Watanzania wana imani kubwa sana na Paul Makonda na kamwe Lissu hawezi kushusha na kuondoa imani hiyo

Watanzania wana imani kubwa sana na Paul Makonda na kamwe Lissu hawezi kushusha na kuondoa imani hiyo

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Ningependa kusema ya kuwa Lissu atahangaika sana,ataongea sana lakini kamwe na katu hataweza kumchafua wala kushusha imani waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.

Ambayo imejengwa katika misingi ya uchapakazi, uzalendo,utu,huruma na ujasiri Mkubwa alionao Mwamba Mwenyewe Paul Makonda .ambaye amekuwa mtetezi wao kwa kila nafasi anayoipata na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais ya kuwatumikia watanzania.

Nimesikia akiongelea na kujaribu kumchafua Mwamba Makonda kuwa Kwanini ameteuliwa ukuu wa Mkoa Wakati anatuhumiwa kupora vitu kama vile magari ya watu. Swali la kumuuliza lissu ni kuwa ni nani huyo aliyeporwa magari? Ni nani huyo aliyeporwa mali na Mwamba Makonda?

Kesi ipo katika mahakama ipi na ni kesi namba ngapi ya mwaka gani? Mwenendo wa kesi umefikia wapi? Inasimamiwa na jaji yupi? magari hayo yaliyoporwa ni aina gani?,namba zake zipo wapi? Nyaraka za magari hayo zipo wapi kuthibitisha uporaji huo? Kwanini lisu anatuhumu bila ushahidi wa aina yoyote ile?

Anaposema Mwamba Makonda alizuiliwa na Marekani kwa sababu ya kufanya vitendo vya kihalifu .swali ni kuwa Marekani ni nani?

Je, siyo Marekani huyo huyo aliituhumu Ilaki chini ya Saddam Hussein kuwa Inamiliki silaha za Maangamizi? Je mumewahi kuonyeshwa silaha hizo za maangamizi? Mumewahi kuonyeshwa kiwanda cha silaha hizo na shehena ya silaha hizo za maangamizi zilizokutwa?

Je, siyo Marekani hiyo hiyo ilimtuhumu Muamar Gaddafi kuwa anaua watu wake na kwamba anakandamiza demokrasia? Je tangia amefariki Gaddafi mmeiona hiyo democrasia Libya? Je maisha waliyoishi Walibya chini ya Gaddafi ndio haya wanayoishi Walibya Leo? Libya ya Gaddafi ndio hii ya Sasa? Je, kuna amani tena Libya? Kuna utulivu? Kuna demokrasia?

Hamuoni zilikuwa ni hujuma tu za Marekani? Hamuoni na kufahamu ya kuwa vita ya Marekani na hasira zao ilikuwa ni kitendo cha Mwamba Mwenyewe Paul Makonda kupiga vita sana Mashoga na watu wote waliokuwa wanajihusisha na vitendo vya kishoga? Je, hamfahamu kuwa Marekani inaunga mkono vitendo vya kishoga kwa kauli ya haki za binadamu? Hamfahamu kuwa Marekani inapambana sana na kwa gharama kubwa na kwa kila aina ya ushawishi kuingiza uchafu huo wa ushoga barani Afrika? Je, wewe mtanzania mwenye akili Timamu na mwenye hofu ya Mungu unaweza kuunga mkono ushetani huo?

Sasa kwanini msifahamu na kuelewa ya kuwa Mwamba Makonda alichafuliwa na Marekani kwa sababu tu ya kitendo na hatua zake za kupinga ushoga hadharani?

Kwa hiyo niseme wazi kuwa lissu hawezi kumchafua Mwamba Makonda kwa namna yoyote ile ,wala kuondoa Imani kubwa waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda. Lissu atahangaika sana pengine kwa kutumiwa na wabaya wa Mwamba kujaribu kumpaka matope ,kumshushia heshima,kumtoa kwenye reli,kumvuruga ,kumnyong'onyesha na kumdhoofisha lakini kamwe hataweza kufanikiwa hata kidogo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ningependa kusema ya kuwa Lissu atahangaika sana,ataongea sana lakini kamwe na katu hataweza kumchafua wala kushusha imani waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.

