Watanzania wanaongoza kwa vyeo bila kuwa na kazi!

Watanzania wanaongoza kwa vyeo bila kuwa na kazi!

Niko zangu site kuanza injinia hadi Saudia fundi wote wananiita boss hadi nahisi kuanza kunenepa
 
Baharia, Mtumishi,mnene hata kama ni kimbaumbau
nna bro wangu mmoja ni mwembamba sana ila kwa kuwa huwa anawatoa toa vijana shilingi wanamuita munene........basi siku naambiwa twende kwa munene najua naenda kwa jamaa bonge kumbe huyo bro.
 
Watanzania tunatisha sana katika suala la kuwa na vyeo bila ya kuwa na kazi popote pale.

Unaweza pita njiani ukasikia vyeo kama kamanda, boss, kiongozi, mtaalamu, fundi, brigedia, jenerali, tajiri,

Kuna cheo chochote uliwahi kiskia tofauti na hivyo hapo juu?
😀😀 Captain
 
Chief, Mkuu, Director, Inspector
Cha ajabu wote Hawa bado wanahangaika na kutafuta pesa ya mlo unaofuata
 
Watanzania tunatisha sana katika suala la kuwa na vyeo bila ya kuwa na kazi popote pale.

Unaweza pita njiani ukasikia vyeo kama kamanda, boss, kiongozi, mtaalamu, fundi, brigedia, jenerali, tajiri,

Kuna cheo chochote uliwahi kiskia tofauti na hivyo hapo juu?
Bongo kuna hiki cheo pia.
 

Attachments

  • Screenshot_20200513-222656.jpg
    Screenshot_20200513-222656.jpg
    60.7 KB · Views: 1
Watanzania tunatisha sana katika suala la kuwa na vyeo bila ya kuwa na kazi popote pale.

Unaweza pita njiani ukasikia vyeo kama kamanda, boss, kiongozi, mtaalamu, fundi, brigedia, jenerali, tajiri,

Kuna cheo chochote uliwahi kiskia tofauti na hivyo hapo juu?
Kinara
 
Back
Top Bottom