Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu nambie ni chombo gani cha serekale ya CCM kilichofanya jitihada za kuwasaidia waTanzania waliokwama hapo UKRAINE? na wamewapa msaada gani? wakati kila kukicha ni viliotu wahanga wanaomba serekale ya ccm iwasaidie kuwaokoaLakini mbona kama walisema wamefanya utaratibu na wamewapa hifadhi nchi jirani ya Poland ili warejee nchini.
Lakini mbona kama walisema wamefanya utaratibu na wamewapa hifadhi nchi jirani ya Poland ili warejee nchini.
Kwa mujibu wa serikali ndio walisema hivyo kuna uzi humu ngoja niutafute walivyo toa kauli hiyo.hebu nambie ni chombo gani cha serekale ya CCM kilichofanya jitihada za kuwasaidia waTanzania waliokwama hapo UKRAINE? na wamewapa msaada gani? wakati kila kukicha ni viliotu wahanga wanaomba serekale ya ccm iwasaidie kuwaokoa
Wanafanya hivyo ili kuweka ukaribu maana matatizo hutokea.![]()
Mzozo wa Ukraine: Takriban watalii 1000 wa Ukraine wapatiwa huduma za kibinadamu Zanzibar - BBC News Swahili
Serikali ya Zanzibar imesema inashirikiana kwa karibu na ubalozi wa Ukraine uliopo nchini Kenya kuangalia ni namna gani itawasafirisha watalii wa Ukraine wapatao elfu moja ambao hivi sasa wamekwama kisiwani humo baada ya kuzuka kwa vita kati ya Urusi na Ukraine.www.bbc.com
Hakuna mwafrika au muhindi aliyepokelewa Poland ndio maana India inaitumia Urusi hiyo hiyo kuwatoa raia wake na Tanzania leo inafuata mkondo huo huoLakini mbona kama walisema wamefanya utaratibu na wamewapa hifadhi nchi jirani ya Poland ili warejee nchini.
Ndio maana Africa yote inatumia hashtag ya #istandwithputinDah basi kazi ipo
Serikali za Africa unazijua au unazisikia? Wao wanajali zaidi mikopo na vitu vya bure bure ndio maana tuna msemo wetu bosi hanuniweWanataka nini hawa, mbona serikali ilikwisha sema inawafuatilia kwa karibu na wako salama, wataliyumbisha dishi la ufuatiliaji kwa viherehere vyoa.