Watanzania vs waganda & wakenya

Watanzania vs waganda & wakenya

una hakika? Toa takwimu za kusapoti hoja yako. Sio kilabuni hapa mazee
 
simple,
Watz tunapenda kuongea sana,hatubishani ktk masuala ya msingi,huwa tunakubali kila kitu,then hatutekelezi chochote,as a result hatuna outcome nzuri.
-tunapenda sifa za juu juu,(superficial )
-mambo ya msingi hatuyatekelezi. e.g usafi ,nenda ktk ofisi nyingi za watz ,reception pasafi,nenda chooni utatamani urudi nyuma.
-kiongozi akiitisha mkutano hamna anayehoji lolote ,ikiwa workshop seminar ,kongamano kila mtu ana smile na kutikisa vichwa kusupport mada,then baada ya hapo hamna utekelezaji wowote.

on the other hand.
Wakenya ,huwa wabishi ktk vikao,wanabisha with grounds and facts,mkikubaliana jambo anajiaanda alete results,
wanajua thamani ya mteja=pesa ,watz tunajua thamani ya Utu only na siyo pesa
wakenya hawana resources nyingi so wameshajifunza kutumia chache walizonazo
wakenya wana ukabila sana,so they are more competitive.

e.g
wao wanachanga Pesa nyingi ktk Harambee kwa ajili ya Elimu kwa ajili ya Life time life changing issues
sisi tunachanga pesa nyingi sana ktk Harusi,kipaimara,birthday etc kwa ajili ya sherehe ya siku moja tu.

harusi zetu huwa ni usiku tu,after 4pm
wao huwa mchana then ukalale mapema ili kesho ufanya shughuli zako za kiuchumi
 
Niliwahi kujijasiriamalisha kwenye biashara ya Secretarial Bureau, CV za wakenya na waganda zimepangiliwa vizuri mno, achilia mbali hizo qualification za taaluma zao: kuongoza watalii, wahudumu wa ma hotelinio, melini, kwenye ndege na mengine.
Tunabaki nyuma kila siku kwa mfumo ne sera zetu; hivi Kenya wakifunga viwanda 50 kama Tz tutapata wapi sabuni ya kuogea? Walivyopigana mashelf ya maduka yetu yakabaki matupu!
 
Wabongo tuna utaratibu wa kujirudisha nyuma, tuna phobia ya ushindani. Tunaogopa kushindwa, na kwa mantiki hiyo hatupendi ushindani.
Tumezoea kupata chance kwenye vibakuli, ndo maana nepotism ni kubwa: Mfano Mkuu wa nchi na familia yake wameibinafsisha Ikulu.
Hatujiamini.
Tunapenda kukatishana tamaa badala ya kupeana moyo.

Kwa mfano: Kuna jambo niliamua kulifanya katika kupambana na maisha, cha ajabu marafiki zangu wote wakagoma kunisapoti eti kisa, hilo suala haliwezekani. Luckily nikafanikiwa! Baada ya hapo nao ndiyo wakafunguka macho na kupata moyo kwamba kumbe inawezekana. Ndiyo wako kwenye kulifanya kwa sasa. Kutokana na huu mfano, mara nyingi huwa najiuliza kama wangekubali kuniunga mkono na tukalifanya kwa pamoja wakati ule; leo si tungekuwa tunaelekea level nyingine?
 
Mganda au Mkenya akisha kaa kwenye ofisi moja, ikitokea nafasi huwa anawambia watu wa kwao kwanza kabla tangazo halijatoka. Hivyo applicants wengi wanakuwa waganda au wakenya. Mmbongo akikaa sehemu nzuri hataki kuwaita wabongo wenzake kwasababu watafaidika halafu atashindwa kuwatambia baadaye.