Ambayo imejengwa katika misingi ya uchapakazi, uzalendo,utu,huruma na ujasiri Mkubwa alionao Mwamba Mwenyewe Paul Makonda .ambaye amekuwa mtetezi wao kwa kila nafasi anayoipata na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais ya kuwatumikia watanzania.

Nimesikia akiongelea na kujaribu kumchafua Mwamba Makonda kuwa Kwanini ameteuliwa ukuu wa Mkoa Wakati anatuhumiwa kupora vitu kama vile magari ya watu. Swali la kumuuliza lissu ni kuwa ni nani huyo aliyeporwa magari? Ni nani huyo aliyeporwa mali na Mwamba Makonda?

Kesi ipo katika mahakama ipi na ni kesi namba ngapi ya mwaka gani? Mwenendo wa kesi umefikia wapi? Inasimamiwa na jaji yupi? magari hayo yaliyoporwa ni aina gari,namba zake zipo wapi? Nyaraka za magari hayo zipo wapi kuthibitisha uporaji huo? Kwanini lisu anatuhumu bila ushahidi wa aina yoyote ile?

Anaposema Mwamba Makonda alizuiliwa na Marekani kwa sababu ya kufanya vitendo vya kihalifu .swali ni kuwa Marekani ni nani?

Je siyo Marekani huyo huyo aliituhumu Ilaki chini ya Saddam Hussein kuwa Inamiliki silaha za Maangamizi? Je mumewahi kuonyeshwa silaha hizo za maangamizi? Mumewahi kuonyeshwa kiwanda cha silaha hizo na shehena ya silaha hizo za maangamizi zilizokutwa?

Je siyo Marekani hiyo hiyo ilimtuhumu Muamar Gaddafi kuwa anaua watu wake na kwamba anakandamiza demokrasia? Je tangia amefariki Gaddafi mmeiona hiyo democrasia Libya? Je maisha waliyoishi Walibya chini ya Gaddafi ndio haya wanayoishi Walibya Leo? Libya ya Gaddafi ndio hii ya Sasa? Je kuna amani tena Libya? Kuna utulivu? Kuna demokrasia?

Hamuoni zilikuwa ni hujuma tu za Marekani? Hamuoni na kufahamu ya kuwa vita ya Marekani na hasira zao ilikuwa ni kitendo cha Mwamba Mwenyewe Paul Makonda kupiga vita sana Mashoga na watu wote waliokuwa wanajihusisha na vitendo vya kishoga? Je hamfahamu kuwa Marekani inaunga mkono vitendo vya kishoga kwa kauli ya haki za binadamu? Hamfahamu kuwa Marekani inapambana sana na kwa gharama kubwa na kwa kila aina ya ushawishi kuingiza uchafu huo wa ushoga barani Afrika ?Je wewe mtanzania mwenye akili Timamu na mwenye hofu ya Mungu unaweza kuunga mkono ushetani huo?

Sasa kwanini msifahamu na kuelewa ya kuwa Mwamba Makonda alichafuliwa na Marekani kwa sababu tu ya kitendo na hatua zake za kupinga ushoga hadharani?

Kwa hiyo niseme wazi kuwa lissu hawezi kumchafua Mwamba Makonda kwa namna yoyote ile ,wala kuondoa Imani kubwa waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda. Lissu atahangaika sana pengine kwa kutumiwa na wabaya wa Mwamba kujaribu kumpaka matope ,kumshushia heshima,kumtoa kwenye reli,kumvuruga ,kumnyong'onyesha na kumdhoofisha lakini kamwe hataweza kufanikiwa hata kidogo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Maneno hayo yanafanana na aya katika Qur'an, Surat At-Tariq (86:9)

:يَوْمَ تُبْلَى السَّرَائِرُ
"Siku ambayo yatakapofichuliwa yaliyomo vifuani."Aya hii inazungumzia Siku ya Kiyama (Siku ya Hukumu) ambapo siri zote zilizofichwa ndani ya nyoyo za watu zitadhihirishwa. Ni ukumbusho wa umuhimu wa nia safi na ukweli katika matendo yetu, kwani hakuna kinachoweza kufichika mbele ya Allah.
 
