mkulungwa02
Senior Member
- May 24, 2020
- 193
- 154
Watanzania tunatisha sana katika suala la kuwa na vyeo bila ya kuwa na kazi popote pale.
Unaweza pita njiani ukasikia vyeo kama kamanda, boss, kiongozi, mtaalamu, fundi, brigedia, jenerali, tajiri,
Kuna cheo chochote uliwahi kiskia tofauti na hivyo hapo juu?
Unaweza pita njiani ukasikia vyeo kama kamanda, boss, kiongozi, mtaalamu, fundi, brigedia, jenerali, tajiri,
Kuna cheo chochote uliwahi kiskia tofauti na hivyo hapo juu?