Watanzania walimgomea Mkenya Voda, sasa wamemkamata Mmisri kwa tuhuma za kuhujumu uchumi

Watanzania walimgomea Mkenya Voda, sasa wamemkamata Mmisri kwa tuhuma za kuhujumu uchumi

Umekurupuka bila kujua kichwa wala mkia wa sakata lote.
Bodi ya Vodacom Tz walifanya head hunt ya nani awe mkurungezi wao, wakasaka kote hatimaye wakahitimisha fursa ichukuliwe na dada Mkenya, ila ikabidi lazima kibali cha kazi Tz kitolewe, hapo ndipo mligoma kwa kudai eti kuna Watanzania wengi wenye uwezo huo.
Hatimaye ikabidi nafasi ipewe Mwarabu ambaye amewaibia, yeye hamkumkatalia, leo hii nafasi imepewa mzungu itabidi muufyate maana Vodacom hawana imani na Watanganyika, mkikataa hamtaki Mkenya basi wanaona heri wafuate hata Mwarabu.
sasa ww kwa akili yako unazani hapa TZ nzima hakuna mtu anayeweza lead kitengo cha management ? hapo voda tu alikuwepo jamaa mmoja wa marketing alikuwa fire sio mchezo mpaka leo hawaja wahi pata jamaa kama yule na alikuwa ni mtz
 
sasa ww kwa akili yako unazani hapa TZ nzima hakuna mtu anayeweza lead kitengo cha management ? hapo voda tu alikuwepo jamaa mmoja wa marketing alikuwa fire sio mchezo mpaka leo hawaja wahi pata jamaa kama yule na alikuwa ni mtz

Kwa hivyo wewe uanjiona na akili kuwazidi uongozi wa Vodacom wenye dhamana ya kuhakikisha kampuni inazidi kupata faida kwa ajili ya wenye hisa. Wao walikaa vikao na kusaka kote ikiwemo ndani ya Tanzania na nje dunia yote wakaona yule dada Mkenya anakidhi vigezo vyote, head-hunting huwa haitangazwi, unashtukia tu umeteuliwa hata bila kuomba hiyo nafasi, wanakuchambua hatua kwa hatua,
Nyie kwa mlivyojawa na wivu dhidi ya majirani mkamgomea eti Tanzania kunao watu wengi wenye uwezo huo, lakini mwisho wa siku uongozi wa Vodacom bado wameendelea kuwatafuta wageni, yaani humo kwenye nyie zaidi ya milioni hamsini hawajaona hata mmoja, hata mkilazimisha vipi.
Huo ni ujinga sana kutaka kulazimisha makampuni kwamba wamuajiri nani na kumfuta yupi, mnafaa mzoee ushindani na kukubali mapungufu yenu, mbona hata hapa kwetu kuna makampuni yanawaleta wageni wanakua wakurungezi na hatuwazingui, sisi tunapambana na hali yetu na kujiboresha ili tuwe washindani zaidi kwenye soko la ajira. Mnategemea serikali iwalinde hadi lini, tatizo lenu wazembe, kumkuta Mtanzania anahudhurua evening classes baada ya kazi ni gumu sana, bora awahi gambe.
Mimi nawajua mlivyo, yaani ukiandaa ripoti isomwe na Watanzania, labda ulazimishe kwa mtutu ndio waisome, unaweza kukesha unaandaa ripoti kurasa 200 pages halafu unaita kikao muijadili baada ya kuwapa kama wiki mbili kabla, unashangaa hakuna aliyesoma hata kurasa moja....
 
