Watanzania waishio Marekani kwanini wasirudishwe nyumbani wakiwa na pingu mikononi kama wenzao wa Brazil na Mexico

Wazungu hawana kheri kabisa.Zamani walipotaka watu wahamie kwao kuwatumikia waliwapeleka kwa minyororo bila ridhaa zao,na sasa wameendelea kiteknolojia wanawarudisha tena makwao kwa minyororo kama mwanzo.
 
Wakupe ungo upae sasa ushahitimu degree ya uchawi..!!
 
Acha roho ya kichawi hiyo chalaangu..
Usimwombee mwenzako mabaya,wanafaida kwa ndugu zao wa karibu,wewe huo ni faida kwakuwa siyo sehemu ya jamaa au ndugu wa karibu,naamini ungekuwa mnufaikaji usingepost hivyo..
 
Asilimia kubwa ya Watanzania waliopo Marekani wapo kihalali ama waliingia Marekani kihalali tofauti na raia wengi wa South and Central America ambao wamevuka boda kwa njia za panya
Huu ndio ukweli na majority kabla ya yote walihangaikia makaratasi kwanza na sio jamii hatari kwa usalama wa nchi
Trump ugomvi wake ni hayo magenge ya wa Amerika ya kusini na baadhi kaskazini kama Mexico
 
Una roho ya kichawi ndugu yangu! Mfano wakirudishwa Tanzania wewe na familia yako mtafaidi kitu gani? Au kwa jinsi wanavyo ishi huko USA wewe unapata hasara gani? Jitafakari
 
Kukaa kwao Marekani kunakupa hasara Gani ww au wazazi wao walileta malalamiko kwako

Wewe unafikiri walikuwa naaisha mazuri bongo wakakimbilia huko kupambana
Pengine hawajafanikiwa Ila hamna haja ya kutamani wapatwe na majanga
 
Trump hafukuzi kila mgeni; Trump anafukuza raia wa kigeni wasiokua na makaratasi ya kuishi kule. Halafu, ni nini kilicho pelekea wewe kua na wazo OVU namna hiyo dhidi ya Watanzania wenzio? Utapata Nino wao wakirudishwa? Kumbuka tu, "Wivu ni hatua ya mwisho kabisa kabla hajatunukiwa UCHAWI rasmi" look very, yaani angalia sana
 
Kukaa kwao Marekani kunakupa hasara Gani ww au wazazi wao walileta malalamiko kwako

Wewe unafikiri walikuwa naaisha mazuri bongo wakakimbilia huko kupambana
Pengine hawajafanikiwa Ila hamna haja ya kutamani wapatwe na majanga
Sio kupatwa na majanga. Tanzania ina ardhi kubwa sana na mapori ya kutosha. Wanaotakiwa kwenda Ulaya na Marekani kufanya kazi za house boy ni nchi ambazo hazina rasilimali ardhi ya kutosha. Warudi walime. Mtu unakimbilia Marekani na Ulaya unakaa miaka 10 unarudi Tz lakini tunakuzidi maisha tena kwa mbali sana, na ndio maana wengine mnaona aibu kurudi. Pumbavu zenu
 
Naona unaandika uzi huu ukiwa Kaswenswe ndani ndani....
 
Watanzania wenyewe huko ng'ambo kila wakipata pesa zinaishia disco, casino na kwenye mapaja ya mademu
Mkuu hizi ni hadith za kitaa wapo Watanzania wamewekeza huko nje ukiambiwa ni Mtanzania unakataa sema Watanzania wengi hawana connection na Matajiri Watanzania waliopo nje ndio maana hata kuwajua ni ngumu kwa baadhi ya Nchi nilizozunguka nimeona wapo njema sana aisee..
 
Mkuu ukipata fursa wasaidie tu watu ndio maisha hakuna kingine ila usiwadharau watu ambao leo hawana mazee..
 
Mungu tusaidie watanzania wengi wana roho mbaya Sana ila zimejifisha kwa wachache wenye roho nzuri, kabisa ukamtakie mwenzio mabaya [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Wa Wanaletwa kwa njia hiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…