Watanzania wanaokuboa


Naomba utoe ufafanuzi wa kueleweka. Mfano wa nini? Kueleweka kupi unakokutaka wewe?
 
Usiwe mwoga,haya ni masuala ya u-judge tu na interview.ukizingatia Xpin hana noma na wewe.

heheheeeee, maana nna sauti ya kumtoa nyoka pangoni, nna maneno matumu balaaaa!, nna sauti ya ushawishi.(sore, off topic!)

nipe namba ya kilongalonga chako usikie mult-voice!
 
Kweli ukitaka kujua tabia ya member wa JF angalia AVATAR yake kuna watu washari sijapata kuona.
 
heheheeee, kuna mambo mengine bana sijui yanakuaje yanatokea asubuhi asubuhi namna hii!, utaweza kujiuliza ni pombe au ni bange?
 
Mimi Musa wa channel five,anayeendesha kipindi cha uswazi,ananibore na pozi zake za kishoga shoga!!
 
Mimi Musa wa channel five,anayeendesha kipindi cha uswazi,ananibore na pozi zake za kishoga shoga!!

huwa na wasiwasi sana na vile watangazaji wengine wanavyopodolewa(make-ups) kabla hawajafanya kipindi, huenda wanajisahau na kuanzisha tabia za kikekike
 
Mimi Musa wa channel five,anayeendesha kipindi cha uswazi,ananibore na pozi zake za kishoga shoga!!

Hii sasa inaweza ikawa kweli maana imesemwa sana, kama dogo chakula tunaweza kuwatuma wapwa zetu akina masa na fidel watatuletea fidibaki.
 
Iam out,sorry.I cant go on for my own reasons.
God bless you!
Thank you sanaaaaa. Nahisi huyo jamaa atakuwa amekuingiza kwenye IGNORE LIST YAKE. Kwake hiyo ndo adhabu kubwa kumpa anayepishana naye kwa ujumbe.
 
Nyie mnaumiza kichwa na hilo bwabwa, wenzenu huwa tunaliotezea linabaki kubwatuka peke yake.


Mzee unaona mbali sana, ananibore sana sijawahi kukutana na member kama huyu humu JF.
 
ndio maana baibo inasema "...... MTAWAJUA KWA MATENDO YAO..."
 
Musa huyu anayetangaza channel five kipindi cha uswazi,ananibore na pozi zake za kishoga shoga!!
 
Thank you sanaaaaa. Nahisi huyo jamaa atakuwa amekuingiza kwenye IGNORE LIST YAKE. Kwake hiyo ndo adhabu kubwa kumpa anayepishana naye kwa ujumbe.

Ndugu yangu,hata sijui nisemeje.Ni bora ambavyo tunatumia nicknames,mbona ingekuwa balaa kama tungekuwa tunajuana kwa sura!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…