GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 161
Na mimi pia nipigie niipime sauti yako.
ZD unataka nani akupigie hapo ??
GP my dia,akikupigia wewe na mimi tutakuwa majaji wawili ,si anasema sauti ya mwenziwe mbaya.tuone kama anweza imba kwaya au kutangaza
wewe ZD, naogopa kumpiga ovateki blaza Xpin!.
Usiwe mwoga,haya ni masuala ya u-judge tu na interview.ukizingatia Xpin hana noma na wewe.
He! Ha! He! Hii ngoja niifanyie kazi! Lol! Mungu Wangu!
Ohooo mpwa1,
naona umekuja kwa kasi ya ajabu.