Watanzania walimgomea Mkenya Voda, sasa wamemkamata Mmisri kwa tuhuma za kuhujumu uchumi

Watanzania walimgomea Mkenya Voda, sasa wamemkamata Mmisri kwa tuhuma za kuhujumu uchumi

Yanatafunwa kwao balaa! Ukimgusa mtu anasema unagusa 'Mtu wetu'! Hivi hayo ya kufanyiwa 'wasomi' kama wanavyojinasibu humu.

They called themselves an educated while dynasty **** them.

Sent using Jamii Forums mobile app
hv unasahau ile movie ya ma container hapo dar...si mkulu alikaa kimya...sijui huo mda ubongo ulikuwa haufanyi kazi...kisa jamaa kipenzi chake...alafu ana uccm ndani ya akili yake...kwnn asiachwe...nakwambi huyo bichwa nundu hataki kujuwa km wewe ni chama chake au la...km ni kodi ya hewa mtalipia nchi nzima...hajui chama katika hayo masuala
 
Hayo ya mara NIS mara ISO unayaleta mwenyewe, sisi tunajadili kilichopo kwenye public domain, mengine yote hayo ni blah blah, tunajadili kilichotolewa kama taarifa rasmi kwamba wapo Watanzania wenye uwezo kumzidi huyo Mkenya, japo mkaishia kuajiri Mwarabu ambaye ameishia kuwatafuna balaa.....
atafune afanyaje anajua yeye,lakini kesi ya kuhujumu uchumi kibongobongo atajuta,atanyea ndoo huyo mwarabu hadi akome
 
Ndiyo umeishia kwenye 'hoja' hii..kaazi kweli kweli.

Kwenye maandishi yako ya mwanzo umeshasahau ulichoandika. Ulizungumzia kumkatalia mgeni kwa sababu ya chuki! Kwenye jambo kama hili acha mihemko, andika hoja za msingi ili tujadili kwa mtiririko

Naomba utupe hiyo 'taarifa rasmi' ili tuijadili

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lenu kubwa huwa wivu na uzembe na ndio unaona Vodacom licha ya nyie kumkataa Mkenya kisa wapo mamilioni ya Watanzania, bado wanan'gan'gania mgeni.
 
Hayo ya mara NIS mara ISO unayaleta mwenyewe, sisi tunajadili kilichopo kwenye public domain, mengine yote hayo ni blah blah, tunajadili kilichotolewa kama taarifa rasmi kwamba wapo Watanzania wenye uwezo kumzidi huyo Mkenya, japo mkaishia kuajiri Mwarabu ambaye ameishia kuwatafuna balaa.....
Taharifa rasmi kutoka wapi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watz hawa hawa akili zao bana, walimkatalia mbali Mkenya huku wakisema wao ndani yao zaidi ya milioni hamsini lazima kuna mwenye uwezo zaidi ya huyo Mkenya, tatizo bado wakaishia kumuajiri Mmisri na kumsifia kwamba yeye ndiye bora.

Cha ajabu naona kwenye taarifa wamemkamata kwa tuhuma za kuhujumu uchumi.

Wabongo hunikumbusha maisha ya kijijini, kule kijijini utakuta kuna mtu hataki mfanye maendeleo, kazi yake kukukwamisha, lakini yupo raadhi kumkaribisha mgeni wa mbali aje afungue duka pale ila wewe ukifungua lako yaani atalea chuki za kufa mtu.

Ndio uhusiano ulivyo baina ya Kenya na Tanzania. Bora Mkenya wetu alikataliwa na kuokolewa kutoka kwa huu upumbavu maana wangemzingua sana.
-------------------------------------------------

Dar es Salaam
Vodacom Tanzania managing director, Hisham Hendi, may face criminal charges in relation to the alleged fraudulent use of network facilities.

News about authorities arresting Mr Hendi and several other employees of Vodacom Tanzania Plc, started circulating in several social media platforms late on Tuesday.

The Dar es Salaam Special Police Zone Commander, Mr Lazaro Mambosasa, confirmed to The Citizen on Wednesday, saying the issue was being handled by Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA)
TCRA acting public relations manager Semu Mwakanjala said all was set for the Vodacom employees to be arraigned at Dar es Salaam’s Kisutu Residents’ Magistrate Court.

Arrested
Vodacom, which is listed on the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) also confirmed the arrest of its CEO and several other employees.

“Vodacom Tanzania Plc can confirm that it is fully cooperating with an investigation led by the Tanzania Police Force. Several Vodacom employees, including managing director Hisham Hendi, are being questioned by relevant authorities in relation to the alleged fraudulent use of network facilities,” Vodacom Tanzania said in a statement on Wednesday.

By 1pm Wednesday, no formal charges had been preferred against the Vodacom employees but, like TCRA, the company said it had been informed that they would appear in court on the same day.

The company assured its customers that the issue would have no impact on its service delivery and that it had taken measures to ensure that the company’s operations continue without disruptions.
A week

The case comes about a week since Mr Hendi was confirmed as the managing director for Tanzania’s leading telecommunication company by market share.

Prior to the appointment, Mr Hendi had served as acting managing director since September 2018.

In 2016, Mr Hendi – who holds a Bachelor’s degree in Commerce from the Cairo University – was recruited to lead marketing and sales functions.

He has 15 years of experience in telecommunication industry having worked in various leadership positions in United Kingdom, Egypt and South Africa.

