Watanzania wana imani kubwa sana na Paul Makonda na kamwe Lissu hawezi kushusha na kuondoa imani hiyo

Tabia zako za kujilengesha kwa wanaume na kuwasifia umwamba ndiyo zinadhihirisha kuwa wewe una vimelea vya upinde,nani mwanume kamili humu jukwaani anafanya huu ujinga kama ufanyavyo wewe? Wanaume hatupo hivyo wewe ni wa jinsia ya tatu tu.
Pdiddy anamtaka Mwashambwa gerezani akumuhudumie!
 
Hivi una matatizo ya akili? Hujasoma halafu unakurupukia kutoa maoni? Kweli ujinga ni mzigo sana.
Nitasomaje maoni ya kipumbavu namna hiyo. Mwanaume mzima unakuja humu kumtetea mtu ambaye dunia nzima inafahamu kwamba ni mhalifu hadi kupigwa marufuku kukanyaga ardhi za mataifa mengine halafu unamfagilia mhalifu kama huyo eti kisa njaa, ghasia kabisa wewe.
 
Ukisoma Bible,kuna Sehemu Wana wa Israel walivushwa bahari ya Shamu,walipofika ng'ambo jamaa kama Mwashambwa wakochonga sanamu ya kuabudu! Mungu aliyewavusha wakamsahau.Ndio disaini ya kina Mwashambwa,tutafika tuu na Aibu kuwashika.
 
Punguani huyu,waweke jukwaa la Akili ndogo kiongozi awe Mwashambwa, huyu anaweza kuua kabisa!
 
Nami nitakujibuji ujinga wako huo?
 
Tabia zako za kujilengesha kwa wanaume na kuwasifia umwamba ndiyo zinadhihirisha kuwa wewe una vimelea vya upinde,nani mwanume kamili humu jukwaani anafanya huu ujinga kama ufanyavyo wewe? Wanaume hatupo hivyo wewe ni wa jinsia ya tatu tu.
Naona unapenda sana huo utamaduni na bila shaka utakuwa ni miongoni mwa mawakala wa huo ushetani
 
Hapo kwenye Watanzania ungeandika Chawa wa Lumumba ingeleta maana.
 
Hapo kwenye Watanzania ungeandika Chawa wa Lumumba ingeleta maana.
Huoni namna ambavyo wetu hufurika na kumiminika katika mikutano yake? Umesahau kuwa majuzi tu hapa CHADEMA imekosa watu hata wa kumsaidia Mbowe asikamatwe?
 

View: https://x.com/Oleshangay/status/1839044010838519938?t=E8fbRntMH6r-MpusYEiTXw&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…