Watanzania wanaokuboa

mana umepatia ile mbaya just look for more bongo flaver wasanii kama blue anaboa kishenzi.
 
ninaboreka na watu kama vile saida kaloli,na dj sogi wa uhuru mf. kwa aina yao ya kotoka kiusanii hapa bongo.
 
hadithi za eric shigongo

Jamani hadithi za Eric Shigongo zinaboa sana! Zote za majonzi tu! Halafu cha kushangaza zinakuwa ndefu mpaka zinapoteza maana!

Kitu kingine, hana ''attention to details''. Utashangaaa anazungumzia mambo ya mwaka 1977 halafu mhusika kwenye hiyo hadithi anaendesha Landcruiser VX. Hivi jamani hapa Bongo miaka ya 70 kulikuwa na Landcruiser VX?
 
Hivi yule jamaa wa Clouds FM anayetangaza kipindi cha XXL anaitwa Adam Mchomvu ni mzima wa akili kweli? Ananiboa sana kwa kujifanya anaongea Kiswahili cha mtaani mpaka anapitiliza....yaani anaboa!
 
Hivi yule jamaa wa Clouds FM anayetangaza kipindi cha XXL anaitwa Adam Mchimvu ni mzima wa akili kweli? Ananiboa sana kwa kujifanya anaongea Kiswahili cha mtaani mpaka anapitiliza....yaani anaboa!

Mchomvu nadhani unamaanisha, mshikaji ni mshamba sana kwa wanaomjua kuanzia alipokuwa anabeba CD case za akina DJ white billz hata hawawezi mshangaa.
 
Wajameni huu uzi ni wa wahenga. Mashabiki wenye timu zenu haruhusiwi kutoa comment yoyote hapa.
 
Ingawa hutaki kwenye siasa lakini Mimi wanaoniboa ni magu na bashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…