Pre GE2025 Watanzania Waipuuze Chadema, Msajili aifungie Chadema kwa kuleta vurugu

Pre GE2025 Watanzania Waipuuze Chadema, Msajili aifungie Chadema kwa kuleta vurugu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe endelea kusaka vyeo Kwa kuwa chawa, achana na mipango ya CHADEMA.
 
Na Dr. Sisimizi

Imekua kawaida sasa kwa Chadema kupiga mikwara ya Sisimizi kwa Tembo ya kutishia kufanya maandamano ilihali miaka yote hawajawahi kufanikiwa sababu ya kukosa ushawishi na uungwaji mkono.

Mwaka 2015 baada ya Uchaguzi Mkuu, Chadema walitishia kuitisha maandamano, ili kupinga matokeo yaliyotangazwa na tume ya Uchaguzi ambayo ilionesha mgombea wao wa Urais alishindwa vikali, lakini maandamano hayo yalikosa watu.


Mwaka 2016 Chadema haohao walianza kutikisa tena Kibiriti, kwa kuitisha maandamano mengine ya UKUTA, lakini nayo hayakufanikiwa kwa sababu wananchi walishawajua ni wanaitisha maandamano yenye nia ovu ya kuvunja amani.

Mwaka 2018 Chadema walipeleka Simanzi kwa Jumuiya za Wanafunzi wa elimu ya juu, kwa kufanya maandamano yenye fujo wakitumia fursa ya uchaguzi mdogo Jimbo la Kinondoni na kupelekea miongoni mwa waandamanaji wao kurusha kilipuzi na kumpata mwanafunzi Akwilina Akwelini, na kuifanya Jumuiya ya Wanafunzi kuichukia Chadema, kwa sababu haikuwahi kutoka kuomba radhi kwa sababu maandamano yao ndiyo yalikatisha ndoto za mwanafunzi msomi.

Mwaka 2020 kama kawaida yao tena, baada ya kushindwa tena Uchaguzi Mkuu, walipanga kufanya maandamano makubwa yakufanya mapinduzi dhidi ya Serikali halali iliyochaguliwa, walipanga kuchoma matairi, kuchoma vituo vya mafuta na kulipua Super Market, ila wananchi pia waliwakataa na tunashukuru vyombo vya dola viliingilia kati.

Kiufupi CHADEMA wamekua wakiitumia vibaya njia ya maandamano wakilenga kuanzisha vurugu na kuleta sintofahamu na kutamani nchi isitawalike kabisa, mpaka wao wapate mahitaji yao ya kisiasa.

Sasa mwaka huu wa 2024 wameamua kuja na njia ileile ya maandamano ili kuhakikisha amani haipatikani, kisa tu wao wamekataa kwenda kutoa maoni yao kuhusu muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi kwenye majukwaa rasmi na walitaka wao pekee ndiyo waandike huo muswada kisha upelekwe Bungeni, wakati hii ni nchi ya Vyama vingi, Chadema si chama pekee chenye hatimiliki ya uchaguzi.

Nikiwa nawasihi watanzania kumpuuza Freeman Mbowe kuwa wanataka kutangaza maandamano, pia nimsihi Msajili wa Vyama vya siasa angekisimamisha Chadema kufanya shughuli zake kwa muda, hadi pale watakapokubali kufanya siasa za kistaarabu kwa kuzingatia 4R.
Nimesoma nikapata kichefuchefu...kwanini mnanyamba sana watu wakitaka kuonesha hisia zao? Kama hazina maana watu si hawatojitokeza kuandamana!!
Sasa we mahamu unawashwa nini? Chadema walikuletea vurugu wakakufanyaje?
 
Na Dr. Sisimizi

Imekua kawaida sasa kwa Chadema kupiga mikwara ya Sisimizi kwa Tembo ya kutishia kufanya maandamano ilihali miaka yote hawajawahi kufanikiwa sababu ya kukosa ushawishi na uungwaji mkono.

Mwaka 2015 baada ya Uchaguzi Mkuu, Chadema walitishia kuitisha maandamano, ili kupinga matokeo yaliyotangazwa na tume ya Uchaguzi ambayo ilionesha mgombea wao wa Urais alishindwa vikali, lakini maandamano hayo yalikosa watu.


Mwaka 2016 Chadema haohao walianza kutikisa tena Kibiriti, kwa kuitisha maandamano mengine ya UKUTA, lakini nayo hayakufanikiwa kwa sababu wananchi walishawajua ni wanaitisha maandamano yenye nia ovu ya kuvunja amani.