Maneno hayo yanafanana na aya katika Qur'an, Surat At-Tariq (86:9)

:يَوْمَ تُبْلَى السَّرَائِرُ
"Siku ambayo yatakapofichuliwa yaliyomo vifuani."Aya hii inazungumzia Siku ya Kiyama (Siku ya Hukumu) ambapo siri zote zilizofichwa ndani ya nyoyo za watu zitadhihirishwa. Ni ukumbusho wa umuhimu wa nia safi na ukweli katika matendo yetu, kwani hakuna kinachoweza kufichika mbele ya Allah.
Asante kwa maneno yako.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ningependa kusema ya kuwa Lissu atahangaika sana,ataongea sana lakini kamwe na katu hataweza kumchafua wala kushusha imani waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.

Ambayo imejengwa katika misingi ya uchapakazi, uzalendo,utu,huruma na ujasiri Mkubwa alionao Mwamba Mwenyewe Paul Makonda .ambaye amekuwa mtetezi wao kwa kila nafasi anayoipata na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais ya kuwatumikia watanzania.

Nimesikia akiongelea na kujaribu kumchafua Mwamba Makonda kuwa Kwanini ameteuliwa ukuu wa Mkoa Wakati anatuhumiwa kupora vitu kama vile magari ya watu. Swali la kumuuliza lissu ni kuwa ni nani huyo aliyeporwa magari? Ni nani huyo aliyeporwa mali na Mwamba Makonda?

Kesi ipo katika mahakama ipi na ni kesi namba ngapi ya mwaka gani? Mwenendo wa kesi umefikia wapi? Inasimamiwa na jaji yupi? magari hayo yaliyoporwa ni aina gari,namba zake zipo wapi? Nyaraka za magari hayo zipo wapi kuthibitisha uporaji huo? Kwanini lisu anatuhumu bila ushahidi wa aina yoyote ile?

Anaposema Mwamba Makonda alizuiliwa na Marekani kwa sababu ya kufanya vitendo vya kihalifu .swali ni kuwa Marekani ni nani?

Je siyo Marekani huyo huyo aliituhumu Ilaki chini ya Saddam Hussein kuwa Inamiliki silaha za Maangamizi? Je mumewahi kuonyeshwa silaha hizo za maangamizi? Mumewahi kuonyeshwa kiwanda cha silaha hizo na shehena ya silaha hizo za maangamizi zilizokutwa?

Je siyo Marekani hiyo hiyo ilimtuhumu Muamar Gaddafi kuwa anaua watu wake na kwamba anakandamiza demokrasia? Je tangia amefariki Gaddafi mmeiona hiyo democrasia Libya? Je maisha waliyoishi Walibya chini ya Gaddafi ndio haya wanayoishi Walibya Leo? Libya ya Gaddafi ndio hii ya Sasa? Je kuna amani tena Libya? Kuna utulivu? Kuna demokrasia?

Hamuoni zilikuwa ni hujuma tu za Marekani? Hamuoni na kufahamu ya kuwa vita ya Marekani na hasira zao ilikuwa ni kitendo cha Mwamba Mwenyewe Paul Makonda kupiga vita sana Mashoga na watu wote waliokuwa wanajihusisha na vitendo vya kishoga? Je hamfahamu kuwa Marekani inaunga mkono vitendo vya kishoga kwa kauli ya haki za binadamu? Hamfahamu kuwa Marekani inapambana sana na kwa gharama kubwa na kwa kila aina ya ushawishi kuingiza uchafu huo wa ushoga barani Afrika ?Je wewe mtanzania mwenye akili Timamu na mwenye hofu ya Mungu unaweza kuunga mkono ushetani huo?

Sasa kwanini msifahamu na kuelewa ya kuwa Mwamba Makonda alichafuliwa na Marekani kwa sababu tu ya kitendo na hatua zake za kupinga ushoga hadharani?

Kwa hiyo niseme wazi kuwa lissu hawezi kumchafua Mwamba Makonda kwa namna yoyote ile ,wala kuondoa Imani kubwa waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda. Lissu atahangaika sana pengine kwa kutumiwa na wabaya wa Mwamba kujaribu kumpaka matope ,kumshushia heshima,kumtoa kwenye reli,kumvuruga ,kumnyong'onyesha na kumdhoofisha lakini kamwe hataweza kufanikiwa hata kidogo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Jiandaeni na utetezi kule London.

