Watanzania Wanaongea Sana Kuliko Wakenya Na Waganda?

Watanzania Wanaongea Sana Kuliko Wakenya Na Waganda?

Sijui waganda lakini Wakenya ni wambeya kuliko watanzania. Watanzania tunaongea sana lakini ukweli, hata wamarekani wanaongea sana siyo kitu kibaya kuongea.
 
Kuongea saana kwetu kumetusaidia pia kuepuka KUTWANGANA kirahisi kama ilivyo kwa WENZETU. Ni WAANCHARI, WARENCHOKA na WAKIRA kule Tarime ndio wanaotuangusha ambao wana uhusiano wa karibu sana na WAKENYA. Kuongea sana kunaepusha mengi na kunaimarisha sana MAHUSIANO. Hatupaswi kulionea HAYA hili.

Iko njia ionekanayo machoni mwa watu kuwa njema kwa kitambo, ila siku ikigungulika njia nyingine mbadala hap[o ndipo ile njia ya awali husaulika, sasa ccm fanyeni mnavyoweza ila siku moja mtasaulika tu , hatujui ni lini ila saa yaja ,

waweza kusema huyu mkurya ameanza midadi yake ila tambueni vita yetu kule home inachangiwa na vipato vidogo kwa jamii yetu na si lingine
 
Sijui waganda lakini Wakenya ni wambeya kuliko watanzania. Watanzania tunaongea sana lakini ukweli, hata wamarekani wanaongea sana siyo kitu kibaya kuongea.

Nakubaliana na hilo. Waganda utakuta ndani ya duka moja wauzaji ishirini. Na maofisini ukienda hawafanyi kazi kabisa hasa hasa ofisi za serikali.
 
Iko njia ionekanayo machoni mwa watu kuwa njema kwa kitambo, ila siku ikigungulika njia nyingine mbadala hap[o ndipo ile njia ya awali husaulika, sasa ccm fanyeni mnavyoweza ila siku moja mtasaulika tu , hatujui ni lini ila saa yaja ,

waweza kusema huyu mkurya ameanza midadi yake ila tambueni vita yetu kule home inachangiwa na vipato vidogo kwa jamii yetu na si lingine

Eyo ne eng'ana murra! Taruma. CCM's power need to be checked otherwise tutabaki nyuma daima.
 
Iko njia ionekanayo machoni mwa watu kuwa njema kwa kitambo, ila siku ikigungulika njia nyingine mbadala hap[o ndipo ile njia ya awali husaulika, sasa ccm fanyeni mnavyoweza ila siku moja mtasaulika tu , hatujui ni lini ila saa yaja ,

waweza kusema huyu mkurya ameanza midadi yake ila tambueni vita yetu kule home inachangiwa na vipato vidogo kwa jamii yetu na si lingine

Na si lingine kweli? Wilaya ya TARIME si katika zilizo MASIKINI katika Nchi hii!
ONDOENI AIBU hii ambayo mimi naamini inazo sababu nyingine zaidi ya hii ulooisema hapa.
 
Back
Top Bottom