Mwaka 2018 Chadema walipeleka Simanzi kwa Jumuiya za Wanafunzi wa elimu ya juu, kwa kufanya maandamano yenye fujo wakitumia fursa ya uchaguzi mdogo Jimbo la Kinondoni na kupelekea miongoni mwa waandamanaji wao kurusha kilipuzi na kumpata mwanafunzi Akwilina Akwelini, na kuifanya Jumuiya ya Wanafunzi kuichukia Chadema, kwa sababu haikuwahi kutoka kuomba radhi kwa sababu maandamano yao ndiyo yalikatisha ndoto za mwanafunzi msomi.

Mwaka 2020 kama kawaida yao tena, baada ya kushindwa tena Uchaguzi Mkuu, walipanga kufanya maandamano makubwa yakufanya mapinduzi dhidi ya Serikali halali iliyochaguliwa, walipanga kuchoma matairi, kuchoma vituo vya mafuta na kulipua Super Market, ila wananchi pia waliwakataa na tunashukuru vyombo vya dola viliingilia kati.

Kiufupi CHADEMA wamekua wakiitumia vibaya njia ya maandamano wakilenga kuanzisha vurugu na kuleta sintofahamu na kutamani nchi isitawalike kabisa, mpaka wao wapate mahitaji yao ya kisiasa.

Sasa mwaka huu wa 2024 wameamua kuja na njia ileile ya maandamano ili kuhakikisha amani haipatikani, kisa tu wao wamekataa kwenda kutoa maoni yao kuhusu muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi kwenye majukwaa rasmi na walitaka wao pekee ndiyo waandike huo muswada kisha upelekwe Bungeni, wakati hii ni nchi ya Vyama vingi, Chadema si chama pekee chenye hatimiliki ya uchaguzi.

Nikiwa nawasihi watanzania kumpuuza Freeman Mbowe kuwa wanataka kutangaza maandamano, pia nimsihi Msajili wa Vyama vya siasa angekisimamisha Chadema kufanya shughuli zake kwa muda, hadi pale watakapokubali kufanya siasa za kistaarabu kwa kuzingatia 4R.
punguani wewe. maandamano ni kuleta vurugu
 
Na Dr. Sisimizi

Imekua kawaida sasa kwa Chadema kupiga mikwara ya Sisimizi kwa Tembo ya kutishia kufanya maandamano ilihali miaka yote hawajawahi kufanikiwa sababu ya kukosa ushawishi na uungwaji mkono.

Mwaka 2015 baada ya Uchaguzi Mkuu, Chadema walitishia kuitisha maandamano, ili kupinga matokeo yaliyotangazwa na tume ya Uchaguzi ambayo ilionesha mgombea wao wa Urais alishindwa vikali, lakini maandamano hayo yalikosa watu.


Mwaka 2016 Chadema haohao walianza kutikisa tena Kibiriti, kwa kuitisha maandamano mengine ya UKUTA, lakini nayo hayakufanikiwa kwa sababu wananchi walishawajua ni wanaitisha maandamano yenye nia ovu ya kuvunja amani.

Mwaka 2018 Chadema walipeleka Simanzi kwa Jumuiya za Wanafunzi wa elimu ya juu, kwa kufanya maandamano yenye fujo wakitumia fursa ya uchaguzi mdogo Jimbo la Kinondoni na kupelekea miongoni mwa waandamanaji wao kurusha kilipuzi na kumpata mwanafunzi Akwilina Akwelini, na kuifanya Jumuiya ya Wanafunzi kuichukia Chadema, kwa sababu haikuwahi kutoka kuomba radhi kwa sababu maandamano yao ndiyo yalikatisha ndoto za mwanafunzi msomi.

Mwaka 2020 kama kawaida yao tena, baada ya kushindwa tena Uchaguzi Mkuu, walipanga kufanya maandamano makubwa yakufanya mapinduzi dhidi ya Serikali halali iliyochaguliwa, walipanga kuchoma matairi, kuchoma vituo vya mafuta na kulipua Super Market, ila wananchi pia waliwakataa na tunashukuru vyombo vya dola viliingilia kati.

Kiufupi CHADEMA wamekua wakiitumia vibaya njia ya maandamano wakilenga kuanzisha vurugu na kuleta sintofahamu na kutamani nchi isitawalike kabisa, mpaka wao wapate mahitaji yao ya kisiasa.