Kwa hivyo wewe uanjiona na akili kuwazidi uongozi wa Vodacom wenye dhamana ya kuhakikisha kampuni inazidi kupata faida kwa ajili ya wenye hisa. Wao walikaa vikao na kusaka kote ikiwemo ndani ya Tanzania na nje dunia yote wakaona yule dada Mkenya anakidhi vigezo vyote, head-hunting huwa haitangazwi, unashtukia tu umeteuliwa hata bila kuomba hiyo nafasi, wanakuchambua hatua kwa hatua,
Nyie kwa mlivyojawa na wivu dhidi ya majirani mkamgomea eti Tanzania kunao watu wengi wenye uwezo huo, lakini mwisho wa siku uongozi wa Vodacom bado wameendelea kuwatafuta wageni, yaani humo kwenye nyie zaidi ya milioni hamsini hawajaona hata mmoja, hata mkilazimisha vipi.
Huo ni ujinga sana kutaka kulazimisha makampuni kwamba wamuajiri nani na kumfuta yupi, mnafaa mzoee ushindani na kukubali mapungufu yenu, mbona hata hapa kwetu kuna makampuni yanawaleta wageni wanakua wakurungezi na hatuwazingui, sisi tunapambana na hali yetu na kujiboresha ili tuwe washindani zaidi kwenye soko la ajira. Mnategemea serikali iwalinde hadi lini, tatizo lenu wazembe, kumkuta Mtanzania anahudhurua evening classes baada ya kazi ni gumu sana, bora awahi gambe.
Mimi nawajua mlivyo, yaani ukiandaa ripoti isomwe na Watanzania, labda ulazimishe kwa mtutu ndio waisome, unaweza kukesha unaandaa ripoti kurasa 200 pages halafu unaita kikao muijadili baada ya kuwapa kama wiki mbili kabla, unashangaa hakuna aliyesoma hata kurasa moja....
sasa ushasema ilikuwa ni head hunting ss hapo kulikuwepo na ushindani gani zaidi ya ku review CVs then waka wacontact shortlisted tena usikute wengine walikataa then huyo mwana mama akakubali ILA usiseme eti TZ hawakuwepo watu wa kuhold nafasi kama iyooo acha uzembe tuna waTZ kadhaa wanafanya kazi ktk makambuni ya kimataifa nje ya afrika. na ni mambo ya kawaida kwa makampuni kama hayo kuchukua some expert toka nje ya nchi husika kwani hata MTN pale UG wana mkurugenzi toka SA. Na kwanza slyvia Mulinde alikuwa appointed TU ! haikuwa head hunting acha uongo Slyvia ni moja kati ya senior managers ktk shirika la safaricom ambao ni vodacom TZ
 
it
sasa ushasema ilikuwa ni head hunting ss hapo kulikuwepo na ushindani gani zaidi ya ku review CVs then waka wacontact shortlisted tena usikute wengine walikataa then huyo mwana mama akakubali ILA usiseme eti TZ hawakuwepo watu wa kuhold nafasi kama iyooo acha uzembe tuna waTZ kadhaa wanafanya kazi ktk makambuni ya kimataifa nje ya afrika. na ni mambo ya kawaida kwa makampuni kama hayo kuchukua some expert toka nje ya nchi husika kwani hata MTN pale UG wana mkurugenzi toka SA. Na kwanza slyvia Mulinde alikuwa appointed TU ! haikuwa head hunting acha uongo Slyvia ni moja kati ya senior managers ktk shirika la safaricom ambao ni vodacom TZ
was a special assignment for special purpose
 
it
was a special assignment for special purpose
yap ukisema ivyo ni sawa lkn sio huyu jamaa MK254 anadai eti ilikuwa ni head hunting wakati sylivia mwenyewe ni part ya uongozi wa safaricom east africa ambao ni sehemu na vodacom MK254 acha uongo BRO
 
sasa ushasema ilikuwa ni head hunting ss hapo kulikuwepo na ushindani gani zaidi ya ku review CVs then waka wacontact shortlisted tena usikute wengine walikataa then huyo mwana mama akakubali ILA usiseme eti TZ hawakuwepo watu wa kuhold nafasi kama iyooo acha uzembe tuna waTZ kadhaa wanafanya kazi ktk makambuni ya kimataifa nje ya afrika. na ni mambo ya kawaida kwa makampuni kama hayo kuchukua some expert toka nje ya nchi husika kwani hata MTN pale UG wana mkurugenzi toka SA. Na kwanza slyvia Mulinde alikuwa appointed TU ! haikuwa head hunting acha uongo Slyvia ni moja kati ya senior managers ktk shirika la safaricom ambao ni vodacom TZ

Head hunting huwa gumu hata kuliko ile unaomba mwenyewe, maana wao hukujadili bila ya wewe kujua wala kuwepo, sifa zako zinajitangaza zenyewe, ukiona umeteuliwa kwenye head-hunting ujue wewe ni jembe, wameachwa mamilioni ukachaguliwa wewe, sasa nyie kumkatalia kisa mnasema wapo Watanzania wenye uwezo zaidi ya huyo dada halafu mnaishia kumkubali Mwarabu anayewapiga na kuhujumu, kisha mnamkatamata, kampuni inaishia kufuata mzungu, hehehe nyie shuhuli.....bana
 
