Watanzania wana tamaa sana kwenye biashara za mtandaoni

Watanzania wana tamaa sana kwenye biashara za mtandaoni

Mfani rj45 connector ni 200 madukani ikizidi 500, mtu anauza 1500 au 2000

Kifaa ambacho dukan ni elf 65, mtu anaweka 120,000. Kifupi wanaweka bei mara mbili ya inavyokua kawaida, watu wanatamaa sana.
zidisha juhudi katika kufanya kazi, kwani mtaji ulionao ni nguvu zako mwenyewe..

ongeza bidii gentleman, ili kuondokana na unyonge wa kiuchumi hasa kwenye mambo madogo madogo 🐒
 
Ndio biashara huria hiyo

Kila mtu apange bei yake

Na ndio watu wanaouza bei halisi jiwa nanunua sana vitu vyao

Kuna kipindi fulani nilikuwa naenda kariakoo kununua vifaa vya electronics bei zilikuwa balaa unazunguka wee na wanaanzia juu kichizi ili mshushane mpaka chini

Kitu cha 200k atakwambia 350k ili mbishane weee ndio akuuzie

Katika pita pita moja hapo nishachoka nikaona duka moja kuulizia tu naambiwa 190k, nilishtuka nikajua feki ila kuitazama sababu naijua nikakuta original


Toka siku hiyo ndio likawa duka langu mpaka kesho nikitaka chochote huwa naanzia hapo kwanza

Kuuza bei halisi kunaleta sana wateja
 
Mfani rj45 connector ni 200 madukani ikizidi 500, mtu anauza 1500 au 2000

Kifaa ambacho dukan ni elf 65, mtu anaweka 120,000. Kifupi wanaweka bei mara mbili ya inavyokua kawaida, watu wanatamaa sana.
Pamoja Mimi ni mdau wa afya mwandamizi senior

Nimesoma economics kwenye topic ya Demand & supply Kuna point huelezewa Kwenye factor IGNORANCE OF CONSUMER 😊
 
Ndio biashara huria hiyo

Kila mtu apange bei yake

Na ndio watu wanaouza bei halisi jiwa nanunua sana vitu vyao

Kuna kipindi fulani nilikuwa naenda kariakoo kununua vifaa vya electronics bei zilikuwa balaa unazunguka wee na wanaanzia juu kichizi ili mshushane mpaka chini

Kitu cha 200k atakwambia 350k ili mbishane weee ndio akuuzie

Katika pita pita moja hapo nishachoka nikaona duka moja kuulizia tu naambiwa 190k, nilishtuka nikajua feki ila kuitazama sababu naijua nikakuta original


Toka siku hiyo ndio likawa duka langu mpaka kesho nikitaka chochote huwa naanzia hapo kwanza

Kuuza bei halisi kunaleta sana wateja
duka gani mkuu?
niwekee hata namba zao PM
 
Ni kweli,
Niliwahi kuona taa nzuri mtandaoni inauzwa 20,000
Ila kabla sijanunua nikasema ngoja nikaulizie maduka ya karibu nikakuta bei ni Tsh 9,000 Tu tena ni pembezoni kabisa mwa mji. Naamini taa hiyohiyo kwa Kariakoo Unaweza kupata hata kwa Tsh 5,000
 
Back
Top Bottom