Wacha waende tu, wanayataka wenyewe.In the Gulf 99% of Kenyan migrant workers are abused, a poll finds
But they keep coming because wages are better than at homewww.economist.com
Ukulinde n ini ubalozi zaidi ya wewe mwenyewe kujilinda kwanza?sawa ukisahchukua tahadhari chi kama baba lazima akulinde wewe mwanao sasa ubalozi unageuka genge la wahuni.
Porojo tu hizo.
Wengu wanakwenda huko kwa ajili ya kujiuza.
Kama si kujiuza mnaenda kufanya nini?
Wafanyakazi wa ndani hata Tanzania wanabamizwa hovyo, "beki tatu" ni nani?
🤣🤣🤣 faiza foxy hakika hii ni maajabuMbona tumemuona Rose akishindikizwa na waajiri wake na watoto wanamlilia hawataki aondoke?
Mitanzania mingi ni mivivu, wanafikiri wakienda huko kuna kubweteka kijinga au kuna kuwacha kazi wakati wowote kama wafanyavyo wakiwa Tanzania.
huko ukifika kwa kuajiriwa passport inazuiliwa mpaka siku yako ya kusafiri, mwajiri wako ndiyo sponsor wako.
hakuwachii mpaka gharama ulizomuingiza mwajiri kukupeleka zirudi. La hutaki unazilipa unapewa passport yako eyapoti wakati unasafirishwa kurudi kwenu.
Kwani walienda kutalii huko hata wakae na passport?
Kinachotakiwa wapewe elimu ya watacho kumbana nacho huko kabla ya kwenda.
Inasikitisha sana.Ustadhina.....Kweli umeamua....Mwislamu lazima atetewe....awe katenda ovu au jema.....Kweli unaifuata Quraan...! Mwislamu kwanza ...hata uletewe evidence......!
Inasikitisha sana.
Haya sema unataka tukupeleke wapi ukawe balozi?Balozi gani hawa kina Polepole?
Wakati mwingine tujaribu kufikiri nje ya box kidogo, hivi kweli Mtanzania mwenye uelewa safi na akili timamu kabisa unaweza kukurupuka na kwenda Uarabuni kufanya kazi za ndani kweli??? Ina maana kwamba habari mbaya za wahanga mbalimbali ambao wamekuwa wakifanyiwa madhila huko Uarabuni hajawahi kuzisikia kweli??Waarabu waache kuwakaza na kuwalawiti Wasichana wetu ni kitu gani kinachowashinda kufunga nao ndoa mbona vibinti vya Kirusi na Chechnia na Kiyukraine wanafunga nao ndoa na kuwajengea majumba.
Mwarabu ni lini ataacha ukatili dhidi ya mtu mweusi, ndio maana Mungu nae kawaletea Israeli ili waonjeshwe dawa.
Ndio ujue kiwango cha Dini kwenye kubrain wash mind ya Mwafrika hii inaitwa MENTAL SLAVERY.Kwa Faiza...So long ni Muislamu....you are always right.......! Ni amri ya Mtume hiyo!
Mimi nimefanya kazi sehemu nyingi ughaibuni Balozi za Kiafrika hazina msaada wowote.Haya sema unataka tukupeleke wapi ukawe balozi?
Mbona sijaona nchi yoyote ya Ulaya uliyoitaja kama heading inavyosema
Ulipokosa msaada uliripoti wapi? Kwa nani?Mimi nimefanya kazi sehemu nyingi ughaibuni Balozi za Kiafrika hazina msaada wowote.
Mkuu kwa hali iliyopo Nchini Tanzania hali ni ngumu sana na kazi hata akija mwekezaji wanapewa watoto na makada wa CCM na marafiki zaoWakati mwingine tujaribu kufikiri nje ya box kidogo, hivi kweli Mtanzania mwenye uelewa safi na akili timamu kabisa unaweza kukurupuka na kwenda Uarabuni kufanya kazi za ndani kweli??? Ina maana kwamba habari mbaya za wahanga mbalimbali ambao wamekuwa wakifanyiwa madhila huko Uarabuni hajawahi kuzisikia kweli??
kama unapata shida umbayo ubalozini unawezapata ABC na ukienda hupati inakuwaje vp huyo aliyetoa mada aliyewaongelea sio walioenda kinyemela mkuu.Ukulinde n ini ubalozi zaidi ya wewe mwenyewe kujilinda kwanza?
Mnaqmbiwa mkutaka kwenda nje ya nch8 kufanya kazi patient kwa mawakala wenye leseni, nyue mnajiendea tu.
Tanzania hulindwi, utalindwa nje? Tutumie akili kidogo.
Kwa Mungu, na nikamwambia sir God mchukue "Mchato".Ulipokosa msaada uliripoti wapi? Kwa nani?