Sasa mwaka huu wa 2024 wameamua kuja na njia ileile ya maandamano ili kuhakikisha amani haipatikani, kisa tu wao wamekataa kwenda kutoa maoni yao kuhusu muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi kwenye majukwaa rasmi na walitaka wao pekee ndiyo waandike huo muswada kisha upelekwe Bungeni, wakati hii ni nchi ya Vyama vingi, Chadema si chama pekee chenye hatimiliki ya uchaguzi.

Nikiwa nawasihi watanzania kumpuuza Freeman Mbowe kuwa wanataka kutangaza maandamano, pia nimsihi Msajili wa Vyama vya siasa angekisimamisha Chadema kufanya shughuli zake kwa muda, hadi pale watakapokubali kufanya siasa za kistaarabu kwa kuzingatia 4R.
Hivi wewe chawa waCCM, unaelewa kuwa maandamano ni haki ya kikatiba ya wananchi wa nchi hii?
 
Na Dr. Sisimizi

Imekua kawaida sasa kwa Chadema kupiga mikwara ya Sisimizi kwa Tembo ya kutishia kufanya maandamano ilihali miaka yote hawajawahi kufanikiwa sababu ya kukosa ushawishi na uungwaji mkono.

Mwaka 2015 baada ya Uchaguzi Mkuu, Chadema walitishia kuitisha maandamano, ili kupinga matokeo yaliyotangazwa na tume ya Uchaguzi ambayo ilionesha mgombea wao wa Urais alishindwa vikali, lakini maandamano hayo yalikosa watu.


Mwaka 2016 Chadema haohao walianza kutikisa tena Kibiriti, kwa kuitisha maandamano mengine ya UKUTA, lakini nayo hayakufanikiwa kwa sababu wananchi walishawajua ni wanaitisha maandamano yenye nia ovu ya kuvunja amani.

Mwaka 2018 Chadema walipeleka Simanzi kwa Jumuiya za Wanafunzi wa elimu ya juu, kwa kufanya maandamano yenye fujo wakitumia fursa ya uchaguzi mdogo Jimbo la Kinondoni na kupelekea miongoni mwa waandamanaji wao kurusha kilipuzi na kumpata mwanafunzi Akwilina Akwelini, na kuifanya Jumuiya ya Wanafunzi kuichukia Chadema, kwa sababu haikuwahi kutoka kuomba radhi kwa sababu maandamano yao ndiyo yalikatisha ndoto za mwanafunzi msomi.

Mwaka 2020 kama kawaida yao tena, baada ya kushindwa tena Uchaguzi Mkuu, walipanga kufanya maandamano makubwa yakufanya mapinduzi dhidi ya Serikali halali iliyochaguliwa, walipanga kuchoma matairi, kuchoma vituo vya mafuta na kulipua Super Market, ila wananchi pia waliwakataa na tunashukuru vyombo vya dola viliingilia kati.

Kiufupi CHADEMA wamekua wakiitumia vibaya njia ya maandamano wakilenga kuanzisha vurugu na kuleta sintofahamu na kutamani nchi isitawalike kabisa, mpaka wao wapate mahitaji yao ya kisiasa.

Sasa mwaka huu wa 2024 wameamua kuja na njia ileile ya maandamano ili kuhakikisha amani haipatikani, kisa tu wao wamekataa kwenda kutoa maoni yao kuhusu muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi kwenye majukwaa rasmi na walitaka wao pekee ndiyo waandike huo muswada kisha upelekwe Bungeni, wakati hii ni nchi ya Vyama vingi, Chadema si chama pekee chenye hatimiliki ya uchaguzi.

Nikiwa nawasihi watanzania kumpuuza Freeman Mbowe kuwa wanataka kutangaza maandamano, pia nimsihi Msajili wa Vyama vya siasa angekisimamisha Chadema kufanya shughuli zake kwa muda, hadi pale watakapokubali kufanya siasa za kistaarabu kwa kuzingatia 4R.
Akifute tuu mbona Kule Senegal walifuta chama Cha upinzani?
 
MACHADEMA yana hasira kama mafisi. Matusi tuuuuu.
Hayana hoja wala mawazo. Haya kaandamaneni tuone mtachopata. Nyumbu wasio na mikia.
 
Na Dr. Sisimizi

Imekua kawaida sasa kwa Chadema kupiga mikwara ya Sisimizi kwa Tembo ya kutishia kufanya maandamano ilihali miaka yote hawajawahi kufanikiwa sababu ya kukosa ushawishi na uungwaji mkono.