Hapo kwenye red kuna ka ukweli mkuu, huwa tunapenda sana umwinyi,, mara zote tunapenda kuona mtu akitunyenyekea, hivyo ni rahisi kumpa nafasi stranger kuliko kumpa Mbongo mwenzako eti kisa atakupita au mtalingana kimaendeleo, hivyo heshima yako kwake itashuka.
 
wakuu hapo juu mmenena kweli kweli......
 
Tutaacha lini kujidharau wenyewe??? Nani amewaambia hivyo mimi niko katika moja ya hizo nchi uilzotaja napiga kazi katika shirika fulani katika interview tulikuwa wanne Kenya 2, Uganda 1 and mimi mtz 1. Pamoja na kuwasifia hyko mnakowasifia niliwapiga chini wote nikachukua kazi.

Hiyo kama haitoshi napiga kazi ambayo nashirikiana na supplies jamani ni wasumbufu hawajali deadline wala hawana haraka unaweza ukaitisha quotation deadline saa 4 ukakuta ni mmoja tu ndo katuma sasa kazi kwako uanze kupiga simu reminder za email kibao lakini wapi mpaka unachukua gari kuwafata ofisni kwao kwa sababu wewe unadeadline na unatakiwa kukamilisha kazi.

Watanzania nawasihi sana tena tusijidharau wenyewe wala kuwaogopa wakenya wala waganda wao wanachoweza ni kuongea sana hapo watakushinda lakini kwa kazi hakuna kitu kabisa im telling you from my experince na ninayoyaona hapa ofisini. Maana hata report za safari ni shida mpaka mkubwa atume email sijapata report yako ndo atakimbizana.

Narudia tena kuwaambia watanzania wanafanya kazi kuliko wakenya na hao waganda manaosema nina experience kubwa sana hapa na ninafanya nao kazi so nina hakika na kile ninachoongea.

Goodluky Watanzania tujifunze kusema tunaweza kuliko wao.

Nawasilisha
 
Tutaacha lini kujidharau wenyewe??? Nani amewaambia hivyo mimi niko katika moja ya hizo nchi uilzotaja napiga kazi katika shirika fulani katika interview tulikuwa wanne Kenya 2, Uganda 1 and mimi mtz 1. Pamoja na kuwasifia hyko mnakowasifia niliwapiga chini wote nikachukua kazi.

Hiyo kama haitoshi napiga kazi ambayo nashirikiana na supplies jamani ni wasumbufu hawajali deadline wala hawana haraka unaweza ukaitisha quotation deadline saa 4 ukakuta ni mmoja tu ndo katuma sasa kazi kwako uanze kupiga simu reminder za email kibao lakini wapi mpaka unachukua gari kuwafata ofisni kwao kwa sababu wewe unadeadline na unatakiwa kukamilisha kazi.

Watanzania nawasihi sana tena tusijidharau wenyewe wala kuwaogopa wakenya wala waganda wao wanachoweza ni kuongea sana hapo watakushinda lakini kwa kazi hakuna kitu kabisa im telling you from my experince na ninayoyaona hapa ofisini. Maana hata report za safari ni shida mpaka mkubwa atume email sijapata report yako ndo atakimbizana.

Narudia tena kuwaambia watanzania wanafanya kazi kuliko wakenya na hao waganda manaosema nina experience kubwa sana hapa na ninafanya nao kazi so nina hakika na kile ninachoongea.

Goodluky Watanzania tujifunze kusema tunaweza kuliko wao.

Nawasilisha

Ni bora wewe umenena maana wabongo walishaathirika siku nyingi na hii inferiority complex na watachukua mda mrefu sana kupona...:rain:
 
Ni bora wewe umenena maana wabongo walishaathirika siku nyingi na hii inferiority complex na watachukua mda mrefu sana kupona...:rain:

