Watanzania waliohukumiwa China, Jack Cliff na Binti Kiziwi wanaendeleaje?

Watanzania waliohukumiwa China, Jack Cliff na Binti Kiziwi wanaendeleaje?

Binti kiziwi kama ni yule wa kwenye ule wimbo kazuri sana
 
Hata wakitoka hao (kama kweli wako hai) watatafuta asylum nchi nyingine Bongo itakuwa fedheha sana kwao.
Asylum ina grounds zake mkuu sasa nchi za watu huko ukiwe ka record za drug trafficking ni mtihani sana watu kukupa asylum
 
Hong Kong na Macau hawanyongi.. Na hata China mainland Wabongo hawanyongwi
 
Duh kuna mtu namjua anaitwa simba kasanzu alikamatwaga China mpaka sahv ni zaidi ya miaka 20 hajarudi duh

Ova
 
Back
Top Bottom