Mwambieni aende na Mkalimani wa Kisukuma pia .....!!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ningependa kusema ya kuwa Lissu atahangaika sana,ataongea sana lakini kamwe na katu hataweza kumchafua wala kushusha imani waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.

Ambayo imejengwa katika misingi ya uchapakazi, uzalendo,utu,huruma na ujasiri Mkubwa alionao Mwamba Mwenyewe Paul Makonda .ambaye amekuwa mtetezi wao kwa kila nafasi anayoipata na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais ya kuwatumikia watanzania.

Nimesikia akiongelea na kujaribu kumchafua Mwamba Makonda kuwa Kwanini ameteuliwa ukuu wa Mkoa Wakati anatuhumiwa kupora vitu kama vile magari ya watu. Swali la kumuuliza lissu ni kuwa ni nani huyo aliyeporwa magari? Ni nani huyo aliyeporwa mali na Mwamba Makonda?

Kesi ipo katika mahakama ipi na ni kesi namba ngapi ya mwaka gani? Mwenendo wa kesi umefikia wapi? Inasimamiwa na jaji yupi? magari hayo yaliyoporwa ni aina gari,namba zake zipo wapi? Nyaraka za magari hayo zipo wapi kuthibitisha uporaji huo? Kwanini lisu anatuhumu bila ushahidi wa aina yoyote ile?

Anaposema Mwamba Makonda alizuiliwa na Marekani kwa sababu ya kufanya vitendo vya kihalifu .swali ni kuwa Marekani ni nani?

Je siyo Marekani huyo huyo aliituhumu Ilaki chini ya Saddam Hussein kuwa Inamiliki silaha za Maangamizi? Je mumewahi kuonyeshwa silaha hizo za maangamizi? Mumewahi kuonyeshwa kiwanda cha silaha hizo na shehena ya silaha hizo za maangamizi zilizokutwa?

Je siyo Marekani hiyo hiyo ilimtuhumu Muamar Gaddafi kuwa anaua watu wake na kwamba anakandamiza demokrasia? Je tangia amefariki Gaddafi mmeiona hiyo democrasia Libya? Je maisha waliyoishi Walibya chini ya Gaddafi ndio haya wanayoishi Walibya Leo? Libya ya Gaddafi ndio hii ya Sasa? Je kuna amani tena Libya? Kuna utulivu? Kuna demokrasia?

Hamuoni zilikuwa ni hujuma tu za Marekani? Hamuoni na kufahamu ya kuwa vita ya Marekani na hasira zao ilikuwa ni kitendo cha Mwamba Mwenyewe Paul Makonda kupiga vita sana Mashoga na watu wote waliokuwa wanajihusisha na vitendo vya kishoga? Je hamfahamu kuwa Marekani inaunga mkono vitendo vya kishoga kwa kauli ya haki za binadamu? Hamfahamu kuwa Marekani inapambana sana na kwa gharama kubwa na kwa kila aina ya ushawishi kuingiza uchafu huo wa ushoga barani Afrika ?Je wewe mtanzania mwenye akili Timamu na mwenye hofu ya Mungu unaweza kuunga mkono ushetani huo?

Sasa kwanini msifahamu na kuelewa ya kuwa Mwamba Makonda alichafuliwa na Marekani kwa sababu tu ya kitendo na hatua zake za kupinga ushoga hadharani?

Kwa hiyo niseme wazi kuwa lissu hawezi kumchafua Mwamba Makonda kwa namna yoyote ile ,wala kuondoa Imani kubwa waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda. Lissu atahangaika sana pengine kwa kutumiwa na wabaya wa Mwamba kujaribu kumpaka matope ,kumshushia heshima,kumtoa kwenye reli,kumvuruga ,kumnyong'onyesha na kumdhoofisha lakini kamwe hataweza kufanikiwa hata kidogo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unajisumbua bure kabisa.
Mtu huyu hasafishiki kwa sabuni yoyote ile Wala hawezi kutakasika kwa namna yoyote ile, hata ukitumia vitakasa mwili Kama vile sanitizer Kamwe hautaweza kumtakasa mtu huyo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ningependa kusema ya kuwa Lissu atahangaika sana,ataongea sana lakini kamwe na katu hataweza kumchafua wala kushusha imani waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.

