Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,210
- 1,720
Dogo mashori wakali daily wanaibuka MG haoni ndani pita pita Mlimani City huwezi kutoka kavu.....Maneno ya mkosaji utayajua tu!
Breakfast iko tayari....ngoja nijichane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo mashori wakali daily wanaibuka MG haoni ndani pita pita Mlimani City huwezi kutoka kavu.....Maneno ya mkosaji utayajua tu!
Breakfast iko tayari....ngoja nijichane
Marin Hassan Marin wa TBC jamaa sijui huwa linaongeaje, mijitu mingine bwana, yaani nilikuwa nataka kuangalia interview ya elizabeth wa BBA ghafla nikaliona na stimu zote kwishney.
hadithi za eric shigongo
Dogo mashori wakali daily wanaibuka MG haoni ndani pita pita Mlimani City huwezi kutoka kavu.....
wakati fulani marekani robin givens aliwahi kutajwa
kuwa ndo the most hated woman in america,,,
enzi hizo watu walikuwa wanamuona ndo chanzo cha mike tyson kuchanganyikiwa,,,,,hasa aliposema aliolewa na tyson for money......
Any way hivi leo kwa hapa tanzania ni nani ambaye tunaweza
kusema ndo mtanzania anaetuboa zaidi?????
Tukiacha wanasiasa hasa wa ccm.
Kwenye upande wa burudani na jamii ni watanzania gani
kama wapo unafikiri wana kuboa kupita kiasi????????
CCM Inanibore sana.
mzeee nashkuru mbona ya kawaida tuuu mzeiyah au umempenda gorvenor? au maneno kakaNimeipenda AVATAR yako..... good avatar.
thanks kwa kuelewa
but why???????[/QUOTE]Wanajichubua kupita kiasi!
Na wewe chama chako kinaniboa mimi sana japo sikijui.