Watanzania wameshindwa kununua hisa za Vodacom, imefunguliwa kwa Wakenya

Watanzania wameshindwa kununua hisa za Vodacom, imefunguliwa kwa Wakenya

He he..Siwezi thubutu kununua chochote huko bongo. Hujui magu atakurupuka lini aseme wewe Ni mwizi.
Bora ukae huko huko, maana hujui kuwa magu huyo ndo kasababisha haya makampuni ya simu yauze 25% ya share zake kwa locals!
 
Suala la hisa za voda lina sababu nyingi sana, na kwenye uzi ule wa kwanza tulitoa sababu nyingi sana na za msingi kabisa!

Leo ntachangia kidogo sana!

Nianze kwa kukukumbusha kuwa kwa sera ya NEEC (National Economic Empowerment Council) kila kampuni ya simu inatakiwa kuuza 25% ya hisa zake kwa wananchi! Hivyo mitandao yote iliyopo tz ie, Vodacom, Airtel, tigo, zantel, Halotel na ttcl zinatakiwa kuuza hisa hizo!

Vodacom ndo walikuwa wa kwanza kufanya hivyo, lakini walikosea maana wao au NEEC haeakutoa elimu ya kutosha kuhusu ununuzi wa hisa! Pia muda waliweka mfupi sana!

Ikumbukwe pia kuwa Vodacom ni mtandao unaolalamikiwa sana na wateja kwa kutoza gharama kubwa kwenye huduma zake, hivyo mtandao huu umeanza kupoteza wateja kwa kasi kubwa sana!

Kutokana na hilo, wateja wenyewe wa mtandao huu ambao kiuhalisia ndo wanatakiwa kutoa hamasa kwa wengine kununua ndo walikuwa wa kwanza kuuponda na kusubiri mitandao mingine iuze hisa zake ili wanunue!
 
Bora ukae huko huko, maana hujui kuwa magu huyo ndo kasababisha haya makampuni ya simu yauze 25% ya share zake kwa locals!

Huyo Magu mwenye Juzi alikuwa akitishia eti ni kwanini haya makampuni hayarecord profit? Haya. Wacha nikueleze jambo sasa. Huo upuuzi alioufanya Magufuli kabla hajafikiri kuhusu demand ya Hisa zenyewe ndio utabackfire. Sasa unataka kuempower watu amabo hawafuatili soko lahisa? Ikiwa mimi hapa Kenya najua, kwani Watanzania wanangoja lipi ili wajulishwe?

Kuwachezea individual buyers ni rahisi sana. Weka tu bei ya hisa iwe juu na wananchi hawatanunua. Kwani utailazimisha kampuni iize hisa zake kwa bei ya chini? Ni Watu wangapi amabo wanajua kufanya valuation ya Kampuni?
 
Huyo Magu mwenye Juzi alikuwa akitishia eti ni kwanini haya makampuni hayarecord profit? Haya. Wacha nikueleze jambo sasa. Huo upuuzi alioufanya Magufuli kabla hajafikiri kuhusu demand ya Hisa zenyewe ndio utabackfire. Sasa unataka kuempower watu amabo hawafuatili soko lahisa? Ikiwa mimi hapa Kenya najua, kwani Watanzania wanangoja lipi ili wajulishwe?

Kuwachezea individual buyers ni rahisi sana. Weka tu bei ya hisa iwe juu na wananchi hawatanunua. Kwani utailazimisha kampuni iize hisa zake kwa bei ya chini? Ni Watu wangapi amabo wanajua kufanya valuation ya Kampuni?
Then kama Vodacom wameamua kuweka bei kubwa ya hisa (kitu ambacho watu walisema wamefanya makusudi) bado tunazo kampuni nyingine tutanunua! airtel, tigo, halotel, zantel zote hizo tutanunua!

By the way unaaandaliwa muswada wa kuyawezesha haya makampuni kuingia DSE na kuorodhesha transactions zote! So wizi tz tinaukata hvo
 
Tatizo si Voda bali Magufuli ndio tatizo
Hizo Hisa zingeweza nunuliwa na watu 100 tu zikaisha zote
Mo angeweza weka hata 100bil, kina Mengi etc
 
Wabongo walishindwa kununua, wakaongezewa muda bado wakaendelea kununa, sasa imefunguliwa, haya Wakenya tutiririke Bongo tukafanye operation fagia fagia hisa kama tulivyofanya za Safaricom.

------------------------------------------------------------------------------

Tanzania has now opened the initial public offering (IPO) market to all East Africans, lifting a ban that had locked out foreigners from buying shares in ongoing listing of telecoms at the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE).

The removal of the restrictions offers hope to the country’s largest telco Vodacom, which recently offered 25 per cent of its shares in an IPO, but failed to raise the Tsh560 billion ($248.5 million) exclusively allocated to Tanzanians.

“The restrictions on participation of non-Tanzanian investors in the IPOs of the telecommunication companies have been removed following the amendments of the Electronic and Postal Communication Act (EPOCA) 2010 by the Finance Bill 2017,” the Capital Markets and Securities Authority (CMSA) said in a statement Wednesday.

CMSA said plans are being finalised “to enable public participation in the IPOs”.

In June 2016, Tanzania enacted the EPOCA law that required telcos to sell a quarter of their shares on the DSE to boost domestic ownership. The country, however, barred foreign investors, including East Africans, from participating.

READ: East African investors barred from Dar telcos IPO

Vodacom, a unit of South Africa’s Vodafone Group, was forced to extend its offering for three weeks after Tanzanians failed to absorb its shares. The IPO had been offered on March 9 to close on April 19, before the date was postponed. It has yet to announce the results.

READ: Why Vodacom Tanzania is extending IPO deadline

Its listing on the DSE was also pushed from May to June.

“With regard to the Vodacom Plc IPO, the issuer is expected to announce before end of this week the modality of finalising the offering and provide information on the listing date,” the CMSA head of public relations, Charles Shirima said Wednesday.

Tanzania opens telecom IPOs to East Africans
Nunueni hisa Wakenya
 
Then kama Vodacom wameamua kuweka bei kubwa ya hisa (kitu ambacho watu walisema wamefanya makusudi) bado tunazo kampuni nyingine tutanunua! airtel, tigo, halotel, zantel zote hizo tutanunua!

By the way unaaandaliwa muswada wa kuyawezesha haya makampuni kuingia DSE na kuorodhesha transactions zote! So wizi tz tinaukata hvo
Then kama Vodacom wameamua kuweka bei kubwa ya hisa (kitu ambacho watu walisema wamefanya makusudi) bado tunazo kampuni nyingine tutanunua! airtel, tigo, halotel, zantel zote hizo tutanunua!

By the way unaaandaliwa muswada wa kuyawezesha haya makampuni kuingia DSE na kuorodhesha transactions zote! So wizi tz tinaukata hvo

Huoni kuwa aim ya Magu itakuwa imeshindwa? Haya makampuni mengi e pia yatafanya tu hivyo
 
Haitashindwa hata kidogo, subiri muswada uende bungeni utarudi hapa kusema
 
Back
Top Bottom