Ambayo imejengwa katika misingi ya uchapakazi, uzalendo,utu,huruma na ujasiri Mkubwa alionao Mwamba Mwenyewe Paul Makonda .ambaye amekuwa mtetezi wao kwa kila nafasi anayoipata na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais ya kuwatumikia watanzania.

Nimesikia akiongelea na kujaribu kumchafua Mwamba Makonda kuwa Kwanini ameteuliwa ukuu wa Mkoa Wakati anatuhumiwa kupora vitu kama vile magari ya watu. Swali la kumuuliza lissu ni kuwa ni nani huyo aliyeporwa magari? Ni nani huyo aliyeporwa mali na Mwamba Makonda?

Kesi ipo katika mahakama ipi na ni kesi namba ngapi ya mwaka gani? Mwenendo wa kesi umefikia wapi? Inasimamiwa na jaji yupi? magari hayo yaliyoporwa ni aina gari,namba zake zipo wapi? Nyaraka za magari hayo zipo wapi kuthibitisha uporaji huo? Kwanini lisu anatuhumu bila ushahidi wa aina yoyote ile?

Anaposema Mwamba Makonda alizuiliwa na Marekani kwa sababu ya kufanya vitendo vya kihalifu .swali ni kuwa Marekani ni nani?

Je siyo Marekani huyo huyo aliituhumu Ilaki chini ya Saddam Hussein kuwa Inamiliki silaha za Maangamizi? Je mumewahi kuonyeshwa silaha hizo za maangamizi? Mumewahi kuonyeshwa kiwanda cha silaha hizo na shehena ya silaha hizo za maangamizi zilizokutwa?

Je siyo Marekani hiyo hiyo ilimtuhumu Muamar Gaddafi kuwa anaua watu wake na kwamba anakandamiza demokrasia? Je tangia amefariki Gaddafi mmeiona hiyo democrasia Libya? Je maisha waliyoishi Walibya chini ya Gaddafi ndio haya wanayoishi Walibya Leo? Libya ya Gaddafi ndio hii ya Sasa? Je kuna amani tena Libya? Kuna utulivu? Kuna demokrasia?

Hamuoni zilikuwa ni hujuma tu za Marekani? Hamuoni na kufahamu ya kuwa vita ya Marekani na hasira zao ilikuwa ni kitendo cha Mwamba Mwenyewe Paul Makonda kupiga vita sana Mashoga na watu wote waliokuwa wanajihusisha na vitendo vya kishoga? Je hamfahamu kuwa Marekani inaunga mkono vitendo vya kishoga kwa kauli ya haki za binadamu? Hamfahamu kuwa Marekani inapambana sana na kwa gharama kubwa na kwa kila aina ya ushawishi kuingiza uchafu huo wa ushoga barani Afrika ?Je wewe mtanzania mwenye akili Timamu na mwenye hofu ya Mungu unaweza kuunga mkono ushetani huo?

Sasa kwanini msifahamu na kuelewa ya kuwa Mwamba Makonda alichafuliwa na Marekani kwa sababu tu ya kitendo na hatua zake za kupinga ushoga hadharani?

Kwa hiyo niseme wazi kuwa lissu hawezi kumchafua Mwamba Makonda kwa namna yoyote ile ,wala kuondoa Imani kubwa waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda. Lissu atahangaika sana pengine kwa kutumiwa na wabaya wa Mwamba kujaribu kumpaka matope ,kumshushia heshima,kumtoa kwenye reli,kumvuruga ,kumnyong'onyesha na kumdhoofisha lakini kamwe hataweza kufanikiwa hata kidogo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mwashambwa ni mgonjwa wa Akili JF tukuchangie uende Dodoma Mirembe!
 
Kama kweli alishiriki jaribio la kumuua Lisu na ushahidi ukapatikana haraka sana Paul Makonda achukuliwe hatua za kisheria hatutakubaliana na mambo ya kutoana uhai kisa siasa
Ni uzushi tu wa lissu kujaribu kutaka kumchafua Mwamba.ndio maana unaona hana ushahidi wa aina yoyote ile zaidi ya kuitumia Marekani kama ndio ushahidi wake.jambo ambalo nimelitolea ufafanuzi kwenye andiko langu.
 
