Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
FuelMafuta petrol/diesel au ya kupikia?
Mbona hapo kaandika petrol na diesel!Mafuta petrol/diesel au ya kupikia?
Alikuwa hajaandika. Ame-editMbona hapo kaandika petrol na diesel!
Kaenda kozi ya udikteta nchi jirani mbona tozo cha mtotoHuyu mama kamua kuminya kende za wanaume wote nchi hii
Kaenda kozi ya udikteta nchi jirani mbona tozo cha mtotoHuyu mama kamua kuminya kende za wanaume wote nchi hii
Haifiki moja na nusu mkuu! Nasikia lita moja ni kati ya 1800 na 1900 huko Zambia. Huku sababu za kupanda si Mwigulu ameshaambia kuwa ni uzalendo?Pesa ya kununua lita moja Tanzania ukienda Zambia unapata lita moja na nusu.
Je, Tanzania ni failed state?
Ogopa sana uwaji rembuwajiKaenda kozi ya udikteta nchi jirani mbona tozo cha mtoto
NENDENI ILA DURING TAX AUDIT TRA HAWATA TAMBUA WATAOMBA EVIDENCEZambia yote mafuta yao ni bei moja nchi nzima hazipishani ni sheria,
Petrol Kwacha 17.56 ( 1,756 T/ shs)
Diesel Kwacha 15,42 (1,542 T/ shs)
So magari yote ya binafsi including buses yaliyo karibu na border y anaingia Zambia kujaza mafuta, ila yakipungua foreigners car hawauziwi, ni Zambian cars only.
Tumekariri mdau yote hii baada ya kuona huko uarabuni uchumi wao unategemea mafuta na sie tumekariri humo humo.....Nilikuwa naangalia bei ya wese Uganda,Kenya na Rwanda kumbe sisi tuna afadhari. Hizi serikali za Afrika Mashariki ni nani aliwadanganya kuwa chanzo kikuu cha mapato iwe ni wese?
Natamani namimi ningekuwa mpakani. Naenda kila weekend kujaza full tank then narudi bongo!Kwa mujibu wa VOA Swahili, Watanzania wa mipakani wameanza kuvuka mipaka na kwenda Zambia kununua mafuta (Petrol/Diesel)...
Unataka ukamchome shemeji na wewe?Hivi ni kiasi gani cha mafuta kinatosha kuchoma nyumba na ipi nzuri kati petrol/diesel
Inategemea na ukubwa wa nyumba pia material yaliyotumika kwenye ujenzi. Nyumba ya makuti ni wewe tu na kiberiti chako cha jiti. πππHivi ni kiasi gani cha mafuta kinatosha kuchoma nyumba na ipi nzuri kati petrol/diesel