwa Maandalizi ya Taifa Stars nimeuza Siri zote za Kambi ya Taifa Stars na Alhamisi Tanzania ikishinda ni Sare ila Kufungwa ni kama Israeli na Roho ya Binadamu.

Kuna Tukio Kubwa litatokea Siku ya Alhamisi ama kabla au mechi ikiendelea ila mlivumilie tu kwani ndiyo mtajua kuwa Wakongo kwa Uchawi Afrika wao ndiyo Walimu na kwamba tupo Watanzania tunaochukia Timu yetu ya Taifa ( Taifa Stars ) kufanywa ni ya Kisiasa zaidi na Ng'ombe kulazimishwa Kunenepa Siku ya Mnada.

Kila Ia Kheri Congo DR na Madagascar!!
Sasa ulitaka wapewe timu watu wa Simba ambao timu yao kwa sasa inawashinda[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wala nisiwafiche baada ya kuona Watu wa Yanga SC ( tena kutokea GSM ) ambao KEROZENE siwapendi na nawachukia ndiyo wamepewa Kipaumbele kwa Maandalizi ya Taifa Stars nimeuza Siri zote za Kambi ya Taifa Stars na Alhamisi Tanzania ikishinda ni Sare ila Kufungwa ni kama Israeli na Roho ya Binadamu.

Kuna Tukio Kubwa litatokea Siku ya Alhamisi ama kabla au mechi ikiendelea ila mlivumilie tu kwani ndiyo mtajua kuwa Wakongo kwa Uchawi Afrika wao ndiyo Walimu na kwamba tupo Watanzania tunaochukia Timu yetu ya Taifa ( Taifa Stars ) kufanywa ni ya Kisiasa zaidi na Ng'ombe kulazimishwa Kunenepa Siku ya Mnada.

Kila Ia Kheri Congo DR na Madagascar!!
We ni mkongolendi, mambo ya Tanzania yanakuhusu nini?

Alafu hii inchi hii, mtu akijua kuongea na kuandika kiswahili basi na yeye ni mtanzania!

Kuna haja ya serkali kuhakiki raia wake ipasavyo, maana wavamizi ni wengi na wanazidi kuongezeka.

Hasa mipaka iliyopo mkoa Kigoma, Warundi ni wengi wanajiita waha.

Wakongo wanajiita wamanyema.
Serkali iwadhibiti walowezi hawa.
 
Wala nisiwafiche baada ya kuona Watu wa Yanga SC ( tena kutokea GSM ) ambao KEROZENE siwapendi na nawachukia ndiyo wamepewa Kipaumbele kwa Maandalizi ya Taifa Stars nimeuza Siri zote za Kambi ya Taifa Stars na Alhamisi Tanzania ikishinda ni Sare ila Kufungwa ni kama Israeli na Roho ya Binadamu.

Kuna Tukio Kubwa litatokea Siku ya Alhamisi ama kabla au mechi ikiendelea ila mlivumilie tu kwani ndiyo mtajua kuwa Wakongo kwa Uchawi Afrika wao ndiyo Walimu na kwamba tupo Watanzania tunaochukia Timu yetu ya Taifa ( Taifa Stars ) kufanywa ni ya Kisiasa zaidi na Ng'ombe kulazimishwa Kunenepa Siku ya Mnada.

Kila Ia Kheri Congo DR na Madagascar!!
Ungana na mama yako pia
 
Hivi huyu ni Genta au mume wake Genta!??
 
Back
Top Bottom