Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Tatizo lako ni kuwa hujijui kuwa ni mpumbavu.
Ile meseji ilielekezwa kwa mpumbavu mwingine, specifically ilikuwa mahsusi kwake. ila ilikuwa ina mtego pia ndani yake. Na mtego ulilenga kuwatambua wapumbavu wengine pia. Nashukuru kuwa umesimama uhesabiwe.
From now on, u r in my list. Hongera! LOLZ
Hatuzungumzii treni unazozijuwa wewe tuuu. Zipo nyingi duniani. Halafu kudandia si lazima mlangoni..... popote pale unatia tim
Who cares .....??? You better put every one in JF in your IGNORE LIST. Thi is bacause, you never know, may be those who are not replying your posts, they have put you in their ignore list. UKIMLENGA MTU MMOJA, basi um-PM. Huu ni uwanja wa majadiliano. Yeyote yule ata-respond kwa mwingine. IF YOU NARROW YOUR MIND TO THOSE WHO ALWAYS PRAISE YOU............. THEN YOU NARROWING YOUR UNDERSTANDING. GROWING UP NI PAMOJA NA KUKUBALI KUKOSOLEWA. Ukimweka mtu kwenye igore list, unaonyesha jinsi ambayo you do not accept second opinion. YOU SEEM TO BELIEVE THAT YOU WAY IS ALWAYS RIGHT.....!!!!!!!!! I WILL NEVER PUT SOMEBODY IN MY IGNORE LIST. THE IGNORE LIST OF MINE IS ALWAYS EMPTY.Tatizo lako ni kuwa hujijui kuwa ni mpumbavu.
Ile meseji ilielekezwa kwa mpumbavu mwingine, specifically ilikuwa mahsusi kwake. ila ilikuwa ina mtego pia ndani yake. Na mtego ulilenga kuwatambua wapumbavu wengine pia. Nashukuru kuwa umesimama uhesabiwe.
From now on, u r in my list. Hongera! LOLZ
mheshimiwa KULA TANO. Najitoa kujibizana na huyu jamaa in this way. I accept this second opinion of yours. SORRY.Hivi mkiulizwa mnagombania nini mtasemaje enyi great thinkers?
Hivi Kichaa na anayejibizana na kichaa,nani anaonekana kichaa(samahani huu ni mfano tu).
Bifu sio zuri jamani! i beg you.
Nothing personal ni upendo tu
Marin Hassan Marin wa TBC jamaa sijui huwa linaongeaje, mijitu mingine bwana, yaani nilikuwa nataka kuangalia interview ya elizabeth wa BBA ghafla nikaliona na stimu zote kwishney.
Hahaha! Umenikumbusha mtanzania anayekwenda kwa jina la Isack Muyenjwa Gamba wa ITV. Akiwa anamfanyia mtu interview huwa nahamisha channel!
Tena jamaa anali sauti baya sijapata kuona, halafu hiyo TV personality zero, hapo ndio watu wengine tunaanzishaga ma speculation ya ajabu ajabu maana yule dada meneja si hana mume yule?
duh, huyu jamaa ile sauti yake sijui ikoje, sauti bayaaaaaa halafu linamikwaruzo, kavuuu yule inatakiwa HATA MPIRA ASITANGAZE KABISA.Hahaha! Mpwa bana. Kwa hiyo kwa kuwa hana mume ndiyo maana mapesonalite yanakuwa low au? Lile sauti la Gamba halimruhusu kuwa mtangazaji kama ethics zingefuatwa. Kabinti kangu kakimsikiliza anasoma taarifa ya habari huwa kanapiga chafya.
wewe GP hebu nipigie simu nisikie sauti yako kama inafaaa hahaha
Na mimi pia nipigie niipime sauti yako.
Hivi mkiulizwa mnagombania nini mtasemaje enyi great thinkers?
Hivi Kichaa na anayejibizana na kichaa,nani anaonekana kichaa(samahani huu ni mfano tu).
Bifu sio zuri jamani! i beg you.
Nothing personal ni upendo tu
GP my dia,akikupigia wewe na mimi tutakuwa majaji wawili ,si anasema sauti ya mwenziwe mbaya.tuone kama anweza imba kwaya au kutangazaZD unataka nani akupigie hapo ??
Sioni mtu anayegombana hapa, at least sio mimi. Inashangaza unapoinukuu post yangu na kunichukulia kuwa nagombana.
Huo mfano wa kichaa naomba uufafanue vizuri hadi nielewe.
Bifu ktk nini?
Hata mimi ivoivo.
Hahahaaa,pole sana FL1,sasa hapo ni keyboard sijui hao ofisini au nyumbani kwake hali ni vipi.Wakati mwingine ukiona mnaanza kurushiana maneno unasepa ,unamwacha anaongea mwenyewe.Ziondaughter yaani kuna kaka hapa JF huwa namuogopa nadhani siku nikimuona nitazimia
ila kumtaja anaweza kuniwashia ana Bifu huyo moto hahhahahaha
wewe GP hebu nipigie simu nisikie sauti yako kama inafaaa hahaha
Na mimi pia nipigie niipime sauti yako.
Hahahaaa,pole sana FL1,sasa hapo ni keyboard sijui hao ofisini au nyumbani kwake hali ni vipi.Wakati mwingine ukiona mnaanza kurushiana maneno unasepa ,unamwacha anaongea mwenyewe.
Ziondaughter yaani kuna kaka hapa JF huwa namuogopa nadhani siku nikimuona nitazimia
ila kumtaja anaweza kuniwashia ana Bifu huyo moto hahhahahaha