Huwa nikisikia hivyo najisikia vibaya kweli najiuliza kwanini lakini?? Mimi kwa kweli hata wakati naandika maombi nilijiamini sana na nikasema nitashinda kwani wao nani bana. Na kweli nilishinda aaiii Watanzania hebu tujiamini bana hakuna kuwaogopa hawa watu ni midomo tu lakini kazi hakuna kabisa. Utakuta anakuja sales person kujitambulisha atakavyojieleza utasema aahhh huyu si ndo wakumpa kazi subiri sasa uitishe utashangaa atakavyochelewa kujibu mpaka umfatilie kama unamdai delivery sasa ndo kiboko wanapitisha hata siku tano hawakamilisha kazi aaahhh mie najivunia kuwa Mtanzania
 
Wabongoo ubabaishajii unatuponzaa sanaa kuanzia kwenye utendajii mpaka maisha yetu ya kila siku. Kwa mfanoo uozoo wa utendajii katika sekta ya umma unachangiaa kwa kiasii kikubwaa kukuzaa umbumbuu wa wabongo kuwaa competitivee katikaa soko la ajira.

Tabiaa ya unafiki,woga na kutokujiamnii kunaturudishaa nyumaa sana. Upuuzi tulio nao wa kuheshimuu kupita kiasii viongozi na kuishiaa kutokuhojii chochote wafanyachoo kwa masilahii ya taifa. Mfano nakerekaa sanaa mbunge kusema ''naiomba serikali itusaidie tupate umeme,maji na barabara katika wilaya yetu''' shame upon all of you MPs!! serikali inaombwaa kwani ipo kwa ajili ya nani???????? vitabiaa vidogo vidogo vinavyochangiaa umbumbuu wetuu kukuaaa kwa kasi..
 
Huwa nikisikia hivyo najisikia vibaya kweli najiuliza kwanini lakini?? Mimi kwa kweli hata wakati naandika maombi nilijiamini sana na nikasema nitashinda kwani wao nani bana. Na kweli nilishinda aaiii Watanzania hebu tujiamini bana hakuna kuwaogopa hawa watu ni midomo tu lakini kazi hakuna kabisa. Utakuta anakuja sales person kujitambulisha atakavyojieleza utasema aahhh huyu si ndo wakumpa kazi subiri sasa uitishe utashangaa atakavyochelewa kujibu mpaka umfatilie kama unamdai delivery sasa ndo kiboko wanapitisha hata siku tano hawakamilisha kazi aaahhh mie najivunia kuwa Mtanzania

Ni kweli mkuu, huu ugonjwa ni mbaya sana na unawaathiri watu bila ya wao kujijua...

Kwa mfano:

Hivi ni sahihi kusema kuwa wabongo wanaosoma darasa moja na waKenya na wa UG huwa wao wanashika namba za mkiani?. Au ni sahihi kusema kuwa kama wewe ni lecturer wa kibongo basi utashindwa kufundisha darasa lenye wanafunzi wa kiKenya na ki UG?

Kujiamini ni kitu cha muhimu sana kwenye maisha ya kila binadamu...
 
Ni kweli mkuu, huu ugonjwa ni mbaya sana na unawaathiri watu bila ya wao kujijua...

Kwa mfano:

Hivi ni sahihi kusema kuwa wabongo wanaosoma darasa moja na waKenya na wa UG huwa wao wanashika namba za mkiani?. Au ni sahihi kusema kuwa kama wewe ni lecturer wa kibongo basi utashindwa kufundisha darasa lenye wanafunzi wa kiKenya na ki UG?

Kujiamini ni kitu cha muhimu sana kwenye maisha ya kila binadamu...

Anaweza sana na wapo huku mie nawaona bana
 
Tutaacha lini kujidharau wenyewe??? Nani amewaambia hivyo mimi niko katika moja ya hizo nchi uilzotaja napiga kazi katika shirika fulani katika interview tulikuwa wanne Kenya 2, Uganda 1 and mimi mtz 1. Pamoja na kuwasifia hyko mnakowasifia niliwapiga chini wote nikachukua kazi.

