Watanzania wana imani kubwa sana na Paul Makonda na kamwe Lissu hawezi kushusha na kuondoa imani hiyo

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Kaa kwa kutulia maana watanzania tuna mpango wa kumpa mama aongoze Taifa letu mpaka achoke Mwenyewe
 
Maji kujaa na maji kupwaa.

Muda ni mwalomu mzuri,we chawa.
Wataendelea kuvuliwa nguo,mpaka wabaki nyuchi🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Hakuna mtanzania ambaye yupo tayari kuhangaika na huo uzushi wa lissu.ndio maana tangia ameanza kuzungumza jambo hilo hakuna uungwaji mkono wowote ule alioupata kutoka kwa watanzania.
 
Hakuna mtanzania ambaye yupo tayari kuhangaika na huo uzushi wa lissu.ndio maana tangia ameanza kuzungumza jambo hilo hakuna uungwaji mkono wowote ule alioupata kutoka kwa watanzania.
Wagonjwa wa Akili tuko wengi,madaftari wachache!
 
Maji kujaa na maji kupwaa.

Muda ni mwalomu mzuri.

Bwana zako wataendelea kuvuliwa nguo,mpaka maji na mafuta vitengane
 
Mwamba hana muda mchafu wa kuanza kujibizana na lissu.Mwamba anaendelea kuchapa kazi kuwahudumia watanzania katika majukumu aliyopewa na Mheshimiwa Rais
 
Endelea kulinda Wauaji ukidhani uko salama, Muulize Nape
 
Hakuna mtanzania ambaye yupo tayari kuhangaika na huo uzushi wa lissu.ndio maana tangia ameanza kuzungumza jambo hilo hakuna uungwaji mkono wowote ule alioupata kutoka kwa watanzania.
Wenye akili,ndo wanaelewa.
Kwa akili zako mpaka Sasa si unaamini hakuna utekaji Wala mauwaji yanayoendelea.

Akili za mafungu.
Mnatia kichefuchefu
 
Naona unapenda sana huo mchezo na ndio maana unataka kutufahamisha hapa kazi yako.
Tabia zako za kujilengesha kwa wanaume na kuwasifia umwamba ndiyo zinadhihirisha kuwa wewe una vimelea vya upinde,nani mwanume kamili humu jukwaani anafanya huu ujinga kama ufanyavyo wewe? Wanaume hatupo hivyo wewe ni wa jinsia ya tatu tu.
 
MAKONDA FOR PRESDENT 2030, Lisu aende FB aone maoni ya vitoto vya 2000,badala ajenge hoja ye anatafuta huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…