Maneno hayo yanafanana na aya katika Qur'an, Surat At-Tariq (86:9)

:يَوْمَ تُبْلَى السَّرَائِرُ
"Siku ambayo yatakapofichuliwa yaliyomo vifuani."Aya hii inazungumzia Siku ya Kiyama (Siku ya Hukumu) ambapo siri zote zilizofichwa ndani ya nyoyo za watu zitadhihirishwa. Ni ukumbusho wa umuhimu wa nia safi na ukweli katika matendo yetu, kwani hakuna kinachoweza kufichika mbele ya Allah.
Sema ustaadhi, mwambie huyu Mwashambwa anayetetea ujinga hata ukio wazi!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ningependa kusema ya kuwa Lissu atahangaika sana,ataongea sana lakini kamwe na katu hataweza kumchafua wala kushusha imani waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.

Ambayo imejengwa katika misingi ya uchapakazi, uzalendo,utu,huruma na ujasiri Mkubwa alionao Mwamba Mwenyewe Paul Makonda .ambaye amekuwa mtetezi wao kwa kila nafasi anayoipata na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais ya kuwatumikia watanzania.

Nimesikia akiongelea na kujaribu kumchafua Mwamba Makonda kuwa Kwanini ameteuliwa ukuu wa Mkoa Wakati anatuhumiwa kupora vitu kama vile magari ya watu. Swali la kumuuliza lissu ni kuwa ni nani huyo aliyeporwa magari? Ni nani huyo aliyeporwa mali na Mwamba Makonda?

Kesi ipo katika mahakama ipi na ni kesi namba ngapi ya mwaka gani? Mwenendo wa kesi umefikia wapi? Inasimamiwa na jaji yupi? magari hayo yaliyoporwa ni aina gari,namba zake zipo wapi? Nyaraka za magari hayo zipo wapi kuthibitisha uporaji huo? Kwanini lisu anatuhumu bila ushahidi wa aina yoyote ile?

Anaposema Mwamba Makonda alizuiliwa na Marekani kwa sababu ya kufanya vitendo vya kihalifu .swali ni kuwa Marekani ni nani?

Je siyo Marekani huyo huyo aliituhumu Ilaki chini ya Saddam Hussein kuwa Inamiliki silaha za Maangamizi? Je mumewahi kuonyeshwa silaha hizo za maangamizi? Mumewahi kuonyeshwa kiwanda cha silaha hizo na shehena ya silaha hizo za maangamizi zilizokutwa?

Je siyo Marekani hiyo hiyo ilimtuhumu Muamar Gaddafi kuwa anaua watu wake na kwamba anakandamiza demokrasia? Je tangia amefariki Gaddafi mmeiona hiyo democrasia Libya? Je maisha waliyoishi Walibya chini ya Gaddafi ndio haya wanayoishi Walibya Leo? Libya ya Gaddafi ndio hii ya Sasa? Je kuna amani tena Libya? Kuna utulivu? Kuna demokrasia?

Hamuoni zilikuwa ni hujuma tu za Marekani? Hamuoni na kufahamu ya kuwa vita ya Marekani na hasira zao ilikuwa ni kitendo cha Mwamba Mwenyewe Paul Makonda kupiga vita sana Mashoga na watu wote waliokuwa wanajihusisha na vitendo vya kishoga? Je hamfahamu kuwa Marekani inaunga mkono vitendo vya kishoga kwa kauli ya haki za binadamu? Hamfahamu kuwa Marekani inapambana sana na kwa gharama kubwa na kwa kila aina ya ushawishi kuingiza uchafu huo wa ushoga barani Afrika ?Je wewe mtanzania mwenye akili Timamu na mwenye hofu ya Mungu unaweza kuunga mkono ushetani huo?

Sasa kwanini msifahamu na kuelewa ya kuwa Mwamba Makonda alichafuliwa na Marekani kwa sababu tu ya kitendo na hatua zake za kupinga ushoga hadharani?

