Watanzania wako obsessed na Kenya kuliko kinyume chake!

Umeenda Kenya ipi wasiomjua Lowasa ama CDM Acha urongo inategemea wewe umefika wapi unategemea mtu wa Turkana ajue siasa za Tz?
 
Na hao wanamuziki ni watz, so means mko obsessed na watz ambao ni wanamuziki
Music is universal has no borders but ikifika ni kujua local news za a certain country each other day, then that is obsession.
 
Unatoka mapovu tu ndugu,na hap ngundua Kenya hujafika unalifahamu gazet la mwanaspot linasomwa Kenya Chanel 5 inaangaliwa sana Kenya ITV Kyle inaangaliwa aibu Kwako mtoka mapovu
 
Wao ndo wanafuatilia sisi kama mkia mazeee,hapa wanasubiria tutangaze ujinga kama aliotangaza yule rais wao mjinga et kinachohitajika ni ID ya nchi yako utokako utakua free kuishi na kufanya maisha kenya.Hawana vya kumfanya mTanzania akimbilie huko wao ndo wanatuwaza sanaa.Kama huamini mbona Uganda na nchi nyingine zilizo katika EAC wakenya hawataki kwenda zaidi wanawaza namna ya kuungia humu kwetu???Mh rais usiruhusu ujinga wa Kenyata hapa kwetu ata nukta et kipande ndo uweze ingia katika hii nchi nzur hvi.Nyie kaeni na ujinga wenu wa kujiona ni bora wakat hamna la maana zaidi wazungubwenye vitega uchumi vyao hapo ilihali nyie mlo mmoja ni taabu.
 
Nina uhakika ni Wakenya ambao aidha wanaishi TZ au wana uhusiano wa moja kwa moja na TZ yetu!
Huu utafiti wako rudi kajipange inaonekana umepewa limbwata na wakenya ndio maana huoni kama ya kwetu wanayajua
 
Kenya wametuzidi kiuchumi .kidemocrac ki Elimu, hivyo ni rahisi kujua habari zao kuliko wao kujua habari zeta, sisi tunaijua America lakini wa America hawajui hata Tz iko bara gani
Demokrasia?????
 
Wewe unajitambua!! Bora kumwelimisha huyu mpumbvu taratibu, japo sidhani kama ataelewa! Si kila mtu anafuatilia kila kitu kila wakati! Nilikuwa Lamu wakati fulani,watu wengi zaidi walikuwa wakizungumzia mambo ya Somalia na USA! Wakati Obama alipokuwa akigombea urais kwa term ya kwanza kama ungekaa kwenye kijiwe chochote nchini kenya basi ungeweza kudhani upo Michigan!! Wakati wa mauaji ya albino magazeti yote ya kenya yalikuwa na habari za Tanzania! Mtu anafuatilia kile ambacho kinamhusu kwa namna moja au nyingine! Nilikutana na kijana mmoja nairobi,akaanza kuniuliza habari nyingi za barabara za Tanzania, akiniuliza 'hivi ile kipande ya kutoka Katesh hadi singida ilimalizika kutengenezwa?' mara aulizie ya huko musoma na kwingineko,anazijua barabara karibu zote za TZ na check points zake,kaniambia ni dereva wa lorry! Na kuna ile kama ya kwako wewe kada wa ccm Barbarosa lakini hata ukilala usiku na mumeo bado unaiota chadema!!hii ndiyo sijui maana yake! Nina uhakika kabisa kuwa hakuna post yoyote ya Barbarosa hapa JF ambayo haina neno chadema!!
 
Hata wewe ile kuijua tu hiyo Citizen ya Kenya na kuitembelea unazidi kuthibitisha ninachomaanisha, hakuna Mkenya anayetembelea websites za ITV, Azam &Co..

can you prove that... hakuna
 
Sure
 
Wewe ni mmoja wapo wa wana Jf mnaopenda kufungua nyuzi kuwahusu Wakenya daily humu! Ila leo unaponda wenzio??


The Irony..
 
Wewe ni mmoja wapo wa wana Jf mnaopenda kufungua nyuzi kuwahusu Wakenya daily humu! Ila leo unaponda wenzio??


The Irony..
He has seen the light, the rest are still wallowing and stumbling into darkness.
 
Ufahamu wa mambo na uwezo wako wa kueleza ni mkubwa sana. Asante kwa maelezo.
 
Heshima kwako mzee!!!!
 
waKenya wanaheshimiana sana tena sana sijawai pata kuona na pia ni wakarimu. japo tofauti hutokea kila baada ya miaka mitano watu wakianza kujitenga kwa mirengo ya kisiasa.
Completely wrong and misguided!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…