The Egyptian’s appointment at acting capacity came after Ms Sylvia Mulinge, who was appointed in April to succeed Mr Ian Ferrao effectively from June 1 2018 – failed to secure a working permit from the Tanzanian authorities.


https://www.businessdailyafrica.com...l-charges-/4003154-5055016-3icpv4z/index.html
hata hivyo katika genge hilo la wahujumu uchumi kuna mkenya mmoja aliyekuwa anasaidiana na mmisri kuihujumu nchi
 
Huyo dada Mkenya nafikiri sasa hivi anamshukuru sana Mungu wake kwa kukosa kazi ya Voda Tz!

Kwa wanaoamini, hili ni funzo.....sio mara zote ukikosa kitu ni bahati mbaya! Wakati mwingine ni Mungu tu anafanya kazi yake kukuepusha na jambo baya zaidi.

Kesi za uhujumu uchumi Hazina dhamana na zinachukua muda mrefu kumalizika. Nawaonea huruma sana hapo jamaa wa Vodacom.
 
Huyo dada Mkenya nafikiri sasa hivi anamshukuru sana Mungu wake kwa kukosa kazi ya Voda Tz!

Kwa wanaoamini, hili ni funzo.....sio mara zote ukikosa kitu ni bahati mbaya! Wakati mwingine ni Mungu tu anafanya kazi yake kukuepusha na jambo baya zaidi.

Kesi za uhujumu uchumi Hazina dhamana na zinachukua muda mrefu kumalizika. Nawaonea huruma sana hapo jamaa wa Vodacom.

Asante, yaani yangemkuta binti Mkenya anyee debe huko kwa muda mrefu sana.
 
Huyo dada Mkenya nafikiri sasa hivi anamshukuru sana Mungu wake kwa kukosa kazi ya Voda Tz!

Kwa wanaoamini, hili ni funzo.....sio mara zote ukikosa kitu ni bahati mbaya! Wakati mwingine ni Mungu tu anafanya kazi yake kukuepusha na jambo baya zaidi.

Kesi za uhujumu uchumi Hazina dhamana na zinachukua muda mrefu kumalizika. Nawaonea huruma sana hapo jamaa wa Vodacom.

Asante, yaani yangemkuta binti Mkenya anyee debe huko kwa muda mrefu sana.
Hakuna baya lolote lingemtokea kwa jiunga tuu na Vodacom, huyu bosi aliyekamatwa teyari alishakuwa mwajiriwa wa Vodacom kwa muda na watumiaji wa Voda wamekuwa wakilalamika bando zao kumalizika haraka.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kila mtu akacheze anakochezaga.Ila tahadhari ni kwamba Unga robo so usicheze mbali sana
 
Nilisoma lile shtaka kumbe voda safu 2 pale juu wamepanga wageni watupu wasiokuwa na uchungu na tz?

Ndo maana !!!

Sasa jela inawahusu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bodi ya Vodacom walipotaka kumuajiri Mkenya mlilia sana hadi mkapewa Mmisri ili mtulie, sasa huyo ndio kawa mbaya wenu mara kumi, nyie bana hehehe
Badala ya kufurahi dada yako sasa hivi angekuwa ananyea debe wewe unaanza lawama.
Hivi umeshajua kuwa ni kosa gani?
Punguza mihemko jombaa
 
Nilisoma lile shtaka kumbe voda safu 2 pale juu wamepanga wageni watupu wasiokuwa na uchungu na tz?

Ndo maana !!!

Sasa jela inawahusu...

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo nyie kazi hamziwezi full mdebwedo ndio maana hayo makampuni yanafuata wageni, kuna siku nilikwenda kwenye kampuni fulani ya mtandao huko kwenu, nilikua na issue iliyohusu kuingia kitengo cha tecknolojia NOC, nilishangaa nikadhani nimeingia India, Mtanganyika mweusi ni mmoja mmoja tu katikati yao.
 
MTOA UZI ni BONGE LA BOYAAAA iv ww unafikiri hao waTZ ndio last say ktk maamuzi ya kusema nani ajiriwe nani asiajiriwe ? ACH UPIMBI walio muajiri waligundua mapungufu yake pengine labda mwenyewe hakupenda kufanya kazi Bongo
 
MTOA UZI ni BONGE LA BOYAAAA iv ww unafikiri hao waTZ ndio last say ktk maamuzi ya kusema nani ajiriwe nani asiajiriwe ? ACH UPIMBI walio muajiri waligundua mapungufu yake pengine labda mwenyewe hakupenda kufanya kazi Bongo

Umekurupuka bila kujua kichwa wala mkia wa sakata lote.
Bodi ya Vodacom Tz walifanya head hunt ya nani awe mkurungezi wao, wakasaka kote hatimaye wakahitimisha fursa ichukuliwe na dada Mkenya, ila ikabidi lazima kibali cha kazi Tz kitolewe, hapo ndipo mligoma kwa kudai eti kuna Watanzania wengi wenye uwezo huo.
Hatimaye ikabidi nafasi ipewe Mwarabu ambaye amewaibia, yeye hamkumkatalia, leo hii nafasi imepewa mzungu itabidi muufyate maana Vodacom hawana imani na Watanganyika, mkikataa hamtaki Mkenya basi wanaona heri wafuate hata Mwarabu.
 
Bodi ya Vodacom walipotaka kumuajiri Mkenya mlilia sana hadi mkapewa Mmisri ili mtulie, sasa huyo ndio kawa mbaya wenu mara kumi, nyie bana hehehe
Hukuona kuwa na wakenya walikuwemo kwenye hiyo kesi?
 
Back
Top Bottom