Watanzania waliopo Uarabuni na Ulaya wanapokonywa Pasipoti nakutumikishwa; pasipoti hizo zinatumika vibaya. Serikali ifuatilie

vijana wa Kiasia walio chini ya Kafala System wakiwa wamelundikwa kwenye makazi yao duni na hatari vijana hutumika zaidi kwenye sekta ya ujenzi huko Uarabuni.

UTU uko wapi?
 
Umezitajaza nchi za kiislam kwamba zinawadhalilisha watz na hujataja hata nchi moja ya wakiristo wakati nchi za ulaya report inaonyesha waafrika wakiwemo watz wanabakwa sana hadi wanaume.
Kuwa mkweli unapotaka kulisaidia taifa
 
Umezitajaza nchi za kiislam kwamba zinawadhalilisha watz na hujataja hata nchi moja ya wakiristo wakati nchi za ulaya report inaonyesha waafrika wakiwemo watz wanabakwa sana hadi wanaume.
Kuwa mkweli unapotaka kulisaidia taifa
Uisilamu hauna maana ya kutetea Uarabu pale HAKI za Binadamu zinapokiukwa.
 

Msichana wa Kiafrika akiwa ametupiwa mizigo yake na kuzulumiwa mishahara yote aliyokuwa akiilimbikiza huko Lebanon Uarabuni.

Hata nauli ya kurudi nyumbani hana UTU uko wapi?

Halafu leo kuna Waisilamu njaa wa Kiafrika wanaosapoti Hezbolah.
 
Mengine siyajui maana sijafika huko..
Ila nakubali jambo moja "WATANZANIA NI WAVIVU"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…