Mwaka 2015 baada ya Uchaguzi Mkuu, Chadema walitishia kuitisha maandamano, ili kupinga matokeo yaliyotangazwa na tume ya Uchaguzi ambayo ilionesha mgombea wao wa Urais alishindwa vikali, lakini maandamano hayo yalikosa watu.


Mwaka 2016 Chadema haohao walianza kutikisa tena Kibiriti, kwa kuitisha maandamano mengine ya UKUTA, lakini nayo hayakufanikiwa kwa sababu wananchi walishawajua ni wanaitisha maandamano yenye nia ovu ya kuvunja amani.

Mwaka 2018 Chadema walipeleka Simanzi kwa Jumuiya za Wanafunzi wa elimu ya juu, kwa kufanya maandamano yenye fujo wakitumia fursa ya uchaguzi mdogo Jimbo la Kinondoni na kupelekea miongoni mwa waandamanaji wao kurusha kilipuzi na kumpata mwanafunzi Akwilina Akwelini, na kuifanya Jumuiya ya Wanafunzi kuichukia Chadema, kwa sababu haikuwahi kutoka kuomba radhi kwa sababu maandamano yao ndiyo yalikatisha ndoto za mwanafunzi msomi.

Mwaka 2020 kama kawaida yao tena, baada ya kushindwa tena Uchaguzi Mkuu, walipanga kufanya maandamano makubwa yakufanya mapinduzi dhidi ya Serikali halali iliyochaguliwa, walipanga kuchoma matairi, kuchoma vituo vya mafuta na kulipua Super Market, ila wananchi pia waliwakataa na tunashukuru vyombo vya dola viliingilia kati.

Kiufupi CHADEMA wamekua wakiitumia vibaya njia ya maandamano wakilenga kuanzisha vurugu na kuleta sintofahamu na kutamani nchi isitawalike kabisa, mpaka wao wapate mahitaji yao ya kisiasa.

Sasa mwaka huu wa 2024 wameamua kuja na njia ileile ya maandamano ili kuhakikisha amani haipatikani, kisa tu wao wamekataa kwenda kutoa maoni yao kuhusu muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi kwenye majukwaa rasmi na walitaka wao pekee ndiyo waandike huo muswada kisha upelekwe Bungeni, wakati hii ni nchi ya Vyama vingi, Chadema si chama pekee chenye hatimiliki ya uchaguzi.

Nikiwa nawasihi watanzania kumpuuza Freeman Mbowe kuwa wanataka kutangaza maandamano, pia nimsihi Msajili wa Vyama vya siasa angekisimamisha Chadema kufanya shughuli zake kwa muda, hadi pale watakapokubali kufanya siasa za kistaarabu kwa kuzingatia 4R.
Tusubiri tuone yatakayojiri.
 
Na Dr. Sisimizi

Imekua kawaida sasa kwa Chadema kupiga mikwara ya Sisimizi kwa Tembo ya kutishia kufanya maandamano ilihali miaka yote hawajawahi kufanikiwa sababu ya kukosa ushawishi na uungwaji mkono.

Mwaka 2015 baada ya Uchaguzi Mkuu, Chadema walitishia kuitisha maandamano, ili kupinga matokeo yaliyotangazwa na tume ya Uchaguzi ambayo ilionesha mgombea wao wa Urais alishindwa vikali, lakini maandamano hayo yalikosa watu.


Mwaka 2016 Chadema haohao walianza kutikisa tena Kibiriti, kwa kuitisha maandamano mengine ya UKUTA, lakini nayo hayakufanikiwa kwa sababu wananchi walishawajua ni wanaitisha maandamano yenye nia ovu ya kuvunja amani.

Mwaka 2018 Chadema walipeleka Simanzi kwa Jumuiya za Wanafunzi wa elimu ya juu, kwa kufanya maandamano yenye fujo wakitumia fursa ya uchaguzi mdogo Jimbo la Kinondoni na kupelekea miongoni mwa waandamanaji wao kurusha kilipuzi na kumpata mwanafunzi Akwilina Akwelini, na kuifanya Jumuiya ya Wanafunzi kuichukia Chadema, kwa sababu haikuwahi kutoka kuomba radhi kwa sababu maandamano yao ndiyo yalikatisha ndoto za mwanafunzi msomi.