Kwa hiyo niseme wazi kuwa lissu hawezi kumchafua Mwamba Makonda kwa namna yoyote ile ,wala kuondoa Imani kubwa waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda. Lissu atahangaika sana pengine kwa kutumiwa na wabaya wa Mwamba kujaribu kumpaka matope ,kumshushia heshima,kumtoa kwenye reli,kumvuruga ,kumnyong'onyesha na kumdhoofisha lakini kamwe hataweza kufanikiwa hata kidogo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na wewe uwage unawaza huu upumbavu mwingine unaacha kuendelea nao. Hata kama ni mpigania chama, haina maana huna akili kiasi hiki
 
Hapo kwenye kuivamia Iraq na kudai kua Saddam Hussein ana silaha za maangamizi za WMD umepiga kwenye mshono,mpaka leo hawajawahi kuonyesha hizo silaha,

Hata kuivamia Libya ilikua ni propaganda tu,US hua anafanya vitu kwa manufaa yao wala hawezi kufanya jambo eti kwa manufaa ya watu wengine,

Silaha zao ndio zinazoua Wanawake na Watoto kule Gaza mpaka sasa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ningependa kusema ya kuwa Lissu atahangaika sana,ataongea sana lakini kamwe na katu hataweza kumchafua wala kushusha imani waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.

Ambayo imejengwa katika misingi ya uchapakazi, uzalendo,utu,huruma na ujasiri Mkubwa alionao Mwamba Mwenyewe Paul Makonda .ambaye amekuwa mtetezi wao kwa kila nafasi anayoipata na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais ya kuwatumikia watanzania.

Nimesikia akiongelea na kujaribu kumchafua Mwamba Makonda kuwa Kwanini ameteuliwa ukuu wa Mkoa Wakati anatuhumiwa kupora vitu kama vile magari ya watu. Swali la kumuuliza lissu ni kuwa ni nani huyo aliyeporwa magari? Ni nani huyo aliyeporwa mali na Mwamba Makonda?

Kesi ipo katika mahakama ipi na ni kesi namba ngapi ya mwaka gani? Mwenendo wa kesi umefikia wapi? Inasimamiwa na jaji yupi? magari hayo yaliyoporwa ni aina gari,namba zake zipo wapi? Nyaraka za magari hayo zipo wapi kuthibitisha uporaji huo? Kwanini lisu anatuhumu bila ushahidi wa aina yoyote ile?

Anaposema Mwamba Makonda alizuiliwa na Marekani kwa sababu ya kufanya vitendo vya kihalifu .swali ni kuwa Marekani ni nani?

Je siyo Marekani huyo huyo aliituhumu Ilaki chini ya Saddam Hussein kuwa Inamiliki silaha za Maangamizi? Je mumewahi kuonyeshwa silaha hizo za maangamizi? Mumewahi kuonyeshwa kiwanda cha silaha hizo na shehena ya silaha hizo za maangamizi zilizokutwa?

Je siyo Marekani hiyo hiyo ilimtuhumu Muamar Gaddafi kuwa anaua watu wake na kwamba anakandamiza demokrasia? Je tangia amefariki Gaddafi mmeiona hiyo democrasia Libya? Je maisha waliyoishi Walibya chini ya Gaddafi ndio haya wanayoishi Walibya Leo? Libya ya Gaddafi ndio hii ya Sasa? Je kuna amani tena Libya? Kuna utulivu? Kuna demokrasia?

Hamuoni zilikuwa ni hujuma tu za Marekani? Hamuoni na kufahamu ya kuwa vita ya Marekani na hasira zao ilikuwa ni kitendo cha Mwamba Mwenyewe Paul Makonda kupiga vita sana Mashoga na watu wote waliokuwa wanajihusisha na vitendo vya kishoga? Je hamfahamu kuwa Marekani inaunga mkono vitendo vya kishoga kwa kauli ya haki za binadamu? Hamfahamu kuwa Marekani inapambana sana na kwa gharama kubwa na kwa kila aina ya ushawishi kuingiza uchafu huo wa ushoga barani Afrika ?Je wewe mtanzania mwenye akili Timamu na mwenye hofu ya Mungu unaweza kuunga mkono ushetani huo?

Sasa kwanini msifahamu na kuelewa ya kuwa Mwamba Makonda alichafuliwa na Marekani kwa sababu tu ya kitendo na hatua zake za kupinga ushoga hadharani?

