Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walipiane ndege kwenda kuzururaTulipe kodi ili mzichezee kwenye mambo yenu ya kipuuzi! Mnafikiri hatuna akili siyo!! Mngekuwa mnazitumia kwa matumizi sahihi mnadhani kuna mtu angelalamika.
Cha BabatiUmevuta cha Meru?
Hahaha mkuuCha Babati
Tatizo la hawa fisi maji wanajiona wana akili sana! Kisa wana mivyeti ya kukariri madesa vyuoni! Yaani mtu anahangaika juani, humsaidii chochote! Halafu unataka umpangie matumizi ya fedha zake.Walipiane ndege kwenda kuzurura
Unajiona una akili kukwepa kodi?Tatizo la hawa fisi maji wanajiona wana akili sana! Kisa wana mivyeti ya kukariri madesa vyuoni! Yaani mtu anahangaika juani, humsaidii chochote! Halafu unataka umpangie matumizi ya fedha zake.
Wao miaka nenda wanarithishana tu vyeo! Nje ya siasa, hakuna kazi nyingine wanazoweza kufanya. Wanapeana vyeo kindugu na kikada! Hela zetu wakikusanya, nusu zinaingia mifukoni mwao! Kinacho bakia ndiyo wanafanyia maendeleo. Tutakwepa sana tu hizo kodi. No way out.
Watu wanalalamika kwa sababu wanatambua fika kodi zao hazitumiki kwa 100% matumizi sahihi. Nyingi zinaishia mifukoni mwa wapigaji. Kusingekuwepo na vitendo vya ufisadi, rushwa na uhujumu uchumi uliokithiri!Tabia ya kupenda kulalamikia vitu vya maana sana sijui ni kwanini imekita mizizi katika jamii zetu?!!!
Yaani mtu analalamikia TOZO ya "buku" kwa mwezi (nyumba nzima) ila kutwa KUCHANGIA/KUCHANGIANA/KUCHANGIWA/KUCHANGISHA fedha za shughuli(harusi,kitchen party,shower party,ndundu party ,birthdays,sherehe za maulidi ya jando la mtoto,sherehe za wari,vijana kumaliza chuo ,watoto kuhitimu nursery,mtoto kuacha ziwa,mtoto wa kiume kuota ndevu n.k)......
TAIFA haliwezi kupiga hatua kubwa kwa "mentalities" hizi.....
Kila mmoja wetu ana wajibu wa kuijenga nchi yake huku akizitumia huduma za jamii na "kuonjoi" utulivu na amani ya taifa lake..........
#NchiKwanza
#SiempreJMT
#KaziIendelee
watu wanalalamika wanalipa tozo zinaishia kwenye ma V8 huko na poshowatanzania Kazi yao huwa ni kulalamika hata kwa vitu vidogo,
nimeshangaa nyumba inawapangaji sita lakini wote wanalalamikia kulipa buku kwa mwezi,
kodi hawataki kulipa ila kadi za chama zinalipiwa,
mwigulu shikilia hapohapo asietaka ahame
View attachment 1910553
Sasa kodi zenyewe tukilipa si ndiyo hizo hizo mnazo nunulia Ma V8 ya milioni 400 huku wanafunzi mashuleni wakikaa chini kwa kukosa madawati! Bora kukwepa/kulalamika.unajiona unaakili kukwepa kodi?
nyie si mnawaendekeza CCMSasa kodi zenyewe tukilipa si ndiyo hizo hizo mnazo nunulia Ma V8 ya milioni 400 huku wanafunzi mashuleni wakikaa chini kwa kukosa madawati! Bora kukwepa/kulalamika.
Sawa Ngebe tumekuelewawatanzania Kazi yao huwa ni kulalamika hata kwa vitu vidogo,
nimeshangaa nyumba inawapangaji sita lakini wote wanalalamikia kulipa buku kwa mwezi,
kodi hawataki kulipa ila kadi za chama zinalipiwa,
mwigulu shikilia hapohapo asietaka ahame
View attachment 1910553
Siyo mbaya! Hamza ameanza kusafisha njia. Huenda wengine wakafuata. Ingawa sitegemei kwa namna yoyote ile, kuwa mmoja wao.nyie si mnawaendekeza CCM
Usifikiri watu wote wanakula bure kama wewe.watanzania Kazi yao huwa ni kulalamika hata kwa vitu vidogo,
nimeshangaa nyumba inawapangaji sita lakini wote wanalalamikia kulipa buku kwa mwezi,
kodi hawataki kulipa ila kadi za chama zinalipiwa,
mwigulu shikilia hapohapo asietaka ahame
View attachment 1910553
msimtegee Hamza pekeakeSiyo mbaya! Hamza ameanza kusafisha njia. Huenda wengine wakafuata. Ingawa sitegemei kwa namna yoyote ile, kuwa mmoja wao.
unataka uishi bure, Lipa kodi hutaki hama nchiUsifikiri watu wote wanakula bure kama wewe.
Upo sahihi mkuuTatizo la hawa fisi maji wanajiona wana akili sana! Kisa wana mivyeti ya kukariri madesa vyuoni! Yaani mtu anahangaika juani, humsaidii chochote! Halafu unataka umpangie matumizi ya fedha zake.
Wao miaka nenda wanarithishana tu vyeo! Nje ya siasa, hakuna kazi nyingine wanazoweza kufanya. Wanapeana vyeo kindugu na kikada! Hela zetu wakikusanya, nusu zinaingia mifukoni mwao! Kinacho bakia ndiyo wanafanyia maendeleo. Tutakwepa sana tu hizo kodi. No way out.