Mwaka 2020 kama kawaida yao tena, baada ya kushindwa tena Uchaguzi Mkuu, walipanga kufanya maandamano makubwa yakufanya mapinduzi dhidi ya Serikali halali iliyochaguliwa, walipanga kuchoma matairi, kuchoma vituo vya mafuta na kulipua Super Market, ila wananchi pia waliwakataa na tunashukuru vyombo vya dola viliingilia kati.

Kiufupi CHADEMA wamekua wakiitumia vibaya njia ya maandamano wakilenga kuanzisha vurugu na kuleta sintofahamu na kutamani nchi isitawalike kabisa, mpaka wao wapate mahitaji yao ya kisiasa.

Sasa mwaka huu wa 2024 wameamua kuja na njia ileile ya maandamano ili kuhakikisha amani haipatikani, kisa tu wao wamekataa kwenda kutoa maoni yao kuhusu muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi kwenye majukwaa rasmi na walitaka wao pekee ndiyo waandike huo muswada kisha upelekwe Bungeni, wakati hii ni nchi ya Vyama vingi, Chadema si chama pekee chenye hatimiliki ya uchaguzi.

Nikiwa nawasihi watanzania kumpuuza Freeman Mbowe kuwa wanataka kutangaza maandamano, pia nimsihi Msajili wa Vyama vya siasa angekisimamisha Chadema kufanya shughuli zake kwa muda, hadi pale watakapokubali kufanya siasa za kistaarabu kwa kuzingatia 4R.
Watu wanaweza wakampuuza Mbowe lakini wssipuuze kauli zake. kikubwa Hojs zinajibiwa kwa Hoja mimi ninavyo amini Maandamano hayawezi kufanyika hiyo tarehe 24/01/2024 kwa sababu POLICE hawatatoa kibali cha hayo Maandamano na kigezo kikubwa watakachotumia ni kuwa sababu zao za Maandamanohazina mashiko kwakuwa swala wanalotaka kufanyia maandamano miswada yake hipo Bungeni inajadiliwa.. Kwahiyo yoyote atakaye muatack Mbowe kama Mbowe hakuna mtu atakaye muelewa zaidi ataonekana Kibaraka ila ukifanikiwa kuatack kauli zake hapo utafanikiwa ku wa win Watanzania.
 
Na Dr. Sisimizi

Imekua kawaida sasa kwa Chadema kupiga mikwara ya Sisimizi kwa Tembo ya kutishia kufanya maandamano ilihali miaka yote hawajawahi kufanikiwa sababu ya kukosa ushawishi na uungwaji mkono.

Mwaka 2015 baada ya Uchaguzi Mkuu, Chadema walitishia kuitisha maandamano, ili kupinga matokeo yaliyotangazwa na tume ya Uchaguzi ambayo ilionesha mgombea wao wa Urais alishindwa vikali, lakini maandamano hayo yalikosa watu.


Mwaka 2016 Chadema haohao walianza kutikisa tena Kibiriti, kwa kuitisha maandamano mengine ya UKUTA, lakini nayo hayakufanikiwa kwa sababu wananchi walishawajua ni wanaitisha maandamano yenye nia ovu ya kuvunja amani.

Mwaka 2018 Chadema walipeleka Simanzi kwa Jumuiya za Wanafunzi wa elimu ya juu, kwa kufanya maandamano yenye fujo wakitumia fursa ya uchaguzi mdogo Jimbo la Kinondoni na kupelekea miongoni mwa waandamanaji wao kurusha kilipuzi na kumpata mwanafunzi Akwilina Akwelini, na kuifanya Jumuiya ya Wanafunzi kuichukia Chadema, kwa sababu haikuwahi kutoka kuomba radhi kwa sababu maandamano yao ndiyo yalikatisha ndoto za mwanafunzi msomi.

Mwaka 2020 kama kawaida yao tena, baada ya kushindwa tena Uchaguzi Mkuu, walipanga kufanya maandamano makubwa yakufanya mapinduzi dhidi ya Serikali halali iliyochaguliwa, walipanga kuchoma matairi, kuchoma vituo vya mafuta na kulipua Super Market, ila wananchi pia waliwakataa na tunashukuru vyombo vya dola viliingilia kati.

Kiufupi CHADEMA wamekua wakiitumia vibaya njia ya maandamano wakilenga kuanzisha vurugu na kuleta sintofahamu na kutamani nchi isitawalike kabisa, mpaka wao wapate mahitaji yao ya kisiasa.