Hiyo kama haitoshi napiga kazi ambayo nashirikiana na supplies jamani ni wasumbufu hawajali deadline wala hawana haraka unaweza ukaitisha quotation deadline saa 4 ukakuta ni mmoja tu ndo katuma sasa kazi kwako uanze kupiga simu reminder za email kibao lakini wapi mpaka unachukua gari kuwafata ofisni kwao kwa sababu wewe unadeadline na unatakiwa kukamilisha kazi.

Watanzania nawasihi sana tena tusijidharau wenyewe wala kuwaogopa wakenya wala waganda wao wanachoweza ni kuongea sana hapo watakushinda lakini kwa kazi hakuna kitu kabisa im telling you from my experince na ninayoyaona hapa ofisini. Maana hata report za safari ni shida mpaka mkubwa atume email sijapata report yako ndo atakimbizana.

Narudia tena kuwaambia watanzania wanafanya kazi kuliko wakenya na hao waganda manaosema nina experience kubwa sana hapa na ninafanya nao kazi so nina hakika na kile ninachoongea.

Goodluky Watanzania tujifunze kusema tunaweza kuliko wao.

Nawasilisha
Isije ikawa ulipewa kazi kwa vigezo "vingine" I am jsut joking...
 
Isije ikawa ulipewa kazi kwa vigezo "vingine" I am jsut joking...

Nitakuchapa wewe ushindwe na ulegee watu hata siwajuia wewe ngoja nikuache bahati yako ni kaka yangu nilishaanza kuvuka mipaka
 
Wakenya na waganda hawana lolote,nimesoma nao na tuliokuwa tunafanya vizuri darasani ni watanzania wao tulikuwa tunaawaacha mbali sana kitaaluma.So tusiwaogope cha muhimu tunatakiwa tuongeze tu confidence kwa chochote tunachokifanya never give up in this world na kamwe tusiseme hatuwezi.
 
simple,
Watz tunapenda kuongea sana,hatubishani ktk masuala ya msingi,huwa tunakubali kila kitu,then hatutekelezi chochote,as a result hatuna outcome nzuri.
-tunapenda sifa za juu juu,(superficial )
-mambo ya msingi hatuyatekelezi. e.g usafi ,nenda ktk ofisi nyingi za watz ,reception pasafi,nenda chooni utatamani urudi nyuma.
-kiongozi akiitisha mkutano hamna anayehoji lolote ,ikiwa workshop seminar ,kongamano kila mtu ana smile na kutikisa vichwa kusupport mada,then baada ya hapo hamna utekelezaji wowote.

on the other hand.
Wakenya ,huwa wabishi ktk vikao,wanabisha with grounds and facts,mkikubaliana jambo anajiaanda alete results,
wanajua thamani ya mteja=pesa ,watz tunajua thamani ya Utu only na siyo pesa
wakenya hawana resources nyingi so wameshajifunza kutumia chache walizonazo
wakenya wana ukabila sana,so they are more competitive.

e.g
wao wanachanga Pesa nyingi ktk Harambee kwa ajili ya Elimu kwa ajili ya Life time life changing issues
sisi tunachanga pesa nyingi sana ktk Harusi,kipaimara,birthday etc kwa ajili ya sherehe ya siku moja tu.

harusi zetu huwa ni usiku tu,after 4pm
wao huwa mchana then ukalale mapema ili kesho ufanya shughuli zako za kiuchumi

Kweli umeongea sidhani kama kuna wa kupinga mawazo yako!labda tuongezee na elimu.Wenzetu wanajua kutumia elimu wanayopata.And they know how to win the opportunities,Pia ni wambea(waongo).
 
Tutaacha lini kujidharau wenyewe??? Nani amewaambia hivyo mimi niko katika moja ya hizo nchi uilzotaja napiga kazi katika shirika fulani katika interview tulikuwa wanne Kenya 2, Uganda 1 and mimi mtz 1. Pamoja na kuwasifia hyko mnakowasifia niliwapiga chini wote nikachukua kazi.

