Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuongea saana kwetu kumetusaidia pia kuepuka KUTWANGANA kirahisi kama ilivyo kwa WENZETU. Ni WAANCHARI, WARENCHOKA na WAKIRA kule Tarime ndio wanaotuangusha ambao wana uhusiano wa karibu sana na WAKENYA. Kuongea sana kunaepusha mengi na kunaimarisha sana MAHUSIANO. Hatupaswi kulionea HAYA hili.
Sijui waganda lakini Wakenya ni wambeya kuliko watanzania. Watanzania tunaongea sana lakini ukweli, hata wamarekani wanaongea sana siyo kitu kibaya kuongea.
Iko njia ionekanayo machoni mwa watu kuwa njema kwa kitambo, ila siku ikigungulika njia nyingine mbadala hap[o ndipo ile njia ya awali husaulika, sasa ccm fanyeni mnavyoweza ila siku moja mtasaulika tu , hatujui ni lini ila saa yaja ,
waweza kusema huyu mkurya ameanza midadi yake ila tambueni vita yetu kule home inachangiwa na vipato vidogo kwa jamii yetu na si lingine
Iko njia ionekanayo machoni mwa watu kuwa njema kwa kitambo, ila siku ikigungulika njia nyingine mbadala hap[o ndipo ile njia ya awali husaulika, sasa ccm fanyeni mnavyoweza ila siku moja mtasaulika tu , hatujui ni lini ila saa yaja ,
waweza kusema huyu mkurya ameanza midadi yake ila tambueni vita yetu kule home inachangiwa na vipato vidogo kwa jamii yetu na si lingine