Uzi huo huko jukwaa la Siasa umegeuka kuwa wa ukabila. Si mlituambia hamna ukabila?
Naona wanamezana kweli kweli. A country full of cheerleaders, they should turn the heat on their leaders
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi huo huko jukwaa la Siasa umegeuka kuwa wa ukabila. Si mlituambia hamna ukabila?
Democracy in the makingNaona wanamezana kweli kweli. A country full of cheerleaders, they should turn the heat on their leaders
Ulishawahi ona tukiuana kisa ukabila?Uzi huo huko jukwaa la Siasa umegeuka kuwa wa ukabila. Si mlituambia hamna ukabila?
Ulishawahi ona tukiuana kisa ukabila?
Mnaelekea huko hivi karibuniUlishawahi ona tukiuana kisa ukabila?
Ukweli mna njaa pambaneni na njaaHayo mavitu unayoyaleta hayabadilishi ukweli, bandari tunazindua ambayo itakua ya kipekee ukanda wote huu.
Ukweli mna njaa pambaneni na njaa
Ulishawahi ona tukiuana kisa ukabila?
Mtasubiri sanaWakuria wanauna hukoo Isebania kila kukija.Don't paint yourselves like angels. You are only pretentious which is more evil than anything else in this world
Mtasuburi hadi mchokeMnaelekea huko hivi karibuni
Pumba tupu endelea kujipa matumaini na white elephantKaka unaposema MELIKUBWA wengi humu hawaelewi kitu,hii nondo imeshiba vilivyo basi tu tumelogwa.Investment ya Bandari inalipa mara 100 zaidi kuliko Dreamliner tulizoagiza japo ukishakuwa na rangi ya mgomba akili unaziacha uani.Wafuatilie maendeleo ya nchi kama SINGAPORE waone nini kinawaingizia hela na maendeleo waliyonayo.Hawana natural resources hata robo tu ya tulizonazo ila Bandari kwao ndo kila kitu na wanapiga
Nimelewa ni kiasi gani Kenya National inteligemce service NIS inavyozidi ujanja TISS linapokuja swala la maslahi ya taifa, kumbe zile mbwembwe za kujemga urafiki kati ya Uhuru na Raila ilikuwa ni mbinu ya kumkamata mzee wa misifa?? Naye bila kujua akaingia mtegoni.
NIS iliwalazimisha uhusiano mwema kati ta Raila na Uhuru ili.kulinda maslahi ya wakenya.
Sasa Lamu port hii itaifikisha mbali sana. Hata hizi meli ndogo tu haizifiki dar port lazima zipite Mombasa.
Bado unamuamiani Zitto Kabwe? Angalia maoni yake kuhusu mikataba ya gesi kabla na baada ya JPM. Jamaa ni mpumbavu ambaye ameamua kumpinga a JPM kwa kila kitu.
Mkataba wa Gesi umevuja:Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka
Mkataba wa Gesi umevuja: #Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka – #Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu leave a comment » Mkataba wa Gesi umevuja: Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka - Norway kujirudishia...www.jamiiforums.com
USD Bilioni 52.8 ( TZS 121 Trilioni ) zilizozuiwa na Magufuli kuingia kwenye Uchumi wa Tanzania tangu mwaka 2015
USD Bilioni 52.8 ( TZS 121 Trilioni ) zilizozuiwa na Magufuli kuingia kwenye Uchumi wa Tanzania tangu mwaka 2015 Mwezi Oktoba, 2015 Tanzania ilikuwa na miradi yenye thamani ya Dola za Marekani Bilioni 52.8 yenye Fedha tayari na inayosubiri utekelezaji tu. Miradi hiyo ni pamoja na Mradi wa...www.jamiiforums.com
Inahitaji uwe mwendawazimu kumuamini Zitto.