Kwa hiyo niseme wazi kuwa lissu hawezi kumchafua Mwamba Makonda kwa namna yoyote ile ,wala kuondoa Imani kubwa waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda. Lissu atahangaika sana pengine kwa kutumiwa na wabaya wa Mwamba kujaribu kumpaka matope ,kumshushia heshima,kumtoa kwenye reli,kumvuruga ,kumnyong'onyesha na kumdhoofisha lakini kamwe hataweza kufanikiwa hata kidogo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe ndiye una imani naye kwa vile ndiye anakupa hela za kuja kujaza upuuzi wako humu. Huyo bwege sehemu anayostahili kuwa ni gerezani tu akisubiria kunyongwa hadi afe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ningependa kusema ya kuwa Lissu atahangaika sana,ataongea sana lakini kamwe na katu hataweza kumchafua wala kushusha imani waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.

Ambayo imejengwa katika misingi ya uchapakazi, uzalendo,utu,huruma na ujasiri Mkubwa alionao Mwamba Mwenyewe Paul Makonda .ambaye amekuwa mtetezi wao kwa kila nafasi anayoipata na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais ya kuwatumikia watanzania.

Nimesikia akiongelea na kujaribu kumchafua Mwamba Makonda kuwa Kwanini ameteuliwa ukuu wa Mkoa Wakati anatuhumiwa kupora vitu kama vile magari ya watu. Swali la kumuuliza lissu ni kuwa ni nani huyo aliyeporwa magari? Ni nani huyo aliyeporwa mali na Mwamba Makonda?

Kesi ipo katika mahakama ipi na ni kesi namba ngapi ya mwaka gani? Mwenendo wa kesi umefikia wapi? Inasimamiwa na jaji yupi? magari hayo yaliyoporwa ni aina gari,namba zake zipo wapi? Nyaraka za magari hayo zipo wapi kuthibitisha uporaji huo? Kwanini lisu anatuhumu bila ushahidi wa aina yoyote ile?

Anaposema Mwamba Makonda alizuiliwa na Marekani kwa sababu ya kufanya vitendo vya kihalifu .swali ni kuwa Marekani ni nani?

Je siyo Marekani huyo huyo aliituhumu Ilaki chini ya Saddam Hussein kuwa Inamiliki silaha za Maangamizi? Je mumewahi kuonyeshwa silaha hizo za maangamizi? Mumewahi kuonyeshwa kiwanda cha silaha hizo na shehena ya silaha hizo za maangamizi zilizokutwa?

Je siyo Marekani hiyo hiyo ilimtuhumu Muamar Gaddafi kuwa anaua watu wake na kwamba anakandamiza demokrasia? Je tangia amefariki Gaddafi mmeiona hiyo democrasia Libya? Je maisha waliyoishi Walibya chini ya Gaddafi ndio haya wanayoishi Walibya Leo? Libya ya Gaddafi ndio hii ya Sasa? Je kuna amani tena Libya? Kuna utulivu? Kuna demokrasia?

Hamuoni zilikuwa ni hujuma tu za Marekani? Hamuoni na kufahamu ya kuwa vita ya Marekani na hasira zao ilikuwa ni kitendo cha Mwamba Mwenyewe Paul Makonda kupiga vita sana Mashoga na watu wote waliokuwa wanajihusisha na vitendo vya kishoga? Je hamfahamu kuwa Marekani inaunga mkono vitendo vya kishoga kwa kauli ya haki za binadamu? Hamfahamu kuwa Marekani inapambana sana na kwa gharama kubwa na kwa kila aina ya ushawishi kuingiza uchafu huo wa ushoga barani Afrika ?Je wewe mtanzania mwenye akili Timamu na mwenye hofu ya Mungu unaweza kuunga mkono ushetani huo?

Sasa kwanini msifahamu na kuelewa ya kuwa Mwamba Makonda alichafuliwa na Marekani kwa sababu tu ya kitendo na hatua zake za kupinga ushoga hadharani?

Kwa hiyo niseme wazi kuwa lissu hawezi kumchafua Mwamba Makonda kwa namna yoyote ile ,wala kuondoa Imani kubwa waliyonayo watanzania kwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda. Lissu atahangaika sana pengine kwa kutumiwa na wabaya wa Mwamba kujaribu kumpaka matope ,kumshushia heshima,kumtoa kwenye reli,kumvuruga ,kumnyong'onyesha na kumdhoofisha lakini kamwe hataweza kufanikiwa hata kidogo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Love it, or leave it_ 🧡💛.jpeg
 
Back
Top Bottom