Sasa mwaka huu wa 2024 wameamua kuja na njia ileile ya maandamano ili kuhakikisha amani haipatikani, kisa tu wao wamekataa kwenda kutoa maoni yao kuhusu muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi kwenye majukwaa rasmi na walitaka wao pekee ndiyo waandike huo muswada kisha upelekwe Bungeni, wakati hii ni nchi ya Vyama vingi, Chadema si chama pekee chenye hatimiliki ya uchaguzi.

Nikiwa nawasihi watanzania kumpuuza Freeman Mbowe kuwa wanataka kutangaza maandamano, pia nimsihi Msajili wa Vyama vya siasa angekisimamisha Chadema kufanya shughuli zake kwa muda, hadi pale watakapokubali kufanya siasa za kistaarabu kwa kuzingatia 4R.
Kwani hawa wanasemaje kuhusu hilo
tapatalk_1541403796596.jpeg
 
😂😂😂

Wewe unayajua yaliyomo kwenye Maridhiano?
Maridhiano ya Zenji ni maamuzi ya wananchi wa huko.

Huku bara kuna kitu kinaitwa HADAA. Taifa linahitaji maridhiano na muafaka lakini CCM kama ilivyo asisi ubaguzi ikachagua nani wa kuridhiana naye. Nchi siyo CCM na CHADEMA.

Wanatupuuza na hakika hawatoweza kukazimisha nafsi zetu ziwapende
 
Na Dr. Sisimizi

Imekua kawaida sasa kwa Chadema kupiga mikwara ya Sisimizi kwa Tembo ya kutishia kufanya maandamano ilihali miaka yote hawajawahi kufanikiwa sababu ya kukosa ushawishi na uungwaji mkono.

Mwaka 2015 baada ya Uchaguzi Mkuu, Chadema walitishia kuitisha maandamano, ili kupinga matokeo yaliyotangazwa na tume ya Uchaguzi ambayo ilionesha mgombea wao wa Urais alishindwa vikali, lakini maandamano hayo yalikosa watu.


Mwaka 2016 Chadema haohao walianza kutikisa tena Kibiriti, kwa kuitisha maandamano mengine ya UKUTA, lakini nayo hayakufanikiwa kwa sababu wananchi walishawajua ni wanaitisha maandamano yenye nia ovu ya kuvunja amani.

Mwaka 2018 Chadema walipeleka Simanzi kwa Jumuiya za Wanafunzi wa elimu ya juu, kwa kufanya maandamano yenye fujo wakitumia fursa ya uchaguzi mdogo Jimbo la Kinondoni na kupelekea miongoni mwa waandamanaji wao kurusha kilipuzi na kumpata mwanafunzi Akwilina Akwelini, na kuifanya Jumuiya ya Wanafunzi kuichukia Chadema, kwa sababu haikuwahi kutoka kuomba radhi kwa sababu maandamano yao ndiyo yalikatisha ndoto za mwanafunzi msomi.

Mwaka 2020 kama kawaida yao tena, baada ya kushindwa tena Uchaguzi Mkuu, walipanga kufanya maandamano makubwa yakufanya mapinduzi dhidi ya Serikali halali iliyochaguliwa, walipanga kuchoma matairi, kuchoma vituo vya mafuta na kulipua Super Market, ila wananchi pia waliwakataa na tunashukuru vyombo vya dola viliingilia kati.

Kiufupi CHADEMA wamekua wakiitumia vibaya njia ya maandamano wakilenga kuanzisha vurugu na kuleta sintofahamu na kutamani nchi isitawalike kabisa, mpaka wao wapate mahitaji yao ya kisiasa.

Sasa mwaka huu wa 2024 wameamua kuja na njia ileile ya maandamano ili kuhakikisha amani haipatikani, kisa tu wao wamekataa kwenda kutoa maoni yao kuhusu muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi kwenye majukwaa rasmi na walitaka wao pekee ndiyo waandike huo muswada kisha upelekwe Bungeni, wakati hii ni nchi ya Vyama vingi, Chadema si chama pekee chenye hatimiliki ya uchaguzi.

Nikiwa nawasihi watanzania kumpuuza Freeman Mbowe kuwa wanataka kutangaza maandamano, pia nimsihi Msajili wa Vyama vya siasa angekisimamisha Chadema kufanya shughuli zake kwa muda, hadi pale watakapokubali kufanya siasa za kistaarabu kwa kuzingatia 4R.
Wewe ni MJINGA SANA UMEAMBIWA NI MAANDAMANO YA AMANI VURUGU ITATOKA WAPI ? ANAYETAKA KULETA VURUGU NI YULE ATAKAYEYAKATAZA HAYO MAANDAMANO

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom