Watanzania waliopo Uarabuni na Ulaya wanapokonywa Pasipoti nakutumikishwa; pasipoti hizo zinatumika vibaya. Serikali ifuatilie

Watanzania waliopo Uarabuni na Ulaya wanapokonywa Pasipoti nakutumikishwa; pasipoti hizo zinatumika vibaya. Serikali ifuatilie

Waarabu waache kuwakaza na kuwalawiti Wasichana wetu ni kitu gani kinachowashinda kufunga nao ndoa mbona vibinti vya Kirusi na Chechnia na Kiyukraine wanafunga nao ndoa na kuwajengea majumba.

Mwarabu ni lini ataacha ukatili dhidi ya mtu mweusi, ndio maana Mungu nae kawaletea Israeli ili waonjeshwe dawa.
 
sawa ukisahchukua tahadhari chi kama baba lazima akulinde wewe mwanao sasa ubalozi unageuka genge la wahuni.
Ukulinde n ini ubalozi zaidi ya wewe mwenyewe kujilinda kwanza?

Mnaqmbiwa mkutaka kwenda nje ya nch8 kufanya kazi patient kwa mawakala wenye leseni, nyue mnajiendea tu.

Tanzania hulindwi, utalindwa nje? Tutumie akili kidogo.
 
Bila Mwingereza kupiga marufuku ya biashara ya Watumwa Mwarabu mpaka leo angekuwa anauza Waafrika pale Bahrain.
 
Porojo tu hizo.

Wengu wanakwenda huko kwa ajili ya kujiuza.

Kama si kujiuza mnaenda kufanya nini?

Wafanyakazi wa ndani hata Tanzania wanabamizwa hovyo, "beki tatu" ni nani?

Ustadhina.....Kweli umeamua....Mwislamu lazima atetewe....awe katenda ovu au jema.....Kweli unaifuata Quraan...! Mwislamu kwanza ...hata uletewe evidence......!
 
Mbona tumemuona Rose akishindikizwa na waajiri wake na watoto wanamlilia hawataki aondoke?


Mitanzania mingi ni mivivu, wanafikiri wakienda huko kuna kubweteka kijinga au kuna kuwacha kazi wakati wowote kama wafanyavyo wakiwa Tanzania.

huko ukifika kwa kuajiriwa passport inazuiliwa mpaka siku yako ya kusafiri, mwajiri wako ndiyo sponsor wako.

hakuwachii mpaka gharama ulizomuingiza mwajiri kukupeleka zirudi. La hutaki unazilipa unapewa passport yako eyapoti wakati unasafirishwa kurudi kwenu.

Kwani walienda kutalii huko hata wakae na passport?

Kinachotakiwa wapewe elimu ya watacho kumbana nacho huko kabla ya kwenda.
🤣🤣🤣 faiza foxy hakika hii ni maajabu
 
Na huu mgogoro wa Sudan wameuanzisha Waarabu ili wapate Watumwa wa kuwakaza bila kumuogopa Allah.
 
Waarabu waache kuwakaza na kuwalawiti Wasichana wetu ni kitu gani kinachowashinda kufunga nao ndoa mbona vibinti vya Kirusi na Chechnia na Kiyukraine wanafunga nao ndoa na kuwajengea majumba.

Mwarabu ni lini ataacha ukatili dhidi ya mtu mweusi, ndio maana Mungu nae kawaletea Israeli ili waonjeshwe dawa.
Wakati mwingine tujaribu kufikiri nje ya box kidogo, hivi kweli Mtanzania mwenye uelewa safi na akili timamu kabisa unaweza kukurupuka na kwenda Uarabuni kufanya kazi za ndani kweli??? Ina maana kwamba habari mbaya za wahanga mbalimbali ambao wamekuwa wakifanyiwa madhila huko Uarabuni hajawahi kuzisikia kweli??
 
Wakati mwingine tujaribu kufikiri nje ya box kidogo, hivi kweli Mtanzania mwenye uelewa safi na akili timamu kabisa unaweza kukurupuka na kwenda Uarabuni kufanya kazi za ndani kweli??? Ina maana kwamba habari mbaya za wahanga mbalimbali ambao wamekuwa wakifanyiwa madhila huko Uarabuni hajawahi kuzisikia kweli??
Mkuu kwa hali iliyopo Nchini Tanzania hali ni ngumu sana na kazi hata akija mwekezaji wanapewa watoto na makada wa CCM na marafiki zao

Watu wengi wanaona ni bora kwenda kunyanyasika kwa waarabu kwasababu hawana jinsi.
 
Ukulinde n ini ubalozi zaidi ya wewe mwenyewe kujilinda kwanza?

Mnaqmbiwa mkutaka kwenda nje ya nch8 kufanya kazi patient kwa mawakala wenye leseni, nyue mnajiendea tu.

Tanzania hulindwi, utalindwa nje? Tutumie akili kidogo.
kama unapata shida umbayo ubalozini unawezapata ABC na ukienda hupati inakuwaje vp huyo aliyetoa mada aliyewaongelea sio walioenda kinyemela mkuu.
 
Back
Top Bottom