Watanzania wanaokuboa

Watanzania wanaokuboa

Maneno ya mkosaji utayajua tu!

Breakfast iko tayari....ngoja nijichane
Dogo mashori wakali daily wanaibuka MG haoni ndani pita pita Mlimani City huwezi kutoka kavu.....
 
Marin Hassan Marin wa TBC jamaa sijui huwa linaongeaje, mijitu mingine bwana, yaani nilikuwa nataka kuangalia interview ya elizabeth wa BBA ghafla nikaliona na stimu zote kwishney.

hahahahahaaa!! you made my day hehehe

akimalizia taarifa yake utamsikia.


Mariiiiiin Hasan Mariiiiiiin wa TBC oneeee. umenichekesha sana Burn.
 
Mii sikapendi Ka Kingunge Ngombale Mwiru....kazee haka kanafiki sana.
 
mie kuna dada mmoja sijui huwa halijulii umbo lake anavaa vaa tu ovyo
Fideline Ilanga
 
wakati fulani marekani robin givens aliwahi kutajwa
kuwa ndo the most hated woman in america,,,
enzi hizo watu walikuwa wanamuona ndo chanzo cha mike tyson kuchanganyikiwa,,,,,hasa aliposema aliolewa na tyson for money......

Any way hivi leo kwa hapa tanzania ni nani ambaye tunaweza
kusema ndo mtanzania anaetuboa zaidi?????
Tukiacha wanasiasa hasa wa ccm.
Kwenye upande wa burudani na jamii ni watanzania gani
kama wapo unafikiri wana kuboa kupita kiasi????????

ra,jk, ac, ss, kingunge, masha, ngeleja, makamba
 
DULI SYKES ajiiitaye MR.MISIFA..................kwa saaaaaaaaaaaana....!!!!
 
Na wewe chama chako kinaniboa mimi sana japo sikijui.

HAHAAAAAAAAA! Burn pole eeeh inaelekea inauma hiyoooooooo. unachukiaje chama hukifahamu au kwa ujumla vya wapinzani vyote huvipendi...lol!!!
 
awnaoboa siyo wanamuziki tu na hao wanaoua albino na kubaka watoto wachanga kwa tamaa ya utajiri halafu ndiyo tunawafagilia na kuwaimba ktk nyimbo zenu ati mapredeshee kisa wananunua bia kwa jasho la albino wetu si wanaboa zaidi?
 
Wale watu wanajiita watanzania wenye asili ya kiasia,nadhani ubaguzi upo kwenye Menu yao ya kila siku
 
Back
Top Bottom