Head hunting huwa gumu hata kuliko ile unaomba mwenyewe, maana wao hukujadili bila ya wewe kujua wala kuwepo, sifa zako zinajitangaza zenyewe, ukiona umeteuliwa kwenye head-hunting ujue wewe ni jembe, wameachwa mamilioni ukachaguliwa wewe, sasa nyie kumkatalia kisa mnasema wapo Watanzania wenye uwezo zaidi ya huyo dada halafu mnaishia kumkubali Mwarabu anayewapiga na kuhujumu, kisha mnamkatamata, kampuni inaishia kufuata mzungu, hehehe nyie shuhuli.....bana

Ni kweli wapo WENGI sanaaaa kaka HATA Mimi ni miongoni wa hao wengi ila kaa ukijua ya kuwa Sylivia alikuwa appointed toka safaricom Kenya sababu Sylivia ni miongoni mwa to managers hapo safaricom kenya ambao safaricom na vodacom ni chanda na pete SHE WAS APPOINTED and it wasn't HEAD HUNTING
 
Bodi ya Vodacom walipotaka kumuajiri Mkenya mlilia sana hadi mkapewa Mmisri ili mtulie, sasa huyo ndio kawa mbaya wenu mara kumi, nyie bana hehehe

That is what we call a blessing in disguise kwani makosa hayakutendwa na Chief Executive Misri, yeye kawajibika kama kiongozi kwa hiyo Mungu alimuepusha Mkenya na balaa hilo, ungekuta ndiyo yupo korokoroni!!!Kwa hiyo hongera Mkenya uliyekuwa umeteuliwa ila malaika wako kakurudisha Kenya na kukwepa MSALABA! Shukuru saaana Mungu wako na zidi kuomba na kusema asante Mungu kwa kukuepusha na janga!!! Where there is no vision people perish! It was a good premonition!
 
Reporti Gani? Ya yule profesa uchwara ambaye hajui kazi yake ameamua kujipatia kazi ya kutukana bunge?
hta mkipost kibera mara ngapi...dar 75%makaazi yao ni ya kiholela sana....
yani hyo video ya tetema diamond kajikaza sana ku shoot kw juu...manake ni aibu...hadi akabadilisha katika accounts zake n kujiita east african musician...ywani ywaona hta aibu kujinadika km ni msaani wa tanzani...

narudia hta tena...hta mkipost kibera mara ngapi...haiwezi badili makaazi holela ya walala hoi wa dar....naona mwengine kaleta mpka map ya kenya ikionyesha githurai ni slum..na wakati zile ghorofa ziko githu...tandale ni ndoto...
zile ghorofa ziko kibera mbagala ni ndoto...km unabisha leta picha yeyote ya mijengo ya tandale ya ghorofa nikuletee za kibera...povu ruksa..
 
hta mkipost kibera mara ngapi...dar 75%makaazi yao ni ya kiholela sana....
yani hyo video ya tetema diamond kajikaza sana ku shoot kw juu...manake ni aibu...hadi akabadilisha katika accounts zake n kujiita east african musician...ywani ywaona hta aibu kujinadika km ni msaani wa tanzani...

narudia hta tena...hta mkipost kibera mara ngapi...haiwezi badili makaazi holela ya walala hoi wa dar....naona mwengine kaleta mpka map ya kenya ikionyesha githurai ni slum..na wakati zile ghorofa ziko githu...tandale ni ndoto...
zile ghorofa ziko kibera mbagala ni ndoto...km unabisha leta picha yeyote ya mijengo ya tandale ya ghorofa nikuletee za kibera...povu ruksa..
Naona umeguswa penyewe😂😂😂
 
