Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
LOL ninyi si yule kiongozi wenu kapewa kibali cha kuhutubia bunge la Umoja wa Ulaya?Hongera Kenya ingekuwa huku daa makelele hayo mpk miaka 5 ijayo wangejazana kusifia ujinga kuanzia maaskofu masheikh wabunge waandishi wahabari wanajeshi polisi tusingekaa kwa amani maneno mengi vitendo zero.
Tukiacha ushabiki Kenya mnajitahidi sana mkiacha mambo ya ubinafsi nahis linaweza kuwa taifa bora Afrika wee angalia juzi mahakama inapinga amri ya raisi kuhusu mikutano ya kisiasa ingekuwa thubutu kusema kweli sisi tunamlima wa safari kuwafikia Kenya kila tukiwakimbiza nyie mnaongeza mwendo.
Tanzania mna safari ndefu sana kuifikia Kenya pahali ilipoHongera Kenya ingekuwa huku daa makelele hayo mpk miaka 5 ijayo wangejazana kusifia ujinga kuanzia maaskofu masheikh wabunge waandishi wahabari wanajeshi polisi tusingekaa kwa amani maneno mengi vitendo zero.
Tukiacha ushabiki Kenya mnajitahidi sana mkiacha mambo ya ubinafsi nahis linaweza kuwa taifa bora Afrika wee angalia juzi mahakama inapinga amri ya raisi kuhusu mikutano ya kisiasa ingekuwa thubutu kusema kweli sisi tunamlima wa safari kuwafikia Kenya kila tukiwakimbiza nyie mnaongeza mwendo.
Tunamsubiri Lissu apeleke mapendekezo ya budget ya finishing siku akihutubia bunge la Umoja wa Ulaya.Daah! Ila mkuu SGR yetu inaanza tumika rasmi lini kipande ya dar moro?
Wacha kubadilisha mada wewe. Makasiriko apan taka. Tulia sindano ikuingie. 😂 😂Nimeshtushwa na taarifa humu kwamba nauli ya abiria wa commuter train Kenya ni shilling 2200? Like seriously? 😂😂😂😂
Hii kwa Tanzania ni nauli ya kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine tena kwenye luxurious shuttle service
Eti Kenya ndio nauli standard ya kila kituo ndani ya jiji? Sasa wakenya wengi ni scavengers pesa ya chakula tu hawana hii nauli yote watatoa wapi?
Hii pesa kwa Tanzania ni pesa ya kula Wali nyama na mboga za majani for lunch and dinner na inabaki 200 hapo utaamua ununue ndizi au maji ya kunywa (though drinking water is a free service in restaurants)
Sadly Kenya hiyo ni pesa ya nauli ya daladala mjini 😂😂😂😂
He's so stupid. Mbona sisi hatusemi hao wakenya ni watu wa opposition? Hawa watu hawakosangi visingizio
Jameni hizo comments nimecheka sana hapa, ila ni ukweli, angalia SGR kasafu ka kilomita 200km Dar-Moro kamegomea maporini lakini wamepigishiwa makelele utadhani inakwenda binguni, ilikua waanze kuitumia mwaka jana, na nionavyo huu mwaka unaisha wakiendelea kutangaziwa SGR.....ilhali sisi SGR yenye urefu karibia mara tatu ya hiyo tulishakamilisha kitambo na tumeitumia hadi tumechoka nayo.
hao ni baadhi tu ya watanzania wasio jitambuakumbe wabongo wanajua kucomplain ivi...wananikumbusha kipindi kile tunajenga thika highway, walikuwa wanasema hivihivi.
N i kweli mkuu,mambo haya ndio nimekuwa nakwaluzana na proccm humu jukwaani yaani kamradi kidogo tuu kakelele utafikiri ndio pekee hapa africa au duniani yaani watu maskini wa roho akili na uwezo ni tatizo sana wakishika madaraka.Jameni hizo comments nimecheka sana hapa, ila ni ukweli, angalia SGR kasafu ka kilomita 200km Dar-Moro kamegomea maporini lakini wamepigishiwa makelele utadhani inakwenda binguni, ilikua waanze kuitumia mwaka jana, na nionavyo huu mwaka unaisha wakiendelea kutangaziwa SGR ilhali sisi SGR yenye urefu karibia mara tatu ya hiyo tulishakamilisha kitambo na tumeitumia hadi tumechoka nayo.
N i kweli mkuu,mambo haya ndio nimekuwa nakwaluzana na proccm humu jukwaani yaani kamradi kidogo tuu kakelele utafikiri ndio pekee hapa africa au duniani yaani watu maskini wa roho akili na uwezo ni tatizo sana wakishika madaraka.
Nchi nyingi sana za Africa zimekuwa na flyover miaka mingi kama Ivory Coast,Kenya,Ghana,Angola nk nk,Uganada tu hapa kuna express way ya km 40 lakini hii ya kibaha inavyopigiwa makelele sasa utafikiri sie wote ni wehu,yaani hawa mataga wanatuaibisha sana
Jameni hizo comments nimecheka sana hapa, ila ni ukweli, angalia SGR kasafu ka kilomita 200km Dar-Moro kamegomea maporini lakini wamepigishiwa makelele utadhani inakwenda binguni, ilikua waanze kuitumia mwaka jana, na nionavyo huu mwaka unaisha wakiendelea kutangaziwa SGR ilhali sisi SGR yenye urefu karibia mara tatu ya hiyo tulishakamilisha kitambo na tumeitumia hadi tumechoka nayo.
Hiyo mmejengewa na sio nyinyi mliojenga ama kusupervise. Hiyo naichukulia sawa na demu na boy. Demu kahongwa Vx ndani ya muda mfupi anaitumia na Boy kaingia field kusaka pesa ili apate hiyo Vx.
Lakini mtaani utasikia watu kama MK254 wanasema huyu demu amefanya jitihada akanunua Vx na Boy hana lolote. No problem time will tell
Kenya ni sawa na demu anaehonga chini apate Chochote na sisi tungekuwa tunahonga hivyo tungekuwa na bandari ya bagamoyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jameni hizo comments nimecheka sana hapa, ila ni ukweli, angalia SGR kasafu ka kilomita 200km Dar-Moro kamegomea maporini lakini wamepigishiwa makelele utadhani inakwenda binguni, ilikua waanze kuitumia mwaka jana, na nionavyo huu mwaka unaisha wakiendelea kutangaziwa SGR ilhali sisi SGR yenye urefu karibia mara tatu ya hiyo tulishakamilisha kitambo na tumeitumia hadi tumechoka nayo.
Hongereni kwa kutangulia...lakini msitarajie na sie tujenge daraja la km 27.5 ili tufanane kwa kua kila mji unamipango yake ,Sisi tunahitaji kujenga zaidi brt katika main arteries zote za jiji flyover katika makutano na highways katika barabara kuu zinazoingia na kutoka jijini,zaidi ni kupave barabara za mitaa michepuko na kuziboresha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We jamaa unafrahisha sana...SGR lot I ndio wapo 90% complete sasa unadhan izo 10% ni nyingi sana Au? Alafu inajengwa hadi makutopora Singida bampa to bampa...
Kitangulia sio kufika bruh, Hii inayojengwa hapa kwetu treni zitatumia nishati ya umeme na diesel kwa pamoja,Nyie mmejenga sgr tu bila miundombinu ya umeme kwahyo hamuwez Izidi hii kwa ubora
Wewe tuliza pressureInajengwa inayojengwa jengwa jengwa!!!!!! Haya endeleeni kujenga....