Hiyo kama haitoshi napiga kazi ambayo nashirikiana na supplies jamani ni wasumbufu hawajali deadline wala hawana haraka unaweza ukaitisha quotation deadline saa 4 ukakuta ni mmoja tu ndo katuma sasa kazi kwako uanze kupiga simu reminder za email kibao lakini wapi mpaka unachukua gari kuwafata ofisni kwao kwa sababu wewe unadeadline na unatakiwa kukamilisha kazi.

Watanzania nawasihi sana tena tusijidharau wenyewe wala kuwaogopa wakenya wala waganda wao wanachoweza ni kuongea sana hapo watakushinda lakini kwa kazi hakuna kitu kabisa im telling you from my experince na ninayoyaona hapa ofisini. Maana hata report za safari ni shida mpaka mkubwa atume email sijapata report yako ndo atakimbizana.

Narudia tena kuwaambia watanzania wanafanya kazi kuliko wakenya na hao waganda manaosema nina experience kubwa sana hapa na ninafanya nao kazi so nina hakika na kile ninachoongea.

Goodluky Watanzania tujifunze kusema tunaweza kuliko wao.

Nawasilisha

Dah, yaani umenena vyema sana, inferiority complex inatutafuna sana watazania...
Na kama ulivyosema, hawa jamaa ni wakawaida kuliko ukawaida wenyewe.
Binafsi nilishawahi ku-deal nao,
believe me; wengi wao wana ile mentality kuwa watanzania tunapenda kujishusha na huwa wanaitumia hiyo advantage vizuri kweli.
Lakini wakigundua kuwa wewe ni mbongo halafu mbishi basi wanakuwaga waoga kweli, hadi mara nyingine huwa nawahurumia..
 
Ninafanya kazi na Wakenya na nimejifunza kwao; upande mmoja ni kweli kwamba wamepata neema ya kuwa kwenye mashirika mengi ya Kimataifa na ni kwa sababu mbili kubwa moja wako tayari kurisk, haijalishi what will be the outcome provided anaona kuwa akifaulu kupita hapo atafanikiwa na pili ni kuwa wanapenda wa kwao ( yaani ile mbegu ya ukabila iliyoko kwao) wakitoka nje bado inakuwa inaendelea. Kwa hiyo ni bora ampate Mkenya mwenzake na if possible wa kabila lake kujaza nafasi inayokuwa imepatikana (which is a spirit of patriotism on one side kwani damu ni nzito kuliko maji).

Jambo lingine ni kuwa Wakenya au Waganda wengi wao ni wasemaji hata kama utekelezaji wa wanachosema/uwajibikaji unakuwa kidogo. Dunia ya leo bado ina watu wengi wanaofikiri kuwa mtu anayejieleza vizuri( A person who can talk) ni mfanyakazi mzuri. Hii wakati wote siyo kweli ni sawa na kuamini kuwa mtu mwenye degree first class na ofisini/kwenye utendaji ataonyesha maajabu. Kwa sababu ili uajiriwe inabidi ufanyiwe usaili (interview), kama wote mna qualifications sawa mara nyingi aliyejieleza vizuri ndiye anayechukuliwa na kwetu watanzania tukumbuke kiingereza ni lugha ya tatu wakati kwa wakenya na waganda ni lugha ya pili; kwa hiyo wakati mwingine inatuathiri tunapokuwa tunajieleza.

Lakini pia baadhi ya watanzania tumezidi kwa kutokuwa serious na kazi/shughuli zetu, wakati mwingine unakwenda dukani kwa mtu una hela yako lakini inakuwa kama unamsumbua kwa wewe kutaka akuuzie kitu. Wafanyakazi wa huduma mbalimbali wakati mwingine wanafanya kazi kama wamelazimishwa, ile dhana kwamba mteja ni mfalme ni wachache sana wanaoifanyia kazi kwa vitendo. Ndiyo maana natamani Jumuia ya Africa Mashariki itusaidie kuleta ushindani katika hili ili uzembe na kutokuwa serious vipungue.
 
Back
Top Bottom