Kwa hivyo wewe uanjiona na akili kuwazidi uongozi wa Vodacom wenye dhamana ya kuhakikisha kampuni inazidi kupata faida kwa ajili ya wenye hisa. Wao walikaa vikao na kusaka kote ikiwemo ndani ya Tanzania na nje dunia yote wakaona yule dada Mkenya anakidhi vigezo vyote, head-hunting huwa haitangazwi, unashtukia tu umeteuliwa hata bila kuomba hiyo nafasi, wanakuchambua hatua kwa hatua,
Nyie kwa mlivyojawa na wivu dhidi ya majirani mkamgomea eti Tanzania kunao watu wengi wenye uwezo huo, lakini mwisho wa siku uongozi wa Vodacom bado wameendelea kuwatafuta wageni, yaani humo kwenye nyie zaidi ya milioni hamsini hawajaona hata mmoja, hata mkilazimisha vipi.
Huo ni ujinga sana kutaka kulazimisha makampuni kwamba wamuajiri nani na kumfuta yupi, mnafaa mzoee ushindani na kukubali mapungufu yenu, mbona hata hapa kwetu kuna makampuni yanawaleta wageni wanakua wakurungezi na hatuwazingui, sisi tunapambana na hali yetu na kujiboresha ili tuwe washindani zaidi kwenye soko la ajira. Mnategemea serikali iwalinde hadi lini, tatizo lenu wazembe, kumkuta Mtanzania anahudhurua evening classes baada ya kazi ni gumu sana, bora awahi gambe.
Mimi nawajua mlivyo, yaani ukiandaa ripoti isomwe na Watanzania, labda ulazimishe kwa mtutu ndio waisome, unaweza kukesha unaandaa ripoti kurasa 200 pages halafu unaita kikao muijadili baada ya kuwapa kama wiki mbili kabla, unashangaa hakuna aliyesoma hata kurasa moja....
Hiyo nafasi kutopewa Mtz haitokani na uwezo wa kazi, bali wanataka mtu ambaye watashirikiana katika wizi na bila taarifa kuvuja, wakenya kwenye wizi hawana mpinzani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watz hawa hawa akili zao bana, walimkatalia mbali Mkenya huku wakisema wao ndani yao zaidi ya milioni hamsini lazima kuna mwenye uwezo zaidi ya huyo Mkenya, tatizo bado wakaishia kumuajiri Mmisri na kumsifia kwamba yeye ndiye bora.

Cha ajabu naona kwenye taarifa wamemkamata kwa tuhuma za kuhujumu uchumi.

Wabongo hunikumbusha maisha ya kijijini, kule kijijini utakuta kuna mtu hataki mfanye maendeleo, kazi yake kukukwamisha, lakini yupo raadhi kumkaribisha mgeni wa mbali aje afungue duka pale ila wewe ukifungua lako yaani atalea chuki za kufa mtu.

Ndio uhusiano ulivyo baina ya Kenya na Tanzania. Bora Mkenya wetu alikataliwa na kuokolewa kutoka kwa huu upumbavu maana wangemzingua sana.
-------------------------------------------------

Dar es Salaam
Vodacom Tanzania managing director, Hisham Hendi, may face criminal charges in relation to the alleged fraudulent use of network facilities.

News about authorities arresting Mr Hendi and several other employees of Vodacom Tanzania Plc, started circulating in several social media platforms late on Tuesday.

The Dar es Salaam Special Police Zone Commander, Mr Lazaro Mambosasa, confirmed to The Citizen on Wednesday, saying the issue was being handled by Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA)
TCRA acting public relations manager Semu Mwakanjala said all was set for the Vodacom employees to be arraigned at Dar es Salaam’s Kisutu Residents’ Magistrate Court.

Arrested
Vodacom, which is listed on the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) also confirmed the arrest of its CEO and several other employees.

“Vodacom Tanzania Plc can confirm that it is fully cooperating with an investigation led by the Tanzania Police Force. Several Vodacom employees, including managing director Hisham Hendi, are being questioned by relevant authorities in relation to the alleged fraudulent use of network facilities,” Vodacom Tanzania said in a statement on Wednesday.

By 1pm Wednesday, no formal charges had been preferred against the Vodacom employees but, like TCRA, the company said it had been informed that they would appear in court on the same day.

The company assured its customers that the issue would have no impact on its service delivery and that it had taken measures to ensure that the company’s operations continue without disruptions.
A week

The case comes about a week since Mr Hendi was confirmed as the managing director for Tanzania’s leading telecommunication company by market share.

Prior to the appointment, Mr Hendi had served as acting managing director since September 2018.

In 2016, Mr Hendi – who holds a Bachelor’s degree in Commerce from the Cairo University – was recruited to lead marketing and sales functions.

He has 15 years of experience in telecommunication industry having worked in various leadership positions in United Kingdom, Egypt and South Africa.

The Egyptian’s appointment at acting capacity came after Ms Sylvia Mulinge, who was appointed in April to succeed Mr Ian Ferrao effectively from June 1 2018 – failed to secure a working permit from the Tanzanian authorities.


https://www.businessdailyafrica.com...l-charges-/4003154-5055016-3icpv4z/index.html
Nothing personal those two issues are similar but not the same,
Hapo Kenya mmekaa na wenzenu wenye asili ya Msumbiji miaka nenda miaka rudi,hamkuwapa uraia,lakini wahindi,wazungu,wanachukua uraia ki uraini kabisa.
 
Back
Top Bottom