Watanzania wako obsessed na Kenya kuliko kinyume chake!

Weka link ya watz inayozungumzia wakenya kwa namna yoyote,acha porojo.
 
Ingine iliyotupiwa kwenye social media 8hrs ago,hii hapa


Hata wewe ile kuijua tu hiyo Citizen ya Kenya na kuitembelea unazidi kuthibitisha ninachomaanisha, hakuna Mkenya anayetembelea websites za ITV, Azam &Co..
 
We unachoongea ni uongo ulishapita Liver road, Luthuri avenue,accra road, Zote hizi pembeni kuna magazeti karibu yote ya TZ na ya udaku na Wakenya wengi wanafuatilia mambo ya TZ labda sijui ulikuwa Kenya gani ndugu???
 
Kuhusu thread za Kenya kujaa comment za wabongo its very logical kwa sababu watumiaji wakubwa wa JF ni sie wabongo and as a matter of fact JF ime-base bongoland...kuhusu Sir kujua mengi kuhusu wao ni dalili nzuri kuwa tuko exposed kuliko wao.........
 
Kuhusu thread za Kenya kujaa comment za wabongo its very logical kwa sababu watumiaji wakubwa wa JF ni sie wabongo and as a matter of fact JF ime-base bongoland...kuhusu Sir kujua mengi kuhusu wao ni dalili nzuri kuwa tuko exposed kuliko wao.........


Kwa nini hatufwatilii mengi kuhusu Burundi, Kongo au sijui Uganda kama ni sawa kufwatilia mambo ya mtu mwingine klk hata anavyofwatilia yako?
 
Ww unajitambua kweli..? Au ww ni mkenya? Uwe mkweli..wakenya mnachukiana ile mbaya..baa ya mjaluo wateja ni wajaluo..kabila kubwa kenya si walishatamka the mjaluo can never rule kenya...unafikiri sisi hatujui ?
 
Ww unajitambua kweli..? Au ww ni mkenya? Uwe mkweli..wakenya mnachukiana ile mbaya..baa ya mjaluo wateja ni wajaluo..kabila kubwa kenya si walishatamka the mjaluo can never rule kenya...unafikiri sisi hatujui ?


Inahusiana nini na mada husika?
 
Kwakweli barbosa naona jana walikuwekea pumba nyingi sana kwenye msosi wako kabla hawajakufungila kutoka bandani, make naona una bweka pumba tu.
 
Kaka hawa ni wakenya wanaojifanya watanzania. Wamekuja huku sababu kwao hakuna ardhi. Badala ya kuwa na adabu kwa nchi inayowasitiri wanajifanya kuishabikia nchi waliyoikimbia..
 

so why during election everything goes crazy.
 
Kwa nini hatufwatilii mengi kuhusu Burundi, Kongo au sijui Uganda kama ni sawa kufwatilia mambo ya mtu mwingine klk hata anavyofwatilia yako?
We boya wenzako tunafuatilia kote siyo Kenya tu sema Kenya tuna mifalakano nao sana kutokana na ujuma zao
 
Kenya wametuzidi kiuchumi .kidemocrac ki Elimu, hivyo ni rahisi kujua habari zao kuliko wao kujua habari zeta, sisi tunaijua America lakini wa America hawajui hata Tz iko bara gani
 
Professor Jay TMK wanaume for life...I still love their music and moves, Ray C was super beautiful.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…