Watanzania waliopata umaarufu wa ghafla mitandaoni na kisha kupotea…

Ongeza na Hawa.
# yule wa uokozi wa abiria wa ajali ya ndege Bukoba.
# Yule dogo wa Bukoba aliemshitaki Baba yake polisi..kwa sasa anasoma huko Kilimanjaro.
 
Kuna yule mzee mfupi Mzanzibari mwenye matusi (kocha).
 
Kisha wakapotea.....

Kwamba we huwasikii kabisa na huwaoni au wamekufa?
 
Hatari fire
Pierre Atabaki 120, atabaki kileleni
 
Ziko na hizi chawa sasa hivi zinasumbua ila si muda zitakuwa history
 
"Ndugu abiria,tunakaribia mlima kitonga.Kila mmoja asali maana tukifika hapo nawamwaga"

HUyu dereva wa basi alipotelea wapi?

Ndugu abiria, Pastor anaekemea mapepo mwambieni aache nina maruhani yatapanda muda si mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…