Watanzania wanaongoza kwa vyeo bila kuwa na kazi!

Watanzania wanaongoza kwa vyeo bila kuwa na kazi!

Unabadilika kulingana na mazngira unavotumika kama ni gari mtu akisema chombo ya fundi manake hyo kali ni hatar sana inafaa kwa matumizi, kama ni mtoto wa kike basi ni mtoto mlito kaumbika kweli yani
Ko chombo ya fundi linamaana nyingi kutegemea na muktadha ila manake kimsingi ni ki2 Fulani kizuri na chenye thamani
Nmekupata hapo, asante sana kwa ufafanuzi. Kila kukicha watu wanaibua maneno mapya
 
Watanzania tunatisha sana katika suala la kuwa na vyeo bila ya kuwa na kazi popote pale.

Unaweza pita njiani ukasikia vyeo kama kamanda, boss, kiongozi, mtaalamu, fundi, brigedia, jenerali, tajiri,

Kuna cheo chochote uliwahi kiskia tofauti na hivyo hapo juu?

"Legendali"
 
Back
Top Bottom