mkulungwa02
Senior Member
- May 24, 2020
- 193
- 154
- Thread starter
-
- #41
HahhahhaMtu mzito
Hatari sana Hii MkuuNiko zangu site kuanza injinia hadi Saudia fundi wote wananiita boss hadi nahisi kuanza kunenepa
Poa tu Mnene, usisahau kutuletea Asali.Niko zangu site kuanza injinia hadi Saudia fundi wote wananiita boss hadi nahisi kuanza kunenepa
Nimekutana navyo sana. Hasa cha bosi, ukiwa una uramba sana basi, cheo cha bosi utapewa sana hata kama maisha yako ni ya kuunga unga.Mkuu hujawah kukutana na cheo chochote ?
nna bro wangu mmoja ni mwembamba sana ila kwa kuwa huwa anawatoa toa vijana shilingi wanamuita munene........basi siku naambiwa twende kwa munene najua naenda kwa jamaa bonge kumbe huyo bro.Baharia, Mtumishi,mnene hata kama ni kimbaumbau
๐๐ CaptainWatanzania tunatisha sana katika suala la kuwa na vyeo bila ya kuwa na kazi popote pale.
Unaweza pita njiani ukasikia vyeo kama kamanda, boss, kiongozi, mtaalamu, fundi, brigedia, jenerali, tajiri,
Kuna cheo chochote uliwahi kiskia tofauti na hivyo hapo juu?
Bongo kuna hiki cheo pia.Watanzania tunatisha sana katika suala la kuwa na vyeo bila ya kuwa na kazi popote pale.
Unaweza pita njiani ukasikia vyeo kama kamanda, boss, kiongozi, mtaalamu, fundi, brigedia, jenerali, tajiri,
Kuna cheo chochote uliwahi kiskia tofauti na hivyo hapo juu?
KinaraWatanzania tunatisha sana katika suala la kuwa na vyeo bila ya kuwa na kazi popote pale.
Unaweza pita njiani ukasikia vyeo kama kamanda, boss, kiongozi, mtaalamu, fundi, brigedia, jenerali, tajiri,
Kuna cheo chochote uliwahi kiskia tofauti na hivyo hapo juu?